Tofauti pekee iliyopo baina ya aliyelala na aliyekufa ni kupumua tuu ndiyo maana usingizi ukawa kifo kidogo na kifo chenyewe kikaitwa usingizi mkubwa.
Sheikh Othman Maalim akifundisha juu ya adabu za kulala na namna Mtume wetu alivyokuwa akilala, kwani katika kulala kuna "kulala kisha usiamke" na "kulala uamke". Kwa hali zote Mwanadamu anahitaji ulinzi na usalama awapo kwenye hali yaje hiyo na yampasa wakati wowote yeye kuaa teyari na mauti haswa wakati ule anaenda kulaka.
Fahamu: #dua_ya_kulala #namna_ya_kulala #live #mawaidha #zanzibar
Video credit: Riyadh Tv Online Znz
Original video: • INATIA HURUMA SHK.OTHM...
**Kwa mawaidha mengi na mazuri ya Sheikh Othman Maalim wafuate Riyadh Tv Online Znz.
Follow Us, AQ ONLINE TV On:
FACEBOOK:
/ aqonlinetv
INSTAGRAM:
/ aqonlinetv
TWITTER:
/ aqonlinetv
WHATSAPP:
chat.whatsapp.com/LTkso2pn287...
TIKTOK:
vm.tiktok.com/ZSJKAVXxK/
TELEGRAM:
t.me/aqonlinetv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2023 Aq Online Tv. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
4 апр 2023