Тёмный

#Live 

PROMOVER TV
Подписаться 151 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Опубликовано:

 

23 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 45   
@JofreyDamson-nm6ec
@JofreyDamson-nm6ec 5 месяцев назад
Amen mchungaji
@GroriminaVenancempua-fe1xi
@GroriminaVenancempua-fe1xi 11 месяцев назад
Asante sana kaka yangu wa ukweli fichuwa vyote mimi na watoto wa tanzania na dunia nzima tupone
@RhianShauri-h8r
@RhianShauri-h8r 27 дней назад
Yesu akupe mbawa za tai siku zote
@tamarali8325
@tamarali8325 11 месяцев назад
My favourite pastor Amieli God Bless you. Promover you guys men of God your doing a good job God Bless you my brethren ❤
@mpandawiliam5390
@mpandawiliam5390 11 месяцев назад
Barikiwa Mtumishi, nilikumiss sana
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 11 месяцев назад
Amen ubarikiwe san mtumishi
@AyubuAbduly
@AyubuAbduly 11 месяцев назад
Mungu awenawe
@adeladamasi4391
@adeladamasi4391 11 месяцев назад
Asatee bwanaa YESU
@elishaodas4358
@elishaodas4358 11 месяцев назад
Ameen 🙏
@tuponearon7368
@tuponearon7368 11 месяцев назад
Mungu atusaidie kuyaelewa haya
@florencemueni1183
@florencemueni1183 11 месяцев назад
Tangu nianze kukusikiliza mtumishi nimejifunza mengi kutoka kwako na nimefunguka kiroho na macho,,, Mungu akulinde ukomboe wengi
@jastinewilliam4475
@jastinewilliam4475 7 месяцев назад
Ubarikiwe
@DoricEverist
@DoricEverist 11 месяцев назад
Yesu nimuweza Amen 🙏
@ramadhaniabdulabdul
@ramadhaniabdulabdul 5 месяцев назад
amen
@HarryMbale-ie1ex
@HarryMbale-ie1ex 11 месяцев назад
MUNGU unirehemu mi nimwenye dhambi najuvunia jina lako YESU
@AngelShukur-df4rq
@AngelShukur-df4rq 11 месяцев назад
Amen
@elizabethsimbenga4773
@elizabethsimbenga4773 11 месяцев назад
Amen Amen Amen tumepokea watoto wote wametoka kwenye vifungo vya shetani
@catherineawinja7417
@catherineawinja7417 11 месяцев назад
Naupenda Imani yako mchungaji katekela
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 11 месяцев назад
All Glory be to God
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 11 месяцев назад
Amen YESU apewe sifa
@its_keziah77
@its_keziah77 11 месяцев назад
Aaaa basi mchungaji,babangu mdogo huku Kenya ni mwenda wazimu tangu 85 hadi leo ana miaka 57.mume wangu ana degree na kazi ya maana hana ,tena ameokoka.kwetu sote hakuna mwenye kazi ya maana , dada zangu Joyce na Veronica hawajaolewa,ndoa ni shida
@fitinamarando
@fitinamarando 11 месяцев назад
Mch Katekela bwana akubarikiwe na uendelee kutuelimisha nabarikiwa .
@GraceChabonga
@GraceChabonga 8 дней назад
Naomb kujua maana ya jina la amiel ili nimpatie mwanangu wakiume ningependa awe mtoto wa mungu asije fta yadunian mabya sana mtumish naomb uniambie maana yajila lako
@winnieawinondinya9140
@winnieawinondinya9140 11 месяцев назад
Naomba ukombozi juu ya msichana wangu juu naota ndoto kumuhusu eti amepotea eti anatoka ndani ya nyumba usiku wa manane kuenda zake na nilipomufuata nikamurudisha tena badaa ya muda mchache tena akatoka ila hakuenda mbali amekuwa akinichungulia kama namuangalia na nikaamuka kutoka usingizini
@MosesWakristo-ko5ze
@MosesWakristo-ko5ze 11 месяцев назад
Glory to Jesus
@eliethmwanguya7118
@eliethmwanguya7118 11 месяцев назад
Hakika Mungu wetu ni mkuu mno,
@khalifakondo4670
@khalifakondo4670 7 месяцев назад
Bwana Yesu asifiwe naomba kujuwa naweza kuandika jina humu kwenye comment na namba yasimu ili kuendelea kupata huduma za kiroho na mchungaji??
@PromovertvTz
@PromovertvTz 7 месяцев назад
Hapana hiyo siyo njia sahihi,kuna namba za simu hapo tutafute
@anthonymaina7100
@anthonymaina7100 11 месяцев назад
Kwelikweli
@kretamathias1970
@kretamathias1970 11 месяцев назад
Muchungaji nakufatilia kila siku ninabalikiwa sana mahubili yako
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 11 месяцев назад
Unaongea ukweli mtumishi wa Mungu..shemeji yangu kuanzia firstborn kumaliza shule akawa kichaa wapili ivo ivo watatu ivo..Eeh Mungu uishie juu pahali patakatifu mukumbuke
@charigrace5993
@charigrace5993 11 месяцев назад
Jameni tukumbushwee Kenya ni shanzu wapi kanisa
@HappyJohn-w1z
@HappyJohn-w1z 11 месяцев назад
Naomba namba yake
@tuponearon7368
@tuponearon7368 11 месяцев назад
Ukonga ipo Dsm, jirani na gereza la Ukonga
@fitinamarando
@fitinamarando 11 месяцев назад
PROMOVER TV MBARIKIWE DAY 4 SIIONI
@HarryMbale-ie1ex
@HarryMbale-ie1ex 11 месяцев назад
Hakika neno la MUNGU ni uhai
@elegantthriftcollections8101
@elegantthriftcollections8101 11 месяцев назад
Ukonga ipi jamani?!
@raelnangila3006
@raelnangila3006 11 месяцев назад
Ameeni
@its_keziah77
@its_keziah77 11 месяцев назад
Kuna kanisa huku kwetu Kenya,lakini Shanzu wapi?
@anthonymaina7100
@anthonymaina7100 11 месяцев назад
Shanzu ni sehemu za Mombasa
@its_keziah77
@its_keziah77 11 месяцев назад
Thankyou my brother, but inaitwa je
@rosepallangyo1352
@rosepallangyo1352 11 месяцев назад
Kaza mwendo ukitoboa ukweli ukiwasema watumishi why kuna ambayo awataki ila ss tunakuelewa songs mbele
@graceboke4346
@graceboke4346 11 месяцев назад
Amen
@winnieawinondinya9140
@winnieawinondinya9140 11 месяцев назад
Amen
@bonintajiri3958
@bonintajiri3958 11 месяцев назад
Amen
Далее