Watanganyika mumechelewa kweli😂cc tunataka hata kesho asubuhi saa1huu muungano usiwepo kabisa mwisho chumbe kama mnayaweza vunjeni bas cc tumechoka Zanzibar oyeee Tanganyika bay bay😂
WAZANZIBARI hawautaki huu MUUNGANO, WATANGANYIKA ndio wanaulazimisha ukizungumeia jambo lolote la Muungano unaitwa mhaini, mashehe wa Zanzibar walifungwa miaka minane jela na Kikwete kwa kuzungumzia mambo ya Muungano.
Iko hv.... idadi ya watu sio kigezo .... Zanzibar ni nchi ... kuna nchi zina watu laki nane but still sovernigty is there.. ongelea maendeleo ... na nakubali mabadiliko ya muundo... ila wananchi wengi hawaelewi
Sisi Raisi wetu mwenye huruma na Wananchi wake John p magufuli Alifariki Haya mauzauza sijui yalitoka wapi Leo hii tunauziwa bandari zetu na Wananchi kufukuzwa kwenye makazi Yao ,
Jamani kifo ni siri ya Mungu anajua nani atakufa lini ila Kwa mfano Tundu lissu angeshinda uchaguzi 2020 halafu Mungu akamchukua akiwa kwenye madaraka je nani angeongoza nchi? Bila shaka ni mgombea mwenza ambaye ni Salum mwalimu je Salum ni nani? Mtanganyika au mzanzibar?
asanteni sana Chadema mbowe na LiSU waaambieni wakome tuwafyagie mbali watoto wetu awapewi kazi Samia kazi yake ni kuajiri wazanzibari wake uku Tanganyika wakiumia na. Kuwanyanganya mashamba yao tuwakomeshe mafisadi kinana Samia kikwete waache watanganyika wakae kwa amani wenu ni simba sauti ya wanyonge
Watanganyika ni vileo hawajielewi kabisa lkn kama nyie chadema munasema kweli mujiandae kwa mtutu wa bunduki muandae waasi apo ndio ccm wataelewa lkn maneno yenu yametuchosha
Kushindwa bwaan... Ndio shida zetu hizo... Ayaa after kumkana Mzanzibar... Sura zenu kama Vijusi..(Viboboro). Njooni na hilo Uchaguzi huu... Mtatukoma Wabongo.
Mnakumbuka shuka wakati kumeshakucha acheni usenge vichogo tulizeni vitenesi mama hakutaka uraisi bali uraisi umemtaka mama wa kizimkazi badala y magufuli kuanguka mulikuwa hamuchuiii kama atarisi iyo ndo namba ya zanzibari njema atakae aje kwa paspot
Watanganyika sasa mmeamka kutoka usingizini sisi zamani tulilipigia kelele suala la Muungano na wenzetu walikiona cha moto kwa kuugusa Muungano. Sasa watanganyika musirudi nyuma mpaka kieleweke.
Wacha mvua inyesha tuone wap kunavujisha,maana wazanzibar tukidai haki zetu kwenye Mungano hawatuelew Rais wa Zanzibar wanatuchagulia wanaemtaka wao,pass port yetu wamefuta,Leo Samia kuwa Rais wa Tanzania wanapiga kelele ni mzazibar, je wao wanasahau Aboud jumbe aliwahi kuwa Rais Zanzibar na ni huyo huyo ndio alisimamia zoez zima kuweka CCM madarakani,watanganyika hao hao ndio waliuwa chama Afro Shiraz,Mungu mkubwa kweli malipo ni hapa Duniani ,wameamka kutoka usingizn kisa kutawaliwa na Mzazibar
tukiangalia vzr tokea 1964 mpk zanzibar ndio ilioathirika sn na muungano hio iitwayo tanzanzia kiukweli ni tanganyika yenye mipaka mipya ikijumuisha zanzibar,serikali ya zanzibar ni danganya toto haina meno na hayo yoote yamefanywa na watawala wa tanganyika sio zanzibar hvyo lawama zote jibebesheni wnyw,isitoshe watu wa znz miaka mng wamekuwa wakiupinga muungano huu ulivyo watawala wenu walipinga na kuwanyamazisha kwa staili tofauti,kumbukeni mashehe wa uamsho kilichowakuta.mbowe na lisu kazi yenu nzr sn chocheeni ubaguzi ili watanganyika na wazanzibari mazwazwa waamke na kudai chao,tatizo kubwa ni ccm tuikatae ccm ili tuamue mashirikiano ya haki au tubaki majirani wema.hongera lissu hongera mbowe,zanzibar kwanza shengesha badae tanganyika oyeeeeeeeeee
Kwa sasa tusikubali TANGANYIKA YETU IRUDI. Kwanza wanatusheka Sisi WABARA. jamani hivi nyie wabunge mliokuwabingeni mnaona ni sawa wenzetu walivyotuzunguka? Kwa kuandaa Sheria zao za kuwalinda na hapo hapo kutufhulumu Sisi WABARA..Wananchi AMKENI tudai TANGANYIKA YETU maana hata kwa sasa vizazi vyetu vinakosa Ajira nyingi zimechukuliwa na watu wa Zanzibar mpaka na uchumi wetu. Kazeni sauti kwa nguvu. Tudiwaachie Wariyoba na Tundu Lissu.
Hata Wazanzibar hawataki Rais wa kupandikizwa kutoka bara. Miaka yote wazanzibar wanachaguliwa Rais kutoka bara imetosha sasa. Wazanzibar tuwachiwe tupumue. Kama inavyowauma kuwa na mzanzibar Rais wa Tanzania na sisi tumepata kelele miaka tumechoshwa na Muungano huu. Pigeni kelele watanganyika sasa ni zamu yenu nasisi tunawaunga mkono.
jaman lisu anaongea si kwa maslah yake Bali kwa tanganyika nyinyi wa bara pazeni sauti zenu muungano ni kwaajili ya familia ya viongozi wa selekali ngazi za juu hatutaki kabisa muhungano wa mchongo
Mmechelewa sana ss Zbar tunataka ikiwezekana kesho saa 2 asubui Muungano uvunjike kila mtu awe na nchi yake ,endeleeni CHADEMA kudai utanganyika wenu ss kwetu rahaaaa
Mbowe na Tundu Lisu mumeshindwa na siasa, sasa mnakuja na uchochezi. Lisu ni mwanasheria, lakini anashindwa kuelewa kuelewa kuwa wazanzibar na watanganyika wote ni Watanzania.
Mmtanzania gani Leo umwambie hakuna mungaano Hamna takwimu Wliozaliwa ndani ya mundane no zaidi ya MILIONI 6 Wale wazee wa miaka ya mapindduzi na kizazi Chao wako 700. Nyinyi sio viongozi ni njaa zinawasumbua Waiting wa ruzuku Kelele zenu ni ruzuku Kupewa nhe Msahau Nyinyyi mazezeta Watanzanil wana hisia kali.
Tuataka huo muungano uvunjike kesho asubuhi. Kwani muungano una maruweruwe makubwa sana. Waha CCM wametudanganya muda mrefu. Nadhani Nyerere sijui alinyweshwa dawa au alikuwa na wazo gani kichwani mwake. Jamani huyu Samia aondoke na warabu wake siku hiyo aende akawape Pemba yote.
@@ramadhanmahongole9293Vunjeni Muungano kama inakuumeni Nyie TFF shirikisho la Tanzania Bara ndio linatuwakilisha Wazanzibari FIFA na CAF yaani tuna yetu mengi tu
inchi hii kesi nyingi niya ardhi ukitaka kujua fwatilia mkuu wa mkoa anavyo hangaika kusuluhisha namuombea makonda Mungu amulinde ningetamani awe rais waichi hii
Huo ndio ubaguzi na uchichezi leteni sera Kwa wananchi tunataka maisha mazuri, tutibiwe Bure, watoto wasome Bure, Barbara, umeme na maji hizo ndio kero zetu. Mnaenda kuongerea Muungano ili iweje? HAMNA SERA MNATAKIWA MKAMATWE HUO NI UCHOCHEZI. MTAMBUE HILO MNAVITUMIA VIBAYA VYAMA VYENU NA MAJUKWAA HAYO.