Kweli baba Askofu Emmaus Bandikile, waandishi wengi wana utapiamlo... Makanjanja waliotengenezwa kuwaandikia habari vigogo, na kupamba utawala, utasikia Samia ametuleyea barabara, matundu ya choo huu sio uzalendo wamekuwa wauza story za umbea na uchawa tuu.
Nakubaliana na Askofu Mwamakula na Advocate Maduhu. Mambo ya msingi hayaandikwi. Swala kujiandikisha kwa mfano ni very sensitive. Unaweza kudhani CCM imewanunua wasitustue wananchi ili wajiandikishe CCM peke yake.
Askofu Mwamakula amenena mambo ya kweli kabisa. Waandishi wa habari wanatakiwa wawe na degree ya taaluma alafu ndipo akasome degree ya journalism. Mfano mwandishi wa habari wa masuala ya kilimo awe na degree ya kwanza ya kilimo ndipo akasomee degree ya journalism nk.
Hata vituo vinavyohusika kutofika katika jopo hili tangu jana,mimi mwananchi ninayefuatilia kuzuiwa na vyombo hivyo vyote wakati huu ambao bado tunasikiliza kipindi hiki kisifikishe taarifa zao kwetu kwa usahihi kwa nia ileile ovu ili watanzania wengine tusielewe jinsi vyombo hivi vya habari kitolewa ukweli hu kwetu mpaka muda huu kwa kuuchezea mtandao sasa bila kuogopa taarifa zote mbya kwetu.
@@matiredms917 kabisa pia kunatetesi serikali inawatishia kuwafungia media zao endepo wakienda kinyume na mitazamo ya serikali kwa kuikosoa. Mfano kwenye media fulani fulani wakigundua ume comment kukosoa serikali basi hiyo comment ina ondolewa haraka sana ku poteza ushahidi. Nchi imekosa professional journalism.
Wana habari wetu jaribuni kuangalia tv za kenya mfano citizen muone wenzenu wanovyo ripoti na kuchambua habari mtajua tu kwamba mko nyuma sana yani hapa tz mtangazaji anasimulia mambo ya nyumbani kwake yani baazi ya vyombo vya babari vina boa ni ajabu
Ila pia kutaka journalist awe na elimu kubwa kuliko mbunge nayo inafikirisha. Mbunge anatunga sheria, kuishauri na kuikosoa serikali ila elimu darasa la saba inatosha. Tukubaliane tu kupitisha rasimu ya wariona iwe katiba ili twende sawa
waandike mambo ya uchaguzi atawalipa nani? hizo habari za uchaguzi wananchi hawana morali ya kuzisoma kwakuwa serikali inawachagulia Viongozi kwahiyo waandishi wapo saw kutokuandika
Memsahau mwangosi?yuko wapi?mwandishi akiandika ukweli anabambikiwa kesi ya uchochezi ndiomaana wameamua kufanya matangazo ndio yanalipa wala utafutwi na watu wasiojulikana.
Waislamu wengi kwenye ubongo wana mavi ni mambumbu na machizi kutokana na kwamba wanaishia kusoma majini madrasa wakristo wanaenda kusoma shule na habari za YESU
Wamekwamishwa kwa muda mrefu sana na sheria za kuwadhibiti na akiandika ukweli wanafungiwa kuna mifano ya magazeti kadhaa yaliyofungiwa tusiwalaumu moja kwa moja
uyu ni askofu wa dini au ni askofu wa chama chadema mbona anakuwa wambelembele sana, hasa chadema inapokuwa na mambo yake, hivi kanisa lake ni ipi, mbona cjaona akihubiri injili ata kwa cku moja