Тёмный

LILIAN MWASHA;KWA MARA YA KWANZA AJIBU KUHUSU KUIBA MUME WA MTU/NAUMIA/WATU BADO HAWANIAMINI 

NEWS UPDATES
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 80 тыс.
50% 1

#CoffeeNight #Wasafi #diamondplatnumz #cloudstv #lilianmwasha #fmjmedia

Опубликовано:

 

7 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 96   
@reginaringia7080
@reginaringia7080 2 года назад
Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa
@rayahnaz162
@rayahnaz162 2 года назад
I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA
@sheckycobb5240
@sheckycobb5240 2 года назад
Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 2 года назад
Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾
@rehemakajabu1317
@rehemakajabu1317 2 года назад
NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA
@namelockmaasailady8002
@namelockmaasailady8002 2 года назад
Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia
@josephchuwa1285
@josephchuwa1285 2 года назад
Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda
@floramlowe7078
@floramlowe7078 2 года назад
Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 года назад
Nikweli kabisaa
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 Год назад
Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.
@Nicholas12061974
@Nicholas12061974 2 года назад
Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream
@ayshahussen7452
@ayshahussen7452 2 года назад
Nakupenda sana dada Lillian
@suzanakesmil
@suzanakesmil 2 года назад
Nakupenda dada mwasha
@tinamon7913
@tinamon7913 2 года назад
Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.
@mwanrique
@mwanrique 2 года назад
I love you Suzette, keep doing you!
@leahchalresi5632
@leahchalresi5632 2 года назад
Nakupenda sana dada liliani
@beatrice3671
@beatrice3671 2 года назад
She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily
@mundelejudith3940
@mundelejudith3940 2 года назад
Nakupenda sana dada
@hellenmawere9284
@hellenmawere9284 2 года назад
Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰
@Kidotii
@Kidotii 2 года назад
I love you Lilian!
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 Год назад
Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza Lili nakupenda sana dada
@happinesskitali164
@happinesskitali164 2 года назад
Mm nampenda sana Lilian
@rosemsemwa2226
@rosemsemwa2226 Год назад
Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘
@AggiesVine
@AggiesVine 2 года назад
I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.
@magrethbenson6724
@magrethbenson6724 Год назад
Kwanini usiseme kiswahili tu au kiingereza ti
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 года назад
Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm
@judythasiko8648
@judythasiko8648 2 года назад
Love this woman ❤️
@christinamwakibolwa3000
@christinamwakibolwa3000 2 года назад
Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu
@joycekimario4542
@joycekimario4542 Год назад
Nimependa sana ujumbe
@fridakaishaza1032
@fridakaishaza1032 2 года назад
Much love ❤️
@chosentv742
@chosentv742 Год назад
Waooo I love the host🥰
@gimbanantavyo5217
@gimbanantavyo5217 Год назад
You are such an amazing lady, receive a bunch of love.
@carolmugwongo5949
@carolmugwongo5949 Год назад
¹1
@bintisayuni6634
@bintisayuni6634 2 года назад
Real
@lucyemichael7814
@lucyemichael7814 2 года назад
👏🏼
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 3 месяца назад
dada lili punguza misifa punguza uperfect
@priscaphedrick5970
@priscaphedrick5970 Год назад
Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu
@ubongosahihi
@ubongosahihi 2 месяца назад
Aleluya 🧎🏾‍♀️🙇🏽‍♀️👏🏾
@jacklinemwita4173
@jacklinemwita4173 2 года назад
Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu
@bestcakes7098
@bestcakes7098 2 года назад
Amina
@saidaramadhan2099
@saidaramadhan2099 2 года назад
Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha
@asifiwekitunga4655
@asifiwekitunga4655 Год назад
Yes unatakiwa kujismamia mwenyewe
@Bestssy
@Bestssy 2 года назад
Jaman nipate no yke
@yusrasalum
@yusrasalum 2 года назад
Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍
@zuhuraally4146
@zuhuraally4146 2 года назад
Nakupenda sana dada mwasha
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 5 месяцев назад
Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?
@vickydan2869
@vickydan2869 2 года назад
Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga
@samiakikwete1762
@samiakikwete1762 2 года назад
Kwani wakiristo wanaachana?
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 года назад
Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.
@rahma6189
@rahma6189 Год назад
Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa
@irenechobaliko9599
@irenechobaliko9599 2 года назад
Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful
@tunsumegideonmwamboneke9639
“hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!
@esthermwambene6975
@esthermwambene6975 Год назад
Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 года назад
Mimi mwenyewe yamenikuta !
@iddaadams7351
@iddaadams7351 Год назад
Lilian kama Lilian.......
@ndugutv5417
@ndugutv5417 Год назад
Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi? Hivi vitu sielewagi
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 2 года назад
Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.
@verasikawa6382
@verasikawa6382 Год назад
Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.
@evangelistmcsarahmvungi3626
Wewe ni mrembo na unaponya wengi
@aoman5214
@aoman5214 2 года назад
Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm
@jackmacha6057
@jackmacha6057 Год назад
Kwan shusho alishaachika
@esterpaul3146
@esterpaul3146 Год назад
@@jackmacha6057 ndio
@veeJesus
@veeJesus Год назад
Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??
@zeinababdi4757
@zeinababdi4757 2 года назад
Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background
@sharewithhope1229
@sharewithhope1229 2 года назад
It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 Год назад
Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.
@tukuswigaikasu5227
@tukuswigaikasu5227 Год назад
Acha makasiliko jamani..
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 Год назад
Mhhh kumbe walewale tuu kkk
@bikozikomo9496
@bikozikomo9496 Год назад
Anajionanga mtakatifu huyu dada,
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 2 года назад
Best interview
@sakinanaftali7929
@sakinanaftali7929 Год назад
#TUNAMWAMINI KARIBUNI KUITAZAMA ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ZhY-T8wk4Do.html
@silviagustavo416
@silviagustavo416 Год назад
Kingereza cha nn 😏😏
@julianapeason6254
@julianapeason6254 2 года назад
Dada jifunike
@fridahiminza8659
@fridahiminza8659 2 года назад
If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 2 года назад
Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,
@magrethmollel1078
@magrethmollel1078 2 года назад
Ni yakobo ndugu siyo Isaka
@williammweta5539
@williammweta5539 2 года назад
Ni yakobo dada
@winfridagama5832
@winfridagama5832 2 года назад
Isaka alikuwa nawatoto wawili Isau na Yakobo aka yakubuu
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 2 года назад
Isack alimwambia Esau,ila Rebecca ndo akamwambia Jacob afanye hivyo ajifanye yeye ndo Yacob
@esthermalamsha2847
@esthermalamsha2847 2 года назад
Ni Isaka sio Yakobo, Yakobo ni pacha wa Esau & Isaka ni baba yao...
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 года назад
Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 года назад
Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 года назад
@@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
Hakuna mume wa MTU endelea my
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 года назад
@@jescajulius8023 nasonga mbele my
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 года назад
@@nolimittvonline6822 haya mpenzi
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 4 месяца назад
Learn to cover your legs PLEASE
@ummukuothumndakize
@ummukuothumndakize Год назад
Nakupenda sana lilian
Далее
Разбудили Любимой Песней 😂
00:14
🤔
00:28
Просмотров 452 тыс.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
Просмотров 731 тыс.
LILIAN MWASHA AJUTIA KUOLEWA NA MUME WA MTU
8:43
Просмотров 3,8 тыс.
Разбудили Любимой Песней 😂
00:14