#TANZANIA: SIJUI TULIMLETAJE LAZARO CHADEMA, WATU WAKE WANACHOMEWA MOTO YEYE ANAENDA UINGEREZA? - LISSU
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amvaa Lazaro Nyalandu kwa kushindwa kushughulikia mgogoro wa ardhi, Lissu adai alimpigia simu akasema yuko uwanja wa ndege anaenda Uingereza, "watu wake wanachomewa nyumba yeye anaenda Uingereza?, sijui tulimletaje letaje, mmeletewa vita na Serikali, si kwasababu halali iko upande wao, walishindwa kesi"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
14 окт 2024