Unatakiwa kunisikia vizuri shida yetu ni kukalilishwa na uvivu wa kuosoma vitabu na kuvitafakari ila kama una mpenda Mungu mpenda Mungu hatukani watu na nimwema kwa viumbe wenzie sasa mpenda Mungu natukana!!! Hafai tuwe wa starabu na tuheshimu mawazo na sio vibaya nawe uka wa na mawazo yako na mimi nimeongea vyema maana siku mfananisha mungu na chochote.
Sasa kwahiyo mimi n niko ijumaa najumamosi au..jina langu linaanzia n mwez januar sasa nikifatilia najiona jumamosi nipo ijumaa nip nishike lipi ajabu napenda nguo nyeusi nanyeupe tu.sasa sielewi