Тёмный

#LIVE 

Chadema Media TV
Подписаться 215 тыс.
Просмотров 16 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 43   
@aloycemisigalo3983
@aloycemisigalo3983 2 месяца назад
Mh. Lema niko makini sana kusikiliza madini unayoyatoa, mimi kama mimi naamini viumbe walioko bungeni wangekuwa na akili hata robo ya uliyo nayo naamini Tz tungepiga hatua kubwa sana, wewe una kitu kizur ndani ya kichwa chako ambacho kingeweza kuisaidia hii nchi, wewe ni lulu ktk nchi yetu, asante brother Lema.
@RodrickMmanyi-lr6lr
@RodrickMmanyi-lr6lr 2 месяца назад
Hongera sana Mh. Lema kwa hotuba safi kwa Watanzania na Dunia kwa Ujumla.
@elishandagala8677
@elishandagala8677 2 месяца назад
Mungu awatetee ndugu zangu wamasai kwa kutoonekana Umuhimu wenu katika nchi aliyowapa Mungu. Baba wa Taifa angekuwepo sidhani kama angependezwa kuona vipande vya fedha vinathaminiwa kuliko utu wenu.
@MangiKivuyo
@MangiKivuyo 2 месяца назад
Jaman mungu awalinde chadema mnasema ukweli
@ShukuruSaningo-d6n
@ShukuruSaningo-d6n 2 месяца назад
Majimbo yote ya masaini hatufanyi uchaguzi hatutapiga kura mpaka tupate hatima ya maisha yetu na maeneo yetu yote ya masaini
@KisakaMvungi
@KisakaMvungi 2 месяца назад
Dah!!! Huyo ndio lema
@HappyChuwa-gs8bw
@HappyChuwa-gs8bw 2 месяца назад
Fact
@simonngirisho-yc1qt
@simonngirisho-yc1qt 2 месяца назад
Lema kwa Sasaanavyozungimza taratibu kwa hekima amekomas kisiasa na kaiiva. Tofauti na makelele ya hapo awali hongera
@raphaelkorio2435
@raphaelkorio2435 2 месяца назад
Picha ya juzi ni mbaya sanaa, na wazungu wanakuwaga very Hury kupost situation
@paritsaruni5019
@paritsaruni5019 2 месяца назад
Indegenousness is geneousness, which is why the maa community has been the best conservator without going through a formal schooling system.
@gwejonoah1900
@gwejonoah1900 2 месяца назад
well said❤
@brysonmandari5694
@brysonmandari5694 2 месяца назад
Point sana, Ila tatizo la Tz akili ndogo ndio zinaongoza akili kubwa
@noelyhaule5695
@noelyhaule5695 2 месяца назад
Wenyewe ikulu kuhamia to dodoma walikataaga katu katu kwanin walikataa😂😂😂
@kenedyrocky4641
@kenedyrocky4641 2 месяца назад
ASANTE MH LEMA. INABIDI TUAMKE WATANGANYIKA MAANA TUMEVAMIWA NA MKOLONI MWEUSI CCM AU NYOKA WA KIJANI.
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 2 месяца назад
Sawa kamanda wetu Lema tunawafatilia sana wasaidien Masai ngorongoro wanaish kama wakimbizi makamanda wetu mawakili wasomi mtaliweza kunusuru mambo haya yanayo endelea kwenye taifa holi
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 месяца назад
✌👊👍.
@chrysanthushakaunga6560
@chrysanthushakaunga6560 2 месяца назад
Hello kunashida kubwa nchi hii
@rosekimaro384
@rosekimaro384 2 месяца назад
Sana sana kamanda
@JustinSinkala-x6c
@JustinSinkala-x6c 2 месяца назад
kweri umenena
@Majiifande
@Majiifande 2 месяца назад
Nchi yetu sio salama sasa
@camilomassao8971
@camilomassao8971 2 месяца назад
Wamezima sauti
@JacksonMahende-ho2wb
@JacksonMahende-ho2wb 2 месяца назад
Sema baba hawaelewi tu
@StevenNyanguye
@StevenNyanguye 2 месяца назад
Lema leo umefel mbona umehujumiwa sauti
@HuseniMsumba
@HuseniMsumba 2 месяца назад
TATIZO CHADEMA INAPOTEZA DIRA MIGOGORO YA NDANI KWA NDANI,
@GibertGideon
@GibertGideon 2 месяца назад
Hakuna sauti mbona
@JamesMahilane-gt2on
@JamesMahilane-gt2on 2 месяца назад
Sauti
@camilomassao8971
@camilomassao8971 2 месяца назад
Eheee!!!!
@Majiifande
@Majiifande 2 месяца назад
Sauti haisikiki kuanzia kutajwa vijiji
@chrysanthushakaunga6560
@chrysanthushakaunga6560 2 месяца назад
Kiusalama ngoro ngoro siyo salama Kwa mwingiliano wa nchi ya Kenya na kabila la wamasai wenye mwingiliano wa Tanzania na Kenya wakiongea lugha moja
@noelyhaule5695
@noelyhaule5695 2 месяца назад
Leo lema amepoa😂😂
@HamisiSamweli
@HamisiSamweli 2 месяца назад
Umesema ukwel kamanda
@EliaoniTerry
@EliaoniTerry 2 месяца назад
SAUTI wameshachukua jamani,,,
@deuskamugisha3627
@deuskamugisha3627 2 месяца назад
Saut ndg
@EliaoniTerry
@EliaoniTerry 2 месяца назад
Nionavyo nguvu itatumika kuwasambaratisha wamasai, hii kutokana na kwamba ccm wameshajua wamasai hawatawapa kura kwa namna yoyote, kwa kiburi cha watawala hawatajali hata wafe watu elfu kumi, ili mradi lengo la watawala lipite. Lakini, lakini, lakini, ole itakayofuata haitakaa isahaulike maana itakua endelevu kwa vizazi 3 hadi 4 vya watawala.
@barakaelias7680
@barakaelias7680 2 месяца назад
Naked truth
@ianmatiri5045
@ianmatiri5045 2 месяца назад
Hakuna sauti,wame hack au
@MwesigeMwesige
@MwesigeMwesige 2 месяца назад
Chadema uchagu hautakuwa wahulu naaki
@isaya8202
@isaya8202 2 месяца назад
SIASA imewashinda, mmeanza vurugu tu
@chrysanthushakaunga6560
@chrysanthushakaunga6560 2 месяца назад
Uwekezaji mkubwa mjini magharibi utokee chukua maeneo yote ya kwelekwe Hadi fuoni watafutie maeneo wakazi wake chake chake wajengee kota nyumba wote je yupo atakaye kwenda pemba?
@ShukuruSaningo-d6n
@ShukuruSaningo-d6n 2 месяца назад
Hata sisi ni Waisrael asili yetu hivyo kama Tanzania imetuchoka basi watutafutie hifadhi huko Israel wasitunyanyase
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 2 месяца назад
Bro mbona kama hauko sawa kiafya?
@dassustephen731
@dassustephen731 2 месяца назад
Ametulia Tu analeleza Kwa utulivu mkubwa.He is ok
@silasmarandu1485
@silasmarandu1485 2 месяца назад
Anaongea kwa umakini ili mwenye sikuo asikie! Watawala waweze kukaa chini na kuchanganua watoe maamuzi sahihi
Далее
muthoni wakirumba gutinithia keki ya Uhuru Kenyatta
14:07
Voy shetga man aralashay | Million jamoasi
00:56
Просмотров 161 тыс.