Bikira maria hawatokei watu na haitawahi kutokea watu zindukeni jamani mnadanganywa na shetani mkubwa audanganye ulimwengu wote, Huyu mtoto anatumiwa na malikia wa kuzimu aitwaye maria
@@marianachriss2444 unakubali kwamba mama bikra maria mama wa mkombozi wako baada ya kumzaa mkombozi wako alinda kuzimu na kuwa malkia ndugu tunaemsema ni mama wa yesu wa kuzimu unamjua wewe
@@vaivai4525 hakuna mwokozi Zaidi ya YESU KRISTO pekee, maria hastaili kuabudiwa Wote watakao muabudu maria wataenda kuzimu,maria anayeabudiwa kwenye makanisa katoriki yuko kuzimu ,
glory to God I was born of Catholic faith but I am now born again however this ìs a big blessings that God has given to tge Catholic Church as a whole. The Lord keep His servant Baby Yunsi forever and keep her protect her Amen.
I don't understand a word of this language but I believe in God,I love the Virgin Mary. May more people give their lifes to Jesus through this little angel.
Salaam Maria umejaa neema Bwana Yu nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa Maria Mtakatifu mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu Sasa na saa ya kufa Kwetu amina
Salam marikia, mama mwenyehuruma., tunakusihi ugenini hapa, sisi Wana wa Eva,. Tunakulilia na kulalamika bondeni huku kwenye machozi, haya basi mwombezi wetu , utuangalie kwa. Macho yako yenye huruma, na mwisho wa ugeni huu utonyeshe Yesu, mzao wa turbo lako mbarikiwa. E mpole, mwema , mpendevu bikira Maria.
NI VILE MLIPOTOSHWA KUHUSU MAMA MARIA...ANAMAKUBWA AMBAYO NYIE HAMKUYAJUA.......MAMA MARIA ANANGUVU ILA NYIE MSIO WAKATOLIKI HAMJUI SASA SAA IMEFIKA. MUMJUE MAMA HUYU.......YEYE SIE MUNGU...ILA ANANGUVU KUBWA KULIKO MALAIKA KULIKO VIUMBE WOTE ......SASA IWAPO MALAIKA WANANGUVU KUBWA KWANINI MAMA HUYU ALIYE MBEBA MUNGU ASIWE NA NGUVU....WAKE UP
Hii ni iman ambayo si mtoto atendaye bali Mungu. Wapo watu wana miaka 45 ila awajawai changia hata 100 ktk kujenga kanisa ila wakute kwenye kuonga!. Umri huu kupata mwamko wa mambo ya Mungu kiasi hicho hii sio ya kawaida lkn Wapo wenye wapinga kristo maoni yao pia ni muhimu na yaheshimiwe
Hamna Mungu wa kweli ndani ya mtoto roho ya udanganyifu iliyotoka kuzimu ya kishetani , bikira maria hawatokei watu na haitawahi kutokea watu,Kuna pepo la kishetani linaitwa Maria hilo ndio linalotenda kazi ulimwengu mzima hata ndani ya kanisa la roma,amkeni Siku za mwisho zimekaribia
Mungu atukuzwe Sana katika hili. Asante Mungu kwa wazazi Hawa wenye imani thabiti. Mtoto Eunice naomba uniombee kwa Mama nipone mgongo, goti na shida nyingine niliyo nayo. Amina. Mama Maria utuombee.
Yesu Kristo anataka tumuombe Baba kupitia yeye (YESU). Yohana 14:13-14. 1Timotheo 2:5, Yohana15:6, Yohana16:23-26, 1Yohana5:13-15, Mathayo 11:28-29..n.k. Ndiyo maelekezo yaliyopo katika neno la Mungu (Biblia), Kuna shida gani kufuata maelekezo yaliyo katika biblia Takatifu? Yesu katika neno la Mungu ndiye anaitwa mwombezi. 1 Yohana 2 1 Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki, 2 naye ndiye kipatanisho kwa dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu, bali na kwa dhambi za ulimwengu wote.
Huyu mtoto anaongozwa na roho mtakatifu na anaemuona ni malaika wa Mungu kwa ajili ya huduma aliyonayo nimeongea kama mtumishi wa Mungu aliye hai,, tubarikiwe sisi na vizazi vyetu
Bikira maria hawatokei watu na haitawahi kutokea watu zindukeni jamani mnadanganywa na shetani , Huyu mtoto anatumiwa na malikia wa kuzimu , aitwaye maria, roho ya udanganyifu iliyotoka kuzimu iemeenea duniani kote
Usiseme huyo mtoto ni malaika shetani anaweza kumtumia tu sana, ndo maana kuzimu kunasehemu ya watoto wazazi wake wasiposhituka wakaivunja hiyo roho huyo mtoto ataangamizwa
Kitabu cha Kutoka 20:4-6 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. 5 Usivisujudu wala kuvitumikia, kwakuwa mimi Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, 6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu. Hii ni amri ya kwanza katika amri 10 za Mungu alizowapa wanadamu kwanini hawa watu wanajifanya hawaijui?
The bible says too that all the world will call her (Mary) blessed, why do we like being partial in reading the bible, how did the angel Gabriel address her?
Oooh Lord, it was very far from her place. Only God knows why she asked her dad to bring him to this place. Allmight God bless them. im from rwanda n i really believe what they telling the world. Praise the Lord for his grace and mercy on us, hallelujah hallelujah hallelujah Amen Amen Amen 🙏.
Yes huyo mtoto ana communicate na mama Maria bt why are they helping her to answer the questions you asked her why don't they allow her to speak by her own.
@@judithmelvinealuchio8968 si eti siamini miye bt nili view the video with friends who comment they should allow Eunii and according to me the quiz she's been asked is small concerning to what she is doing.. Sir God and our Virgin Mary thankyou for revealing to your people Mary mother of Divine Grace Virgin Most faithful pray for us.
Acheni kuabudu watu kama maria ibada ya sanamu imekatazwa waziwazi na neno la Mungu mbona hamsikii?? Anayepaswa kuabudiwa ni Yehova Mungu peke yake na tuna paswa kusali kwa Yehova kupitia kristo Yesu basi na sio vinginevyo
NI VILE MLIPOTOSHWA KUHUSU MAMA MARIA...ANAMAKUBWA AMBAYO NYIE HAMKUYAJUA.......MAMA MARIA ANANGUVU ILA NYIE MSIO WAKATOLIKI HAMJUI SASA SAA IMEFIKA. MUMJUE MAMA HUYU.......YEYE SIE MUNGU...ILA ANANGUVU KUBWA KULIKO MALAIKA KULIKO VIUMBE WOTE ......SASA IWAPO MALAIKA WANANGUVU KUBWA KWANINI MAMA HUYU ALIYE MBEBA MUNGU ASIWE NA NGUVU....WAKE UP
Mizimu tuuui hakuna kitu ...Bikira Maria akitokea analazimisha kujengewa kanisa ...sasa yupi hapa wa kuomba Yesu au Maria Bandia ambaye utumia jina la Mariam
Muislamu ka comment hivyo kwa kuwa anasoma msaafu ,Mariam anaemtaja huyo mtoto ameelezewa vizuri na Mara nyingi Sana kwenye msaafu,tuwe na subra yatadhihirika
@@marianachriss2444 Amina kabisa hata mtoto anaamini hivo vilevile ata mama anayemtokea anaamini hivo ,kwa hiyoi usipinge tu kwamba mtoto hana maono ya kweli
@@ivanniyeha4229 amini kuwa bikira maria hawatokei watu na haitawahi kutokea watu zitunduka ,siku za Mwisho shetani anataka kuwakusanya watu Ili aende nao jehanamu
Huyo mtoto either ni pepo katika mwili wa mtu ili kupotosha n kupelekwa roho za watu kuzimu ama ana mapepo kweni pia alikaa tumboni mwa mamake miaka tatu binadamu wa kawaida ni miezi tisa
Jamani Mambo ya Mungu tusi shindane nayo ... Our. Prophet TB Joshua ata yeye akizalizaliwa baada ya miezi zaidi ya 15..months. So wstu wasio wa kawaida maisha na mambo yao huwa togauti na wengine....
@@olivenjeru5033hapana huyu mtoto amezidi hata kama mtoto hakai tumboni zaidi ya mwaka miaka 3 ni nyingi sana prophet TB Joshua yupo kuzimu najua hutaelewa.halafu manabii waukweli wa mungu hawatumii maji Wala mafuta kwa watu this kid will take hundreds of souls to hell I believe she's a demon in flesh
You need to be taught by the Holy spirit,you might end up being led to another doctrine that is not of the bible,read your bible, remember the last days many will be led astray even the elect,I SURRENDER TO THE HOLY SPIRIT OF GOD ALMIGHTY
.sauti iyo nimwangwi,jaman mmepotea kabisa mmemuacha mungu,wewe unae Soma hii comment Soma warumi 10:2 ,pia ndugu shetan Yuko kazin na anatumia wanadamu,ili la iyo mtoto likowazi..tambua mungu ana hekima si Kama munavyo waza wanadam