Sasa umesafisha moyo wangu. Kumbe unajibu comments za wafuasi wako. Uko safi ukicheza kuliko kuimba bila kutuonyesha mnavyotumia sauti na miguu yenu. Nimewapenda sana wasukuma wenzangu. Kabila kubwa hilo.
Mimi NYAMWEZI lakini napenda sana nyimbo za kisukuma. Wimbo huu umetulia sana hata ujumbe wake ni zaidi ya nyimbo za kina diamond na wenzake. Waimbaji wengi wa kisukuma wanauwezo mkubwa wa kutunga nyimbo. Hongera sana Limbu
Mpe hongera zake huyu msanii chipukizi anafanya kaxi nzuri Mimi ni teacher kaligo dotto njige ni mwalimu wa literature in English kutoka Arusha secondary school
Kazi nzuri sana! Mbasha Studio na wengine mnajitahidi sana. Lakini endeleeni kuboresha kwa kutochakachukua sauti za waimbaji studio. Waacheni sauti halisi zisikike ili tupate ladha halisi na wasanii watufautiene kwa sauti zao halisi. Pia jitahidi sana kufupisha nyimbo zisizidi dakika 5.
asante sana kwa maoni yako, tunajitahidi kushauriana na wao wasanii wetu kuhusu sauti maana wengi wanataka effects wachache sana wanaokubali kuacha sauti halisi, na urefu wa nyimbo pia liko kwao wao wasanii wanataka hivyo. Pia hili nalo tunaendelea kushauriana nao
Wewe ukitaka nyimbo fupi sikikiza nyimbo za diamond na konde boy (bongo flavor) ambazo wanapiga makelele nyimbo zisizo na ujumbe na pia sauti halisi msikilize mlisho mpoto na twenty percent