Ukiachana na mungu na mama yangu hakuna mwingine ninae mpenda duniani Kama hamisa mobeto mwanamke ananidham sana hata Kama anamapungufu yake sio Kama ya masta wengine tulia mdogo wangu na mpenzi wako tu acha tamaa na mambo mengine ya kidunia 🎉
Hamisa dada yangu ukiona watu wanakuchukia bila sababu ujue una kitu ambacho umewazidi maneno ya watu yasikunyime raha mwanya wewe ni mrembo, mchapakazi na unajielewa endelea kuwarusha roho KIVUTIO CHA TAIFA 🥰😂😂💃💃
Adui ya mwanamke ni mwanamke mwenzake naona wengi muna wivu na hamisamobetto kila unapo mchukia mtu basi mungu huzidi kumpandisha daraja wengi walitamani afeli kimiaisha lakini mungu nani maana wengi walitarajia nyota yake itazima ila ndio kwanza inazidi kung'aa
@@sabinashabani1165 kama unajua thamani ya ndoa usingeropoka niteseke uchi wangu ndii unaotumika hapo jamaa kama ana mguu yeye ndie analiwa unaifurahia zinaa? Ana sema mahusiano alhamdulillah... Jambo haram vipi liwe alhamdulillah? Dunia pambo usishabikie ujinga
Ameshazowea kuzini na Ndiyo maana alizaa Watoto wake wote kwa Zinaa, na bado anaendelea kuzini bila ya kuwa na hofu kwa Mungu, badala ya kufanya toba na kujirudi kwa Mungu wake, amesahau kuwa hapa duniani tunapita tu.
Huyu fedha ndio zinamsumbua, hatujasahau ya Rick Ross teyari umenasa chambo kingine!, yote hayo ni pesa ndo inakuperekesha,!😮Angalia dada fedha fedheha, kwa tamaa ulonayo waweza wabadilisha dini mpaka na watoto!
Acheni makasiriko jamani Mungu hapendi kama mtu anaonyesha bidii mpongeze ndio namna na Mungu na yeye atakupa. Sio kumtamkia mabaya mwenzio. Nilikuwa napita ti mikakutana na hii interview nikacheki ila kusoma comment ndio nikachoka. mnaandika vibaya mtakuta maisha yenu yamejaa maovu mpka shetani anawashangaa ila ni vile hayako public na pia ni Siri ya mioyo yenu. Jifunzeni kumtamkia watu baraka, madhambi yake acheni kwa Mungu ndio hakimu wa haki