Тёмный

LISSU AMVAA NYALANDU, WATU WAKE WANACHOMEW NYUMBA MOTO, ANAENDA UINGEREZA? SIJUI TULIMUITAJE CHADEMA 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 178 тыс.
Просмотров 30 тыс.
50% 1

#TANZANIA: SIJUI TULIMLETAJE LAZARO CHADEMA, WATU WAKE WANACHOMEWA MOTO YEYE ANAENDA UINGEREZA? - LISSU
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amvaa Lazaro Nyalandu kwa kushindwa kushughulikia mgogoro wa ardhi, Lissu adai alimpigia simu akasema yuko uwanja wa ndege anaenda Uingereza, "watu wake wanachomewa nyumba yeye anaenda Uingereza?, sijui tulimletaje letaje, mmeletewa vita na Serikali, si kwasababu halali iko upande wao, walishindwa kesi"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 88   
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 4 месяца назад
Welldone mh Lissu.
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn 4 месяца назад
Viva Lissu❤
@madenge731
@madenge731 4 месяца назад
Huyu jamaa anajua anajua anajua hadi anakeraaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣 TZ hii sijawahi kuona kama kuna Raia mwenye akili zilizopevuka kama za huyu kiumbe. Hakupaswa kuzaliwa wala kuishi nchi hizi za Kiafrika. Huyu mtu alipaswa kuwa nembo za nchi fulani huko mambele 😍😍🥰🥰
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 4 месяца назад
Kweli kabisa
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 4 месяца назад
Aya mambo yapo nihaki wananchi kuyajua lkn CCM huficha ukweli huu😢😢miaka mingi.,..
@YahayaKishakwi
@YahayaKishakwi 4 месяца назад
Anajua sana
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 4 месяца назад
Mungu amtunze na kumlinda
@jumashimba9620
@jumashimba9620 4 месяца назад
Big up tundu
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 4 месяца назад
Tuungane kwa pamoja kuindoa ccm
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 4 месяца назад
Lissu ww niwakipekeee sana
@DausonShensherwa
@DausonShensherwa 3 месяца назад
Lisu unafaa sana mungu akupe miaka 100000
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 4 месяца назад
Akili.kubwa.mungu.akulinde.ccm.hawataki.watu.wenye.akili.ndio.maana.walitaka.ufe
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 4 месяца назад
Sema baba
@DausonShensherwa
@DausonShensherwa 3 месяца назад
Lisu umetishaa ashukuliwe mama mzazi wa lisu
@adrianoadriano-ys6bm
@adrianoadriano-ys6bm 4 месяца назад
Sisi watanzania ni waajabu tunawapenda watu wanaotudaganya. Watu wakweli wanapigwa vita, kwa nini hatutaki kumuelewa Huyu Lissu!
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 4 месяца назад
Lissu ni Tapeli tu hawezi kusaidia chochote kile Ameshindwa kusaidia akiwa mbunge atasaidiaje sasa hivi Waeleze sera za chama chako
@ibrahshifta1595
@ibrahshifta1595 4 месяца назад
We mzee hujitambui ,hivi ww unamuweza Lissu ? Mavi ww
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
​@@adamlubawa1281auna akili ww mkubwa mzima lakini akili kisoda hiv ccm tangu wamechukua nchi miaka mingapi Kero zile zile tangu nimepata akili hadi leo Umeme Barabara mbovu Afya
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 4 месяца назад
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
@prospermalala6636
@prospermalala6636 4 месяца назад
Elimisha jamiii ielewe haki zao, zilizofichwa na haramu CCM
@rogersiddy
@rogersiddy 4 месяца назад
Wamewaficha alafu wanawafanya wajinga wanawadanganya tu wao wanatajirika kwa mali za nchi yetu kikundi kidogo tu
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 4 месяца назад
Elimu Elimu Elimu
@SalambaPeter
@SalambaPeter 4 месяца назад
Akili ya lisu ni sawa na maccm million 10
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 4 месяца назад
Tanzania wapo 7 watano lisu1 mpina 2 aidani kenani3 esta bulaya4 mwabukusi5 mbarikiwa mwakipesile6 na kishimba7 MUNGU walinde uwasaidie
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
Esta mtoe bhna weeee
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 4 месяца назад
Awamu hii wakimwaga ugari tutamwaga mboga sote tuwe na njaa
@rogersiddy
@rogersiddy 4 месяца назад
Aaah sana Mungu yupo atupe njia tumechoka kwakweli🙏🤲
@SalambaPeter
@SalambaPeter 4 месяца назад
Huyu mwalim tumepewa na mungu tusimwache aende
@michaelmabula7444
@michaelmabula7444 4 месяца назад
Upo viziri
@jonathansam4159
@jonathansam4159 4 месяца назад
Huyu jamaa anajua, huihitaji akili kubwa kumuelewa...suala la ubunge ni bajeti pia yy hutembea jimbo kwa jimbo. Hazungumzii ya jimbo moja...
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 4 месяца назад
BRAVO KOMREDI LISSU.....KWA HAKIKA NCHI 'INAUZWA'....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUING'OE CCM MADARAKANI....MIKATABA YOTE IPITIWE UPYA NA VIONGOZI WOTE WALIOHUSIKA HATUTAWAACHA SALAMA!
@Mkorajr
@Mkorajr 4 месяца назад
Akili km hizi zitunzwe
@MwakaSchone-gt7xc
@MwakaSchone-gt7xc 4 месяца назад
Ccm wanajifanyaga watekelezaji Na watu wakujari watu kwenye kero dogodogo kipind cha kampenitu . Ndo wanajifanyaga wema Tanzania amkaa
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад
Lissu mnyampaa uko saw katbak KWANZA
@SalambaPeter
@SalambaPeter 4 месяца назад
Kama huna akili kubwa huwezi kumwelewa lisu , tunahitaji wapatikane akina lisu watano wengine
@SalambaPeter
@SalambaPeter 4 месяца назад
Ukweli unawauma wanaomtukana lisu maana kwenye ccm hawana kama lisu ,nakama yupo tuwapambanishe wabishane kwa hoja
@SalambaPeter
@SalambaPeter 4 месяца назад
Wa tz tunahitaji viongozi ka lisu ,heche,mbowe, wasio ogopa kusema kweli nawaombea kwa mungu wasipate janga lolote mungu awalinde ili wazidi kuturolea blanket zito walilotufunika ccm tusiijue kweli maana kwa sasa naamini wa tz tumeanza kuelewa nini kinasababisha tunakua masikini
@ChristerKoku
@ChristerKoku 4 месяца назад
Umemsahau Halima Mdee.
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
KICHWA KIMOJA NI SAWA NA MAFISIEMU WOOOTE TANZANIA DAH JAMAA KICHWA SANA ILA UKIWA TAHILA UWEZI ELEWA😅
@isayagilson5710
@isayagilson5710 3 месяца назад
Huo ndo upinzani wa kweli.
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 4 месяца назад
CCM hawana huruma
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 4 месяца назад
Mnyampaa, mkali
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 4 месяца назад
😂😂😂
@LuckmanMiraji
@LuckmanMiraji 3 месяца назад
Wewe unae muita risu tapeli kuma amamaako
@NDEWARA
@NDEWARA 4 месяца назад
CHADOMOOOO😂😂 yaani yeye ni kukosoa tu. Aseme amewafanyia nini wananchi alipokuwa mbunge na aache porojo
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
Subilia upigwe mnada basi upewe tishet mwakan utulie kimya
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
Hiil kitu wenye akili Timamu tuu na siyo matahila ukiwa tahila basi utakosoa
@benswai8099
@benswai8099 3 месяца назад
Stupid kweli wee hewa
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 4 месяца назад
Na ulipokuwa mbunge uliwasaidiaje LISSU WACHA UTAPELI HUWEZI KUSAIDIA CHOCHOTE
@kakak1245
@kakak1245 4 месяца назад
Jimbo tofauti
@YahayaKishakwi
@YahayaKishakwi 4 месяца назад
Anae weza nani
@ibrahshifta1595
@ibrahshifta1595 4 месяца назад
Nenda zako na U CCM wako ,sura bayaaaa
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
Ww taila
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
Yani hata mwanao huko nyumban anakuona ww ni mbwa baba mbwa takataka
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 4 месяца назад
Big AP
@happyjeremiahmhuli4043
@happyjeremiahmhuli4043 4 месяца назад
Í📗🇹🇿💪💯👁️👁️👁️👁️👁️👁️👁️👫👫😃👨🏿‍🤝‍👨🏻👬😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 4 месяца назад
Now the res no ccm the res police ccm and military that all nyarandu went ccm because of leadership saif benefits not leadership for tanzanian population nyarandu is not a capable leader
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 4 месяца назад
Sema basi ukiwa wewe utafanya nini?? Mbona kuutwa unalalama tu! Mikutano unafanya mwenyewe wenzako wako wapi? Au utaongoza nchi peke yako? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂😂
@SephaniaMsigwa
@SephaniaMsigwa 4 месяца назад
Akr huna sahz ni dampen?
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 4 месяца назад
Wewe dorodh msuya unaonge pumba.kama huna Cha kuongea SI ukae kimya.wenzake wanakuhusu nn.?? Kuelemishwa wananchi wajue haki zao ni kosa wewe bumumba sana.
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 4 месяца назад
@@albinusmkono5887 wewe ni nani mpaka unifundishe cha kuongea! Hebu pita kule na hao waganga njaa wenzako! Wewe unajielewa unanisaidia nini!
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 4 месяца назад
@@albinusmkono5887 sisi tunataka sera! Anatuelimisha kwani yeye ni nani! Njaa tu hizo akiingia atakua zaidi ya hawa waliopo!
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 4 месяца назад
Toa sera za chama chako acha upimbi
@richardnganya2311
@richardnganya2311 4 месяца назад
Kuna tatizo mahali fulani.
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 4 месяца назад
Hana Sera yeye kazi yake ni kuwadanganya na kuwaongopea tu Sijui hao anaoongea nao wanahitaji historia
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 4 месяца назад
Wewe said kwakua hujitambui na huna la kusema Bora ukae kimya.unaongea utumbo sasa unataka Sela ipi ya kwako.? Toa wewe yakwako mnafiki sana😢😢😢
@ShamteMohmed-ed2kk
@ShamteMohmed-ed2kk 4 месяца назад
Porojo tu
@ibrahshifta1595
@ibrahshifta1595 4 месяца назад
Haya manyumbu ya CCM majinga sana na yanaroho mbaya sana ,alafu yanajua hayakubariki ndo maana mnalazimisha watu wasimuelewe Lissu, ww huoni anazungumzia matatizo ya wananchi au? We unataka sera Gani? Ina maana wananchi hawaelewi wajibu wao, unatakiwa kwanza uguse matatzoo ya watu ndo watakuelewa ,nyie wehu kweli
@janiafaomaa5120
@janiafaomaa5120 4 месяца назад
SIJUWI CHADEMA WALIMKUBALI VIPI HUYU MWEDAWAZIMU TUDU LISSU
@levissanga8867
@levissanga8867 4 месяца назад
Mwendawazimu ni wewe usiyejali haki za watu
@petermasanilo732
@petermasanilo732 4 месяца назад
Mwendawazimu ni wewe kama ulikuwa hujui
@ISAACSHABANI-h1y
@ISAACSHABANI-h1y 4 месяца назад
Mwenda wazma ni wew usiye jitabua
@richardnganya2311
@richardnganya2311 4 месяца назад
Kabla hujaoondoa kibanzi jichoni pako hangaikia boriti jichoni kwako.
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 4 месяца назад
Wewe. Ndio tunakushangaa uwenda wazimu wako umepitiriza kikomo
@SalumChema
@SalumChema 4 месяца назад
Shida.kubwa.tanzania.kila.Rais.anaekuja.anakujanamamboyake.mwenyewendiomaanahatuendelei.haswa.vijijikunashida.nyingisana.kama.kwetu.korogwe.watutupo.toka.74.leotunaambiwa.wavamizi.tunatakiwatuondoke.wakati.Nyerere.alituwekapale.vijiji..6.mgobe.kalekwa.lewa.god.sheni.kwa.mbaazi.msambiazi.watuwotehao.twende.wap.mamasamia.angalia.masikin.kamawamekwambia.ni.msitu.sio.msitu.ni.vijijtena.vinahati.sasahatiimetoa.nchigani.kama.sio.Tz
@youngsachafurniture5482
@youngsachafurniture5482 4 месяца назад
Wanakula nchi kila uchao
Далее
САМАЯ ТУПАЯ СМЕРТЬ / ЧЕРНЕЦ
1:04:43
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
Просмотров 4,4 млн
#LIVE: GODBLESS LEMA ANAFUNGUKA MAZITO MUDA HUU
2:48:21
Просмотров 1,2 тыс.
Kũmuramura magathĩti; #iNooroRũciinĩ
19:34
Просмотров 10 тыс.
Siku ya nane nane
2:04
Просмотров 20 тыс.