Mi nilijua anaondoka Eng Hers...kumbe Azizi K,muache akatafute maisha, ila taabu bado iko palepale Kolo ww,kinaondk chuma kitaingia chuma....daima mbele.....💪💪💪
Hueleweke unazungumzia aziz kuondoka au kuhama kwa fei au kafunga penati ya fa? Huelewki, Yanga hawana tabia hiyo unayo force wakufanyie, yanga wanataka football litembee.
Yanga wanadhani mchezaji akicheza kwao, anaipenda timuyao.😅 watu wako kimaslahi zaidi.Azizi kii anafamily yake inamtegemeapiya ndiyo maana Hajasaini mkataba mpya😅😅😅
Hivi zambro kaanza kumsimamia Aziz ki baada ya kuja Yanga? Mbona kama Sasa hivi inaonekana kama Aziz hana maamuzi wakati mwanzoni akiwa asec mimosas maamuzi yalifanywa na Aziz na mama yake.
😂😂taasisi yanga to mtibwa shuga season iliyopita na walioshuka daraja wameshukuru aucho kaaga job kaag na kushukur coach gamond alishukuru na kuaga ila Ako dar kisa Aziz ki kaaga kwenda kimataifa ety oooh uuh acha maneno akienda atakuja wengine mm ilo Sina shaka
Usiwe kama choko hizo pesa unatoa wewe? au familiya yako? wewe hakuna anaekusapoti ila mambumbu kama wewe, subiri asajiliwe halafu uangaliye sura yako utaiweka wapi,
Wewe mchambuzi unapotosha fei Kuna mechi alicheza na wachezaji nane ndipo alipochukua goli nyingi je friji bovu unakumbuka ? Acheni kumpamba kwa sifa za ulimbukeni
Tumuuze tu Aziz tupate pesa mpira biashara,tutafute mtu wa kucover hiyo nafas yake ,na huo ndio mpira ,uza upate faida nunua wachezaj wengine kwa utulivu