Powerful, nakuelewa dada Lilly, hiyo ni huduma au karama ya MUNGU endelea kuichochea, hata mimi huwa nafanya hivyo, nimeguswa na ushuhuda huo, natamani kupata namba yako kama hutajali.
I am Very inspired by lilian Masha's Story. She said she love Jesus, and her stories tells that. Big up big sisy Lillian. Be blessed and keep doing the work of God. Keep shining.
WOOW I HEAR FROM GOD LIKE LITERALLY TALKING TO ME THERE ARE THINGS GOD SPOKE TO ME AS FAR AS 25+ YEARS AGO BUT TILL TODAY I HAVEN'T SHARED NAMUELEWA SANA LILY
Dada Lilian umeniliza mno zaid ya mnooo kumbe nami Mungu ataja kunipa furaha ya kile nitachotimiza katka ndoto zangu nalia sana kila siku sijui Mwenyezi Mungu anampango gani na Mimi ninakatishwa tamaaa ya kuendelezwa aiseee sijui lakin namuachia alieko juuu
Hutakiwi kuwaza ndoa acha mungu amlete mwenyewe utajikondea bure kwavitu ambavyo muda wake haujafika tupige kazi hata wakija watukute tuko vizuri bank 😍😍😍😍
Yani nimekuelewa. Ata wangu hakumbuki kitu alafu nanuna. Kumbe si wangu tuu yuko hivyo. And that doesn't mean ur husband hakupendi. Thanks dear ur the best