Тёмный

LISSU,ASKOFU MWAMAKULA,MADUHU WAFUNGUKA HAYA UHURU WA VYOMBO VY HABRI/ZIMEBAKI MEDIA ZA KUPIGA UMBEA 

JAMBO TV
Подписаться 924 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 51   
@huseinomary808
@huseinomary808 4 часа назад
Waandishi wapo star tv , Example chief odemba & aloyce nyanda mashine izo kbs
@AlexcpetroCpetro
@AlexcpetroCpetro 4 часа назад
Kweli kabisa
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 6 часов назад
Bila KATIBA HAKI hakuna wao hp juu wanakula bata vx za m 500 ndenge kila cku dar to dodoma, unaonaje hio,uhuru halisi hakuna wasojulikana wpo,baba,
@HaryPoter-zw7vr
@HaryPoter-zw7vr 4 часа назад
Waandishi wa Tanzania ni SHIDA TUUU
@gasparyephraimmwakatuma9542
@gasparyephraimmwakatuma9542 3 часа назад
Ni mfumo wa Elimu yetu haina mlolongo mzuri wa kujiendeleza
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 часов назад
Nchi hii hatuna waandishi wa habari bali tuna takataka za waandishi wa habari.
@HenryKisusi
@HenryKisusi 6 часов назад
Kweli baba Askofu Emmaus Bandikile, waandishi wengi wana utapiamlo... Makanjanja waliotengenezwa kuwaandikia habari vigogo, na kupamba utawala, utasikia Samia ametuleyea barabara, matundu ya choo huu sio uzalendo wamekuwa wauza story za umbea na uchawa tuu.
@williamgeorge-hd2tn
@williamgeorge-hd2tn Час назад
Media tz ni tatizo kubwa sanaa
@isayaanthon7063
@isayaanthon7063 Час назад
Nakubaliana na Askofu Mwamakula na Advocate Maduhu. Mambo ya msingi hayaandikwi. Swala kujiandikisha kwa mfano ni very sensitive. Unaweza kudhani CCM imewanunua wasitustue wananchi ili wajiandikishe CCM peke yake.
@davidpallangyo114
@davidpallangyo114 28 минут назад
Askofu Mwamakula amenena mambo ya kweli kabisa. Waandishi wa habari wanatakiwa wawe na degree ya taaluma alafu ndipo akasome degree ya journalism. Mfano mwandishi wa habari wa masuala ya kilimo awe na degree ya kwanza ya kilimo ndipo akasomee degree ya journalism nk.
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p 6 часов назад
Media nying ss hv wanatangaza mikeka et bado dk 10 ushinde shilingi laki .......
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 4 часа назад
Hata vituo vinavyohusika kutofika katika jopo hili tangu jana,mimi mwananchi ninayefuatilia kuzuiwa na vyombo hivyo vyote wakati huu ambao bado tunasikiliza kipindi hiki kisifikishe taarifa zao kwetu kwa usahihi kwa nia ileile ovu ili watanzania wengine tusielewe jinsi vyombo hivi vya habari kitolewa ukweli hu kwetu mpaka muda huu kwa kuuchezea mtandao sasa bila kuogopa taarifa zote mbya kwetu.
@deohaule8161
@deohaule8161 6 часов назад
Kuna censorship kwenye media. Kwa kifupi serikali imeingilia vyombo vya habari kuripoti habari za serikali. Nchi imekosa professional journalism.
@matiredms917
@matiredms917 2 часа назад
Aidha kuna self-sencorship kutokana na unafiki uchura na kuwa corruptible and compromised.
@deohaule8161
@deohaule8161 2 часа назад
@@matiredms917 kabisa pia kunatetesi serikali inawatishia kuwafungia media zao endepo wakienda kinyume na mitazamo ya serikali kwa kuikosoa. Mfano kwenye media fulani fulani wakigundua ume comment kukosoa serikali basi hiyo comment ina ondolewa haraka sana ku poteza ushahidi. Nchi imekosa professional journalism.
@muddyausi8470
@muddyausi8470 6 часов назад
Me. nimeacha kusoma. magazeti. huu. mwaka. wa. 4 au. wa. 3. wala. kunbalia. tv. naangalia Azama two. niwaone. rafiki. zangu. watruk na. wakolea. na. Tv. Mahasim. basi
@Steve-q8m
@Steve-q8m 5 часов назад
Katiba ibadilishwe ili kupata uhuru wa vyombo vya habari kwa haki
@NimlaMbangu
@NimlaMbangu Час назад
Maduhu umesema kweli tupu
@alexnzota136
@alexnzota136 2 часа назад
Wana habari wetu jaribuni kuangalia tv za kenya mfano citizen muone wenzenu wanovyo ripoti na kuchambua habari mtajua tu kwamba mko nyuma sana yani hapa tz mtangazaji anasimulia mambo ya nyumbani kwake yani baazi ya vyombo vya babari vina boa ni ajabu
@leokamil6284
@leokamil6284 5 часов назад
Waandishi wamefungwa midomo mikono na macho na Serekali. Wakisema wanafungiwa au kunyanganywa vibali
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 5 часов назад
tuvusheee baba
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 3 часа назад
Magazeti yote wanashabikia ccm na serikali yake tu
@IvetaSteven-b9z
@IvetaSteven-b9z 5 часов назад
shida ni mfumo wa uchaguzi sio kuongezeka kwa mipaka
@DanielSinavangi
@DanielSinavangi 2 часа назад
Wanafiki hao wooooote wapo mtaa wa 2
@isayaanthon7063
@isayaanthon7063 Час назад
Ila pia kutaka journalist awe na elimu kubwa kuliko mbunge nayo inafikirisha. Mbunge anatunga sheria, kuishauri na kuikosoa serikali ila elimu darasa la saba inatosha. Tukubaliane tu kupitisha rasimu ya wariona iwe katiba ili twende sawa
@giftkalenge418
@giftkalenge418 Час назад
waandike mambo ya uchaguzi atawalipa nani? hizo habari za uchaguzi wananchi hawana morali ya kuzisoma kwakuwa serikali inawachagulia Viongozi kwahiyo waandishi wapo saw kutokuandika
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 6 часов назад
Memsahau mwangosi?yuko wapi?mwandishi akiandika ukweli anabambikiwa kesi ya uchochezi ndiomaana wameamua kufanya matangazo ndio yanalipa wala utafutwi na watu wasiojulikana.
@faridsalehmohamed1230
@faridsalehmohamed1230 2 часа назад
Wamegeuka machawa
@alexsakilu2650
@alexsakilu2650 5 часов назад
Akili kubwa
@iddykivu050
@iddykivu050 5 часов назад
Sasa Mtu kama Mwijaku Kitenge Unafikili watazungumzia nini Zaidi ya Umbea
@faridsalehmohamed1230
@faridsalehmohamed1230 2 часа назад
Uchawa
@willsoniissaya
@willsoniissaya 3 часа назад
Kunakipindi cha itv wananikera
@IvetaSteven-b9z
@IvetaSteven-b9z 5 часов назад
WAKIANDIKA MAMBO MUHIMU WANATEKWA VYOMBO VINAFUNGIWA
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 3 часа назад
WAKIAMUA WOTE KWA UJUMLA KUANDIKA UKWELI HAWTAWAFUTIA
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 6 часов назад
WACHA KUDANGANYA WAGALATIA SERIKALI HII IMEZIBA MRIJA NYIE TEC MMESHAJULIKANA NA PROPAGANDA ZENU ZA UDINI NA CHUKI 😢😢😢
@chizcom4229
@chizcom4229 6 часов назад
UMEPOKEA UDINI UMEKOSEA MAWAZO EMBU NENDA MADINA UKUTE HAKUNA WASOMI NA WALISOMA WAKAKUONGOZA KUZUNGUKA KABAHAA INGEKUWA KABAHAA HIPO TANZANIA INGEKUWA STENDI YA MPIRA
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 6 часов назад
@@chizcom4229MAPALOKO MMEJULIKANA NA UDINI WENU HAHAHAHA VYUMA VIMEKAZA MIUJIZA IMEKUWA FAKE WACHUNGAJI SADAKA HAZITOSHI ALBINOS HAWAPATIKANI 😢😢😢😢😢
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 6 часов назад
@@chizcom4229 WAGALATIA MMESHAJULIKANA NA MAIGIZO YENU HAHAHAHA
@BeatusNgereza
@BeatusNgereza 5 часов назад
Acha kumsakama askofu
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 5 часов назад
Waislamu wengi kwenye ubongo wana mavi ni mambumbu na machizi kutokana na kwamba wanaishia kusoma majini madrasa wakristo wanaenda kusoma shule na habari za YESU
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 4 часа назад
Vyombo vya habari ni nini kinawazuia msiandikè habari?
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 3 часа назад
Wamekwamishwa kwa muda mrefu sana na sheria za kuwadhibiti na akiandika ukweli wanafungiwa kuna mifano ya magazeti kadhaa yaliyofungiwa tusiwalaumu moja kwa moja
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 6 часов назад
Waandishi wenyewe wanapongwa na serikali sasa we unataka wafanye nini dawa nikususia habari za serikali.
@leokamil6284
@leokamil6284 5 часов назад
Kweli kabisa mfano ni jana Arusha kanyanganywa cheap na mpambe wa Mkuu wa Mkoa. Wanadhibitiwa na Serekali wasipofuata ya Serekali wanafungiwa
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 4 часа назад
Media zimekuwa chawa wa kusifia serkali tuu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 3 часа назад
Hakika
@NgamelaYussuph
@NgamelaYussuph 6 часов назад
Media Ni Biashara Kila.Mtu Anaandika Kitu Ambacho Kina Manufaaa Kwake So Uandike Mambo ya Siasa Yanahusu,
@ThomasErro
@ThomasErro 4 часа назад
uyu ni askofu wa dini au ni askofu wa chama chadema mbona anakuwa wambelembele sana, hasa chadema inapokuwa na mambo yake, hivi kanisa lake ni ipi, mbona cjaona akihubiri injili ata kwa cku moja
@Steve-q8m
@Steve-q8m 5 часов назад
Katiba ibadilishwe ili kupata uhuru wa vyombo vya habari kwa haki
Далее
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Просмотров 39 млн