Kwa kwel Uyu brother mung ambariki kbx anatowa mwanga kwa sisi tunaopenda kwenda kule ku tafuta pesa ao maisha ki u jumla kbs Uyu ni mtuu mihimu Sanaa thx Sanaa sns
Hii interview niliiona miezi kadhaa iliyopita hapa hapa kwa sns lkn sikuielewa km nilivyoielewa hivi sasa baada ya kuanza mfatlia huko kwa youtube chanel yake Mr ebm. Kiukweli toka nianze mfatlia huyu ndugu yetu nimetambua na kujifunza vitu vingi mno hasa kuhusiana na maisha halisi ya ughaibuni. Mungu amlipe kwa ukarimu huu wakujitolea kuelimisha watu.
Yani leo nimefurahishwa sana na hii interview na ni natumaini nitakapo maliza chuo huku Burundi ni tajaribu kuomba masters huko Marekani inshaallah ndugu mtangazaji Nimefurahi sana kwa interview nzuri ulio tuletea na Mungu akubariki sana 🙌🙌🙌🙌 ila ingelikua bora zaidi ikiwa tutapata adresse ya tweet ao Instagram vya huyo jamaa ili tukihitaji basi kama kutakuwepo na mazungumzo baina yetu na yeye yafanyike ila mambo yaende sawa 🙌 sisi warundi hua fursa zekwenda 🇺🇸 ima 🇨🇦zinapatikana sana huku kwetu
Nchi zipo nyingi tu na nzuri tu nasi marekani tu , nchi hizo ukipata documents za kuishi na ni lahisi kwenda huko America tofauti na kutokea Africa , wanageria wanajua na wajanjawajanja sana.
Ndoto yangu ilikua nikifika USA nisomey usimamizi wa movie ila nilipo fika nikaanza kushika mikwanja kila nikipokea nauliza doller nyumbani inabadilishwa kwa ngapi apo ndipo ndoto ilikua mwisho wandoto yangu ya kusoma ivi na pambana na kazi nakuuliza nyumbani doller inavunjwa kwangapi masomo siku Mungu atanirudhuku mtoto atasoma yeye jamani Marekani ni inchii ya kutimiza ndoto kwa mtu anae jielewa Mungu ibariki 🇺🇸
Ilove that the way you speak I'm alex from congo moba tanganyika iliving in America Charlotte. Is no easier life America be strong as well studying school. Okay
🤔Kwanza weka kando anasa, piga kazi hata kama kipato ni kidogo lakini wakati huohuo ukijifunza njia mbali mbali za kutafuta njia ya kujitegemea. Nchi za Ulaya na Marekani kujitegemea ni njia pekee ya kupata kipato kizuri zaidi kuliko kuajiriwa. Asanteni kwa elimu ya maisha ya Marekani🤔.
Wabongo watafute na njia za kutembea Duniani ni kujifunza Mambo Mengi, Sio kukaaa seheemu Moja tu Bongo bongo Pekee yake, Binadam anazunguka Duniani Sio kukaaa sehemu Moja akili inakuwa mgandamizo haipanuki na kujua ulimwengu Unaendaje
🤔EBM una moyo mzuri, una nia nzuri na watu, una imani nzuri na zaidi ya yote una mapenzi mazuri na watu hasa Watanzania. Wewe ni mfano mzuri sana. Wapo watu wachache kama wewe🤔.
Kwel wa Tanzania hatupendani uwez amina me na mama Mdogo Wang na kaolewa na askari wa huko lkn a nakwambia hana uwezo kwamb a maisha n MAgum hahahahah noma sana
Kwakwel ukipamba nyumba yako vzuri kila mtu anaitamn akae ndo marekani, China, Canada ivyo kwahyo wnztu wamekitahid sanaaa wnztu kimaisha ndo Mana kila mtu anataka. Akaish mie binafs napenda Atlanta Georgia
Si kila mtanzania anaishi USA anajua mambo yote hayo jamaa .jamaa anajua hivyo kwa sababu katumia njia hiyo kuingia USA so 🤷♂️ kuna watu wameingia njia tofauti then wanajikita kwenye maisha yao.Plus mchizi kapitia njia nyingi na anafanya kama mambo hayo kama moja ya kazi kwake
Wakoloni sio ndugu bibi zetu na babu zetu walikuwa wanapitia wakati mgumu sn ndugu ww umeikuta nchi ipo sawa lkn maumivu walio yapitia mungu ndio anajua