Тёмный

LEO NIMEOKOTA GARI AMERICA 🇺🇸 JE UNAJUA KWA NINI WATU WANATUPA MAGARI USA ?✈️✈️🇺🇸🇺🇸 

ArrivalTv
Подписаться 10 тыс.
Просмотров 60 тыс.
50% 1

#youtube #trendingvideo #Hedofstaste#safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam#tanzania#denver#career#usikuwamanane#thanksgiving#tanzania #diaspora#Usajililine#health#hosp ital#tanzania

Опубликовано:

 

27 ноя 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 116   
@user-pv1rt7wh3i
@user-pv1rt7wh3i 7 месяцев назад
Kaka najifunza sana kupitia video zako kiukweli unafanya kazi kubwa ya kutuelimisha mungu azidi kukupa nguvu ili uzidi kutuelimisha zaid🙏♥️♥️
@HermanKununga
@HermanKununga 4 дня назад
😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮thank
@fridaerastor9722
@fridaerastor9722 6 месяцев назад
Unarudia rudia sana maneno
@DizzoclassicSoundstz
@DizzoclassicSoundstz 7 месяцев назад
Nakubali sana kaka natamani sana mungu akulinde sana 🙏🙏🙏🙏🙏
@thomasmwasongwe7790
@thomasmwasongwe7790 7 месяцев назад
Kaka safi sana.kaka naomba tuchunguzie kazi za driver wa magari madogo na makubwa yakoje kwa waafrika hapo nchini America
@nathanontegi3222
@nathanontegi3222 7 месяцев назад
Waiting to 🙉🙊🙊🙊 hear how,it looks good 👍👍👍.
@janety1933
@janety1933 7 месяцев назад
😂😂😂 hongera Sana mwanakwetu nitumie na mm kagari😂 nimechoka kutembea Kwa miguu😂😂
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 7 месяцев назад
Marekani unaweza kuwa na gari lakini nyumba. Africa nyumba kawaida sana hata ya udongo unaishi.
@allyfatma7359
@allyfatma7359 7 месяцев назад
Thanks bro
@piusgadau6328
@piusgadau6328 7 месяцев назад
Nchi ina uchumi mzuri sanaa
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 5 месяцев назад
Gari moto🔥
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 7 месяцев назад
Hatari Sana hyo
@RoseUrio-bl3dm
@RoseUrio-bl3dm 6 месяцев назад
Nakuja kutembea huko❤
@user-ic1fs9bf1v
@user-ic1fs9bf1v 7 месяцев назад
Model year old x2 Taxision Navigation , spair part Bora utumie Toyota Japan
@DizzoclassicSoundstz
@DizzoclassicSoundstz 7 месяцев назад
From mwanza tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@tecratzmwakyambomwakyambo7243
@tecratzmwakyambomwakyambo7243 6 месяцев назад
Mwana kwetu
@user-vq8pz4ge6t
@user-vq8pz4ge6t Месяц назад
Endelea kutupa Madini bro
@enemtatuka5863
@enemtatuka5863 7 месяцев назад
Mambo nimezuri Sana kwenyekuokata magar
@iviejustified8109
@iviejustified8109 6 месяцев назад
Unafana rudia rudia saana brother .. ... Any way!
@peterdeus6093
@peterdeus6093 7 месяцев назад
Sasa kwa nin maada fupi unafanya kuwa ndefu kwa kurudirudia maneno pasipo na sababu ya msingi, nia tu video iwe ndefu unaboa
@MrMasterMathew
@MrMasterMathew 6 месяцев назад
Jamaa wanatelekeza saaana
@khadigajessica991
@khadigajessica991 7 месяцев назад
Naomba niuzie basi
@user-ty8ci5oi9m
@user-ty8ci5oi9m 6 месяцев назад
Naona Mungu akipenda ntakuja huko na mimi pia natamaani gari yangu
@alisaleh7040
@alisaleh7040 6 месяцев назад
Sasa pesa utayotumia kuendea huko c uzid kudunduliz ununue tu gar huku my friend
@Cryptocurrency_Tanzania
@Cryptocurrency_Tanzania 7 месяцев назад
Good content, we umejuaje kuwa Gari limetupwa au Kuna sehemu maalum unayakuta magari yaliyo tupwa...
@babyakasha4002
@babyakasha4002 6 месяцев назад
amesema wanaliwekea ki Note kama vile FREE kama huku utakuta wanasema For sale
@lexmondniyukuri8617
@lexmondniyukuri8617 7 месяцев назад
Wow unamanisha hata ni mimi ntapata gari 🎉🎉🎉 yakuogota ❤ 🙏
@samludo5435
@samludo5435 7 месяцев назад
Wafunge kamba wasio jielewa
@goldprocessplant5893
@goldprocessplant5893 7 месяцев назад
brother nami niokotee gari pls nitafanya shipping 😂
@samuelmuthui4699
@samuelmuthui4699 5 месяцев назад
Je,Kuna wanawake wa kuokota?😂😂😂😂😂
@RoseUrio-bl3dm
@RoseUrio-bl3dm 6 месяцев назад
Nitaokota nyumba
@dunialehani6188
@dunialehani6188 7 месяцев назад
Hacha uhogo wewe tuko miaka yote hapa sija wahi kuhokota wa Africa wezagu ana wema uhogo
@themanofgod7562
@themanofgod7562 6 месяцев назад
Point ni KWAMBA Nchi Zilizoendelea Duniani. Kila kazi wameipa thamani ndio maana HAKUNA mtu ana dharauliwa kwa sababu ya kufanya kazi flani.
@markopedeshe9692
@markopedeshe9692 7 месяцев назад
We ulisikia wapiiiii gari yakuokota brooo 😂😂😂😂😂
@user-sn2if2sl1e
@user-sn2if2sl1e 6 месяцев назад
Kaka nimelipenda we niuzie tu
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp 7 месяцев назад
Nikweli hata South Africa 🌍 hizo free way or high way yapo Sanaaaaaa unaendesha unavyotaka kikubwa uwe na combo kizuli 2
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 6 месяцев назад
Combo ni nn?
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 6 месяцев назад
Kwa hizo fact hata mm ningetelekeza😂😂😂😂
@amoskagika8884
@amoskagika8884 7 месяцев назад
Pamoja sana mwanakwetu. Sasa Kama ni hivyo vipi mtu akitaka kuanzisha biashara ya kuuza Magari used kutoka huko na kuyaleta Africa nimeona kuna jamaa anafanya hivyo kutoka Uingereza kuja Tz, vipi kuna ugumu kiasi gani kukusanya Magari Kama hayo au kwa kuyanunua kwa bei ndogo na kuja kuyauza Tz
@ArrivalTv
@ArrivalTv 7 месяцев назад
Unaweza ila shida ni kwamba huenda ukalipia ushuru mkubwa sna
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 7 месяцев назад
Harafu gari za America Nikusho rabda kauzie congo ira tz uongo mjomba
@justinmbangukira7034
@justinmbangukira7034 6 месяцев назад
​@@SophlaJackson-nt1ncKwaninini gari za America huwezi kuuzia bongo? Kwani sio imara
@mohdloushmoney9994
@mohdloushmoney9994 6 месяцев назад
​@@justinmbangukira7034ni left hand
@husseinkaoneka5834
@husseinkaoneka5834 5 месяцев назад
@@justinmbangukira7034 shida sio uimara ni left hand sisi tunatumia right hand, ukiend mkoan kuovertake kwke had wa kulia kwko umuulize kuna gar inakuja hko sas c bora uziache tu
@afroboy296
@afroboy296 6 месяцев назад
Mimi mwenyewe nimewahi kumupa rafiki yangu gari aina ya 2009 Hyundai Sonata. Magari huku marekani nikama ma baskeli Africa 😂
@JOSEPHNKUNDA
@JOSEPHNKUNDA 6 месяцев назад
Kaka na Mimi nifanyie mpango wa Gali huko🇹🇿
@fatmamati5246
@fatmamati5246 5 месяцев назад
Niletee na mm huku nifanyie mazoez maana nasemea drive
@husseinkaoneka5834
@husseinkaoneka5834 5 месяцев назад
MAZDA hii
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 6 месяцев назад
Iriwakaki nambai inono mwanakwetu
@user-mw5rd2zm5r
@user-mw5rd2zm5r 4 месяца назад
Kwa nn msiyabebe leta tanzania
@alexkagema6420
@alexkagema6420 7 месяцев назад
uko state la minnesota minneapolis
@mahadyisaac4525
@mahadyisaac4525 7 месяцев назад
Mjomba ilete bongo kwa fundi mangungo chuma bado manganyu hio
@frank18112
@frank18112 7 месяцев назад
Kama je ilitumika kwenye crime scene then wakaamua kuitupa hapo unawezaje kujua mwanakwetu...???
@itNeza
@itNeza 7 месяцев назад
Swali Zuri Sana. 😂👍✅
@fncmedia11
@fncmedia11 7 месяцев назад
Ivi mtu akifanya crime scene ataacha details zake na mawasiliano ili akukabidhi bure... Hapana...
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 7 месяцев назад
Unaangalia kwenye records zake utaona kila kitu KUHUSU hiyo gari
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 6 месяцев назад
Acha ujuaji
@ipyanamwimbe6484
@ipyanamwimbe6484 6 месяцев назад
Ameuliza sasa ushamba upo wapi Watanzania ujuaji Mwingi
@niolaussdavid
@niolaussdavid Месяц назад
POLE SAANA
@BoniphaceChima-pf7zx
@BoniphaceChima-pf7zx 5 месяцев назад
VIPI UTARATIBU WA KUPATA KAZI? GENERAL JOB
@maggieshi690
@maggieshi690 6 месяцев назад
What if gari niya mukora usifurahie kupewa. .think big b4 yu give in😮
@Senetalkim
@Senetalkim 7 месяцев назад
Nataman sana kufika American lkn sijui naanzia wapi
@frank18112
@frank18112 7 месяцев назад
Utafika tu, pambana fuata taratibu...
@Senetalkim
@Senetalkim 7 месяцев назад
​​@@frank18112kupata passport sio tatizo inawezekana ila kupewa visa ndo mtihani sasa kwasabab lazma uwe na mtu atakae kupokea kule utakapo enda yan namuonba sana mwenyezimungu hii ndoto yangu itimie
@Yussuf3145
@Yussuf3145 7 месяцев назад
Hata mm natamani brother. In shaa Allah tutafika tu huko
@philip1196
@philip1196 5 месяцев назад
Uliokotaje ,,, wapi?na key ulipataje?
@user-ip6iy6pm3n
@user-ip6iy6pm3n 6 месяцев назад
Sasa si msaidie watu wà ufundi magari waje kusaidia watu wasio hela warekebishe magari yenye shida ndogo tu ambayo hayafai kutupa
@udesibin8074
@udesibin8074 6 месяцев назад
Iyo elfu hamsin na laki moja unakariri weewe tu jomba
@abdulkareemchacha2625
@abdulkareemchacha2625 6 месяцев назад
Je! Una uhakika gani kama hilo gari limetupwa???? Na utajuaje kama limetupwa????
@robbyrobson6998
@robbyrobson6998 7 месяцев назад
Duh uku tunaokota chupa na secrepa
@albajuntv8946
@albajuntv8946 6 месяцев назад
Kaka nataka job huko broo please nisaidie
@iconramar9366
@iconramar9366 7 месяцев назад
Tanzania speed limit ni 80km/h
@jonasamos555
@jonasamos555 6 месяцев назад
inapigwa lebo kama hivyo fo free kama hivi ya L kwetu
@GabrielSky64
@GabrielSky64 6 месяцев назад
Kaka mbona kama mpya kabisa hiyo naona kabisa kweny funguo ni mpya hiyo Ina hd kikaratasi
@DizzoclassicSoundstz
@DizzoclassicSoundstz 7 месяцев назад
Kwa iyo na wewe utalitumia kaka😂😂😂😂😂
@ahmedjuma397
@ahmedjuma397 7 месяцев назад
mjinga huyo hakuna gari za kuokota
@ubunifulifestyle3492
@ubunifulifestyle3492 5 месяцев назад
We acha uongo marekan unaishi peke yako acha utahila, sema umepewa na si umeokota
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 4 месяца назад
Hapana wanatupa ni kweli au wanapeleka sahemu wanayaaribu kama dampo
@Nasbu-tb6cs
@Nasbu-tb6cs 7 месяцев назад
NAtaka kuja americA bro!
@compilation-shorts
@compilation-shorts 6 месяцев назад
Una danganya watu hakuna gari ya kuokota us mimi nko new jassy
@josephstephen2047
@josephstephen2047 6 месяцев назад
New jersy au New jasy?! we nina wasiwasi uko mbagala
@user-hc4ce3ze2d
@user-hc4ce3ze2d 6 месяцев назад
Bro unarudia sana maneno
@husseinally6699
@husseinally6699 6 месяцев назад
Umeona kama mm yaani mpaka usikip km matangazo vile , yaani ni mada ya dakika 3 tu
@homan_nkwama
@homan_nkwama 6 месяцев назад
Umefanana na msanii wa hip hop ZAID.... NI NDUGUU?
@oleboyofficial
@oleboyofficial 7 месяцев назад
Hatar kaka
@NIMFASHADieudonne-cy1fx
@NIMFASHADieudonne-cy1fx 7 месяцев назад
Asante kwa kutuelezea
@DICKSONTimoth-xk7rj
@DICKSONTimoth-xk7rj 6 месяцев назад
Gari ya kwako mwenyewe eti umeokota 😂😂😂😂😂😂
@omarnicesang5507
@omarnicesang5507 4 месяца назад
Ni kweli gari za kuokota zipo
@abelimembe6990
@abelimembe6990 6 месяцев назад
Nime kuerewa kaka
@aiyammshoka1096
@aiyammshoka1096 7 месяцев назад
Just say which Africa u talk about coz South Africa and North Africa countries they have good road lol 😂 😢
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 7 месяцев назад
Kuokota?
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 7 месяцев назад
Duu Umeokota teena mwenye nalo amekupa bulee Swahili mbili tofauti 🤔🤔🤔
@ArrivalTv
@ArrivalTv 7 месяцев назад
Yeah Mimi ni Masai hivyo sio mtaalamu wa Kiswahili
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 7 месяцев назад
@@ArrivalTv hapana ni uongo sasa Wamesoma saana🤣🤣🤣🙏
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 7 месяцев назад
Masai sasa Wamesoma saana🤣
@msamihamisi5161
@msamihamisi5161 7 месяцев назад
Nchi inaongoza kwa walala nje huko
@user-lj8du1yn5p
@user-lj8du1yn5p 6 месяцев назад
Wale wanao lala inje ni wale walioshindwa kufata Sheria wamehendekeza bangi njoo mahana😃😃😃😃
@ernestnchellu-hl2km
@ernestnchellu-hl2km 6 месяцев назад
Jina lako lenyewe unaonekana mshamba na hujui lolote kuhusu dunia
@salumsalum8866
@salumsalum8866 7 месяцев назад
broh kwan w upo mji gani?
@ArrivalTv
@ArrivalTv 7 месяцев назад
Washington
@salumsalum8866
@salumsalum8866 7 месяцев назад
ksha nataka kujua wp pazur pakuanzia maisha Washington or philladelphia.kat ya hio miji miwil km dv winer
@UwesuAhmad
@UwesuAhmad 6 месяцев назад
chengine hawana roho ya kindengereko bongo ndugu yako tu hakupi
@historiazoteduniani5595
@historiazoteduniani5595 7 месяцев назад
NAOMBA KULIZA SWALI LA NJE YA HII VIDEO .HIVI NIKIPATA visa napangiwa siku ya kusafiri au naweza kukaa tu nasafiri siku nikitaka
@saidsobongo912
@saidsobongo912 7 месяцев назад
Siku ukitaka ndio wasafiri muhimu nikuchunga tarehe usije kusafir muda wa visa usha malizika hapo nishida
@ArrivalTv
@ArrivalTv 7 месяцев назад
Kuna Sababu kadhaa ambazo pengine zinaweza kukulazimu kusafiri bila kijipangia siku wewe mwenye leo nitakupa moja tu mfano kama uliomba visa kwenda kwenye tukiao linalofanyika tarehe flani ni laxima usafiri kabla hilo tukia halijaisha maana ukisafiri baada ya tukio watakuuliza kwenye port of entry kuhusu malengo ya safari yako ni nini hasa ukizingatia kwamba ulichoombea visa kimeisha muda wake
@msamihamisi5161
@msamihamisi5161 7 месяцев назад
Kama wangekuwa wanatupa magari watu wasingeiba magari nnchi namba moja kwa kuibiwa magari iyo...acha uongo wako
@MrMasterMathew
@MrMasterMathew 6 месяцев назад
Unabisha ukiwa Afrika ukifika USA utaamini
@araphatomary3539
@araphatomary3539 6 месяцев назад
​@@MrMasterMathewacha uzuzu na wewe😅😅
@SumaSeleka-ph3pg
@SumaSeleka-ph3pg 8 дней назад
Wanaiba magari ya gharama mzee. Sio hayo ya kawaida
@mikamwamba3554
@mikamwamba3554 6 месяцев назад
Vipi uko awaaangushi nyumba
@user-ey6ip5lf4p
@user-ey6ip5lf4p 7 месяцев назад
Ujinga 💯%
@antonymangu3458
@antonymangu3458 6 месяцев назад
This guy is lying to Tanzaniana who don't know to travel,,he is great liar come on don't
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 6 месяцев назад
Na mimi niliwai kuokota gali maeneo ya sinza mpyaaa
Далее
American RV( Hii ni gari na ni nyumba)
11:01
Просмотров 167 тыс.