This young angle is really talented and anaimba kutoka kwa moyo wake may God give you many more years to preach the gospel through songs you always bless me with your songs nakupenda sana, mungu akuongeze maika uokoe watu wake kupitia nyimbo, following From Kenya,
Huyo mtoto Mungu anamuaandaa kuwa kiongozi miaka ijayo ya ukubwani. Mungu abariki kipaji chake. Amlinde na amkuze ndani yaikono yake na kumwondolea mabaya yote. Amina.
Mimi mkenya lakini napendezwa na nyimbo za huyu mtoto mwimbaji,hakika utafika mbali ,nakuombea heri njema na afya nzuri ili uweze kutumiza ahadi yake bwana mnyezi mungu.
Kazi nzuri sana kijana nakusikiliza kutoka Kenya ,mungu akulinde naakupe maisha yenye amani tele. Ningeomba tu wanao msimamia Tafadhali mnapote Fanya hivyo kumchangia muweke mkopo ama kikapu atakoyo iwekewa hiyo pesa kwa maana wengi pia wangependa kuitoa lakini wanaofia kufika hapo anapo imba .
Nalia kwa ucungu pia na maneno haya najiuliza kwanini burundi kila siku kugombana kisha watu kufa kila siku wamoja kupotea jameni tupendani na pia tulumbuke kuwa sisi wote niumoja tuna baba tu umoja mwenyezimungu watanzania nawapenda sana mungu aendelee kuwamwagia upendo mwingi