Тёмный

#ZaNdaaani 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 272 тыс.
50% 1

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Спорт

Опубликовано:

 

27 дек 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 195   
@dullywa9973
@dullywa9973 Год назад
hapa ndo kuna tetesi za ukweli aise 😂😂momo salute aise
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 Год назад
Shomari Kapombe daaaaaah
@mrsultanzimbwe6746
@mrsultanzimbwe6746 Год назад
Geita gold
@nixnovember
@nixnovember Год назад
Momo Romano. Keep it up Brother. Tunakuonaaaaaaa🤜🏿
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Год назад
Daaaaa Tupe iyooo bhana
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Год назад
NA NYIE VIONGOZI KANN HAMUWALIPI WACHEZAJI MISHAHARA YAO? NA HUO UBINGWA UTAOUPATAJE? JAMANI WANATUMIA DAMU WACHEZAJI.
@davidpyc2392
@davidpyc2392 Год назад
Mtabaki kusikiliz nchi zingine zikiendelea kimpira zaidi kuliko nyinyi baada ya kuwekeza katika uzalishaji wa vipaji kupitia academy zenu mnabaki kunyemelea wachezaji ambao hawatawez wasaidia kwa muda mrefu na wanao wapa gharama kubwa hongereni mtibwa sugar kwa kuwasaidia vijana wa Tanzania kuijua thamani ya mpira sio kubeba makombe bali kutengeneza watu watakao saidia kukuza mpira nchini🤝
@afreemanonline8226
@afreemanonline8226 Год назад
Hii msg watumie hiyo club yako nayo isinunue ikuze vibaji kwn shida iko wapi
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 6 месяцев назад
Wenawe! Sijui nikujibu nini
@lazarolugwisha5524
@lazarolugwisha5524 6 месяцев назад
Baka , job, kibwana , kibu umewazalisha wewe
@josephwayesu338
@josephwayesu338 6 месяцев назад
Ligi zote kubwa duniani azitumii wachezaji wazawa ww mpira umeanza kufatilia mwaka gani katika ligi zipo timu ndogo kazi yake kufanya ivyo.lkm kilabu kubwa zote zinatazama makombe nasio kumfundisha mjezaji kujitambua.ukitaka mabadiliko nilazima ukubali kushindana.usijisifu unambio msifu na anae kukimbiza maana usingejuwa Kama unambiao kaka jifunze Kisha ndio coment
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Год назад
Pole sana Mayele!
@imanhamis7107
@imanhamis7107 Год назад
Code/mmoja washamchukua
@blackothman7332
@blackothman7332 Год назад
Kuna mpumbavu apo anaulizwa vilabu viko vingapi et anajibu viwili halafu mchambuzi😄😄😄
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Год назад
Za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa big show
@user-rw6iz6dc7s
@user-rw6iz6dc7s 6 месяцев назад
Huyu bwana ni muongo kupindukia habari zake sio za kweli
@nyaganyaga3876
@nyaganyaga3876 Год назад
Simba hao Hali yao tete Sana huko. Mo kachomoa betri. Ila timu zetu wajifunze kutafuta wachezaji wazuri badala ya kubomoa timu nyingi maana hii haijengi ligi yetu mfano Simba na yanga ni timu ambazo zinashiriki michezo mikubwa ya Caf ukizibomoa umebomoa hata zile nafasi 4 za uwakilishi Kama nchi
@milikimbembela8670
@milikimbembela8670 Год назад
Duh Azam wanabalaa, kama viladmir Putin uvamizi tu kisa donge nono, Simba fungukeni basi watatutia hasara Hawa panya rodi
@PaschalMussa-g5l
@PaschalMussa-g5l 5 дней назад
​@@milikimbembela8670kunanin sasa
@mzeeomary5780
@mzeeomary5780 Год назад
Chama huyo
@remigiusrwechungula7047
@remigiusrwechungula7047 Год назад
Chama......
@thomasluhanga6439
@thomasluhanga6439 6 месяцев назад
Macha
@eleoncejohn3823
@eleoncejohn3823 Год назад
Hyo ni Geita Gold.
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Год назад
Wachambuz wa soka hapo hakunaaa kitu
@salumujaibu8697
@salumujaibu8697 11 месяцев назад
Nakubali sana 😂😂😂😂
@johnzege209
@johnzege209 Год назад
Tshabalala
@linuskyando4155
@linuskyando4155 Год назад
Simba haoooo!!!
@robinabomola8030
@robinabomola8030 Год назад
Mbn watu mnataja yanga kwan hakuna timu yenye wachezaj wazuri
@josephchuwa1206
@josephchuwa1206 Год назад
Ngada weee lipeni mishahara wachezaji wenu.🤣🤣🤣🤣
@mirajilimited8563
@mirajilimited8563 Год назад
Www mwongo kama simba, yang, azam hakuna
@samiusiraj6769
@samiusiraj6769 Год назад
Daaah
@patricktegea1430
@patricktegea1430 Год назад
Chaumaaaaa
@abdurikalimu
@abdurikalimu 6 месяцев назад
Azizik za ndaannnn
@sebammari5443
@sebammari5443 Год назад
Mmoja kawahiwa ni Feisal aliyebaki Mayele
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 Год назад
Acha inyesheee tu🤣
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka 6 месяцев назад
Aish Munula
@Tchidymbanga
@Tchidymbanga Год назад
Fei toto Azam kuziba pengo Akaminko, Akaminko na Kipre Jr Yanga, Chama Azam weka kumbukumbu vizuri. Sijui nani kaumia 😂😂😂?
@felixbenos6365
@felixbenos6365 Год назад
Chama kuja yanga
@FaisalSadulu
@FaisalSadulu 11 дней назад
Shabalala
@MarkoMgaya-xv3qd
@MarkoMgaya-xv3qd Год назад
Chama asepetuu
@davidjohn540
@davidjohn540 Год назад
Mmoja Fei Kisha wahiwa bado Mayele
@Veni584
@Veni584 Год назад
Chama
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Год назад
Kwahiyo Fei ameshatambulishwa Azam?
@askwarysiay635
@askwarysiay635 Год назад
Fei hatoki ng'o mtasubiri sana
@reillahabiba9923
@reillahabiba9923 Год назад
AISHI MANULA TO AZAM
@masatumajani8485
@masatumajani8485 Год назад
Chama huyo ndio anaondoka simba wasiporekebisha mambo yao
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 Год назад
wewe ndo umefungua code yenyewe watag wana thimbaa
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Год назад
Kweli kabisaaaaaaaaa😂
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 Год назад
Ni Dickson job
@rockygappi1018
@rockygappi1018 Год назад
@Majani msemaji wa Simba ndio amekuwa anasema wazi kuwa watatikisa kwenye usajili ina maana we bado hujasoma code tuu???
@jonaskabonda741
@jonaskabonda741 Год назад
Inonga kawahiwa bado Chama
@emmanuelgodfreylotti8684
@emmanuelgodfreylotti8684 Год назад
Sure boy uyo from azam to yanga
@renatushaule
@renatushaule Год назад
"MWENGINE" "MWINGINE"
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 Год назад
Chama wakawaida
@abdurikalimu
@abdurikalimu 6 месяцев назад
Azizik kii uyo mpkanleo kagoma kuongeza mkataba
@ShabaniMchela-zx4ln
@ShabaniMchela-zx4ln 3 дня назад
Ukweli mtupuhapa
@francismwaipopo5046
@francismwaipopo5046 Год назад
Makolo hao, Inonga wamemzuia bado wengine hasa Manula
@elishalaurent2892
@elishalaurent2892 Год назад
Singida hao
@kennyndessa2039
@kennyndessa2039 Год назад
Air manula
@isayaluvanda8470
@isayaluvanda8470 Месяц назад
Wewe nimuongo sana huna rorote mmekunywa supu mnaropka hovyo
@kawanga0073
@kawanga0073 Год назад
Mm naona km Job beki wa chura
@Myplusbee
@Myplusbee Год назад
Ni timu moja tu hapa siku za nyuma ilikuwa inapanda ndege lakini hivi sasa Wachezaji wake wanapandishwa kwenye Eicher kutoka Dar hado Bukoba!! Kwanini tuoneane aibu kuambiana ukweli bhana!!!
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Год назад
Acha zarau
@Myplusbee
@Myplusbee Год назад
@@malopemaliyamungu5243 Dharau kwa nani Kiongozi?!
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Год назад
@@Myplusbee Eicher anapandishwa Nani? Hiyo haipo haijawahi na haitatokea.
@erickbenedict4943
@erickbenedict4943 Год назад
Uyo mchezaji alishawahi kupita kwenye hiyo club,momo akajibu alipitaaa.....Manula no doubt
@zakariadouglas6275
@zakariadouglas6275 Год назад
Halafu akasema huko kwingine washamaliza
@kasigehamisi7802
@kasigehamisi7802 Год назад
kapombe jee
@OswardMwambete-en5uk
@OswardMwambete-en5uk 20 дней назад
Mwamnyeto kendal Sc
@jumanneyakuti3218
@jumanneyakuti3218 Год назад
Diksoni job ,,🤣🤣🤣huyooo
@deboramartin8111
@deboramartin8111 Год назад
Chama huyooo tunajua kitamboo
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani 15 дней назад
Nimayele
@user-uv2uo2ic2y
@user-uv2uo2ic2y Год назад
saluti kwako kado momo
@VMGAfrica
@VMGAfrica Год назад
Mlete #Bangala #Simba Imeishaa Hyo
@joviignus1674
@joviignus1674 Год назад
Manula uyo
@jacksonmartin8485
@jacksonmartin8485 Год назад
Mhhhhh chama huyo
@classicboyrahib903
@classicboyrahib903 Год назад
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 Год назад
Ni Dickson job huyo
@eddiemay547
@eddiemay547 6 месяцев назад
Hao ndo waandishi wa tanzania
@kanyikamasika3628
@kanyikamasika3628 Год назад
Inonga kawahiwa ila chama yupo mguu ndani mguu nje
@mbelwamadiwa3334
@mbelwamadiwa3334 Год назад
Huyo ni job na azam
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 6 месяцев назад
Mhhh mambo ya mbumbu mchezaji yupi atanyimwa mshahara miezi mitatu labda hatakiwi tena
@user-lb6my9qs5c
@user-lb6my9qs5c 13 дней назад
Kagoma yusuf
@mwasa_tv
@mwasa_tv Год назад
simba mbn code nyepes iyo
@mwitahassan1934
@mwitahassan1934 Год назад
Anamzungumzia chama aliewahiwa ni inonga yeye keshasain
@eliamunisinkya5169
@eliamunisinkya5169 Год назад
Manula hyo naa aslmia 100%
@sholdaniemmanuel8684
@sholdaniemmanuel8684 Год назад
manura amesha sinya hadi 2025
@eliamunisinkya5169
@eliamunisinkya5169 Год назад
@@sholdaniemmanuel8684 skia kauli yke mwishoni alishapta hapo afu unganisha na azam wanatatzo gan aswaa
@salvatorymbigili7895
@salvatorymbigili7895 Год назад
Kapombee
@AmaniHittu-qm1fx
@AmaniHittu-qm1fx 22 дня назад
Mwamba anajua
@nickdr_tv
@nickdr_tv Год назад
CHAMA....
@issajuma8297
@issajuma8297 Год назад
Umbea waachie wadada aupendezei unaongea vitu bila ushaid udada uo
@mikidadijoseph5612
@mikidadijoseph5612 Год назад
Kolo mtalia
@f.a6043
@f.a6043 Год назад
Wacha kelele zako za chura ww🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸👈🏿😂😂😂 kwa vile utoh wamepata changamoto unadhani ni kila team
@amannesphory7343
@amannesphory7343 Год назад
Manula huyo
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 Год назад
Ndio. Kazi. Zenu. Umbra. Kama. Wakezeni. Wachakuku. Watupuu
@obedpeter6874
@obedpeter6874 Год назад
Mpole kuja simba
@ashasaidi1895
@ashasaidi1895 Год назад
Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita kwa tsh ml 300 bado miaka miwili nanusu chama nae bado miezi 20 mkataba wake kumalizka hzo story tu za mitandaon hazina ukweli
@suzancharles1639
@suzancharles1639 Год назад
Chama huyoooooo😂😂😂😂😂 nyie this life is not fair
@frankgeorge149
@frankgeorge149 Год назад
sasa tushapata ukweli ni simba hawalipi mishahara🤣🤣🤣🤣
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps 6 месяцев назад
Hata wakimchukua hachezi klabu bingwa
@geraldbenjamin9302
@geraldbenjamin9302 Год назад
Umeshasema timu zamani ilikua inalipa mapema, na mchezaji wao mmoja wamememalizana, bado unataka kupewa code gani tena hapo? Hao ni Ihefu( hahaha)
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 Год назад
Makolo na hapo ni chama Inonga tayari
@elishaelisha6755
@elishaelisha6755 Год назад
Ricardo momo,,,,
@bbclondonulimwenguwasoka6126
Kama Kuna timu ya namna hiyo ni wapuuzi sana , matajiri uchwara waondoke timu ibaki pekee c mashabiki tubaki huru na timu yetu.
@davidmyale9496
@davidmyale9496 Год назад
Ukibaki huru na team yako utaipa pesa ww 🥱
@emmanuelhosea370
@emmanuelhosea370 Год назад
Kakolanya huyo...😀😀
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Год назад
Una Akili sana
@hellymsigala9852
@hellymsigala9852 Год назад
N chama huyo shenz
@AishshibnShibani
@AishshibnShibani 15 дней назад
Chama kamaliza mkataba
@damarygaratulu9135
@damarygaratulu9135 Год назад
Huyu jamaa na domo Lake kubwa muongo kinoma
@jailosibrahim88
@jailosibrahim88 Год назад
Hata mm naijua hiyo chama anataka kwenda azam baada ya kushindikana kwa inonga
@f.a6043
@f.a6043 Год назад
Labda Utopolo 🐸🐸🐸👈🏿😂 na manyele wenu🐸😂 Uto - manyele =🐸 👈🏿🤣
@jailosibrahim88
@jailosibrahim88 Год назад
@@f.a6043 mbona unatumia nguvu kubwa kwan shida iko wap
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Год назад
Chama huyo ni kweli kabisaaa Ushafungua code kaka
@husseinkassimu2714
@husseinkassimu2714 Год назад
We dogo ni mshamba tu coz unajificha ficha ww niutopolo tu kama utopolo wengine kua free acha kujificha tunakuchukulia kama punga jiachie acha uzezeta
@DM_15
@DM_15 Год назад
Kamasio kapombe au manula
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 Год назад
Anawaongopea mjinga huyo
@EnockSDady
@EnockSDady Год назад
Manula huyo Bai Bai simba
@barakamando2706
@barakamando2706 6 месяцев назад
Mwandishi mkuda huna lolote
@ramadhanrashidmthailand713
@ramadhanrashidmthailand713 Год назад
Chama akiondoka sjui viongozi watatuambia nn ili tuwaelewe!
@classicboyrahib903
@classicboyrahib903 Год назад
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Год назад
Mkae mkao wa Kula Azam wanambeba Chama na manula
@yohanakayinga9279
@yohanakayinga9279 Год назад
Mayele wewe
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Год назад
@@classicboyrahib903 hata chama
@yohanakayinga9279
@yohanakayinga9279 Год назад
Umewapa pesa za mishahara mpaka wahanngaike kukwambia ww nani nani unatoa sh ngap 😀😀
@user-ox8pc5wu7u
@user-ox8pc5wu7u 6 месяцев назад
Huyu jamaa ni muongo sana ebu tafuta njia ingine ya kujipatia umaarufu.manara na huyu jamaa would fe wAko sawa
@user-tw9nc5cq2t
@user-tw9nc5cq2t 5 месяцев назад
Singida je huyo mchezaji ninani
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 14 дней назад
Uyo ni fei na anatua simba
@cat-kr1ro
@cat-kr1ro Год назад
Manula au zimbwe au kapombe
@eddsonjeremiah6669
@eddsonjeremiah6669 Год назад
Simbwa hiyo mbona tushajua
@f.a6043
@f.a6043 Год назад
🐸🐸🐸🐸 machura yanalia tu
@mohamedjeizan5929
@mohamedjeizan5929 Год назад
Utopolo ndio hawalipi mshahara
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 Год назад
Umekaririshwa bila kufanya uchunguzi.nikusaidie ili uumie sio uelewe. Simba wamemuwahi Inonga bado Chama.Inonga alitaka kuondoka dakika za mwisho wakamuwahi.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
UTOPOLO VISHAHARA VYAO MKIA WA MBUZI HAWASHINDWI KULIPA.
@muddyville
@muddyville Год назад
Yanga hainaga shida hiyo sasa hivi. NGADA ndo kuna changamoto.
@nationalparkofafrica2184
@nationalparkofafrica2184 Год назад
jamani Mayele kama akiondoka yanga 🙆🙆🙆🙆
@focusernest5610
@focusernest5610 Год назад
Ni Simba syo yanga na ni chama
@hoseaemanuel3528
@hoseaemanuel3528 Год назад
Kapombe
@classicboyrahib903
@classicboyrahib903 Год назад
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@hassankilongo8061
@hassankilongo8061 Год назад
Ni Chama sio Manula.
@taseleli9181
@taseleli9181 Год назад
Hivi huyu Manula anatimiziwa mara ngapi juzi tu hapa kafanyiwa kila kitu labda ni mwingine.
@pascalburah297
@pascalburah297 Год назад
Upuuzi mmja uwo msiishi kwa kukariri mrudisheni kwanza feisal
@samwelrevocatus1218
@samwelrevocatus1218 Год назад
Hizo za ndani mbona zinatisha kama ni kweli
@Elizabeth-fu3ze
@Elizabeth-fu3ze Год назад
Hawana cha maana cha kuongea ktk mipira ya bongo! mishahala sasa sisi ndiyo tunawalipa!si muwambie viongozi mafumbo ya nini wewe mwanaume
@meshackmwalongo1753
@meshackmwalongo1753 Год назад
Mwongo wewe tushakujua sikuhizi.
@enockjuvenary9553
@enockjuvenary9553 Год назад
Code, washachukua mmoja mwigine wanammendea
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Год назад
KAMA MMOJA WESHACHUKUWA BASI UTOPOLO HIYO.
@classicboyrahib903
@classicboyrahib903 Год назад
@@salimmalaka256 Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Год назад
@@classicboyrahib903 akili kubwa sanaaaa
Далее
Спецэффекты в Симс 4
00:36
Просмотров 279 тыс.
🏟️👋 Welcome to your new home, Kylian Mbappé!
00:14
Kylian Mbappé is a Real Madrid player🤍👏🏼
0:25