Edison Mungu ni mwema na mwaminifu. Ndiye aliyekuokoa ktk mikono ya Watawala waovu kutaka kuitoa roho yako ili uweze kutoa ushahidi wa uhakika kuwa Serikali inahusika moja kwa moja na utekaji na mauani wa raia wake wenye misimamo tofauti. Ushahidi wako unasimama kwa sababu siyo wa kusikia bali unahusika moja kwa moja. Mungu ataendelea kukulinda dhidi ya mipango miovu ya huu utawala haramu.