Masyaallahh,, merinding Ketika Alunan Musik yg begitu indah, berpadu dengan Suara Ustadzah Mastia lestaluhu, yg bergitu Merduu..Sungguh Nikmat mendengar nya
Yaaa Allah air mata terharu mengalir terus melihat ustadzah nyanyi yaa Allah berikanlah hambah anak keturunan yg mampu melantunkan ayat2 suci dan sholawat dgn suara yg luar biasa merdunya ya Allah 🤲🏻😭❤️
@baybe johayna yupo sahihi ,hakuna alosoma dini sawasawa akasomeshwa mwamnake afa kutoa sauti yake mbele ya wanau. Ni fitina mwanamke mzuri sauti nzuri lazima kuna fitina
Shekhe Alhad (baba yake shk walid Alhad aliwahi kukemea hili) nae ni wahab?.... Mm sio wahab na mpaka maulidini nahudhuria ila sihungi mkono swala la kumpandisha mwanamke mbele za mwanaume
Taarab,na imam wa kichangani akiwa anaburudika na taarab,na imam wa mtoro kweeelii,hakika ya allah haichukui elimu uchukuaji wa moja kwa moja bali huichukua kwa kuwafisha maulamaa,kisha wafanywe watu wajinga kua ndo wanawazuoni
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Ukt. MASTIA, Yaan Siwezi Tofautisha Na HUM KULTHUM keep It Up. allahu will bless You.... .... Ila katika Kiitikio UST. MOHAMMED KHAMIS umetishaaa, Saut kaliii Fantastic ..... eeh!! allah bless Us and Islam >> Inshaallah "
Ahlul bidaah muogopeni Allah subhanahu hiyo co dini,huyo binti mmemuweka juu ndio dini inasema hata imamu shafii ambae mnajinasibishane hilo Jambo halijua
lukumani omari Acha kusifia upumbavu tafuta kwa maulamaa wote hukuti upuuz huo, lakini hao mashekh wanaokufanyen mue na kiburi mtaenda kukutana nao motoni bila kufanya toba ya kweli
@@BABDEOMILADU Mtaendelea kupinga uharam wa jambo hili kwasababu tu ya maslahi yenu ya kidunia lakini huo ni mziki na ni haram katika Uislaam. Ajabu zaidi na masheikh hao hao wanaofundisha kwamba mziki ni haram ndiyo wamehudhuria hafla hiyo. Msiba mzito.