hahahahaha ila maarifa eti ndo utaftaji mambo yatakuwa sawa ..........respect sana mamen the big thinker umeongea bonge facts yan and all ov dem are de truth..
Sio kila rapper anaweza kufanya freestyle, na kwa hii interview waandaaji mmezingua. Ilitakiwa na maarifa mumpe beat nyingine afanye afanye freestyle. Ingawaje namuamin sana maarifa kuliko Lunya lkn mmekosea sana kumfanya maarifa ndio amuongelee lunya katika kwa upande wa makosa. Hawa wote ndio watu walioushikilia huu mziki wa hip hop kwa sasa, inafaa wakae pamoja na tupate vitu vizur kutoka kwao, wote wawili.
also ukiwa kwa media dada yangu ni better ukaficha upendo wako kwa lunya huwez mwambia artist it's better to be silent umenkwaza sana ety dis haina fact basi kama ni rahisi fanya wewe
Uyo demu anapagawa na style ya young Lunya kwa sababu fan base kubwa ya Lunya ni madem, anasema mistari haina mashiko kwa sababu she's too soft kusikiliza punch lines hana uwezo wa kuprocess lines anazotema maarifa ila kuprocess soft ass lines za lunya anaweza maana ni taarabu style ya lunya
Kwahyo Maarifa ndio anamulekeza Lunya nn afanye, ananichekesha sana😂😂😂, maarifa n mwana hip hop sio rapa, rapa lazima awe na flow za rap kama Lunya, alafu pia hip hop ya kizazi cha sasa haihitaji tu mwana hip hop inahitaji rapa, mtu yeyote anaeweza kutunga verse za kihip-hop anaweza kuwa mwana hip hop lakini kuwa rapa inahitaji uwe na flow za rap... Sasa Maarifa anaweza kutunga lakini hawezi kurap, kwenye nyimbo zake anaongea tu kama Mrisho Mpoto flow za rap hana, zero kabisa yani... Chengine Mbona Lunya alishaweka wazi ileile siku ambayo alikataa kufreestyle kuwa ameandika nyimbo nyingi tayari, zengine hajazi-release anahofia aka freestyle mistari ya moja ya nyimbo zake ambazo atakuja kuzirelease maana kaandika nyimbo nyingi hadi zengine hakumbuki utunzi wake aliandikaje.
Maarifa ni muuaji wa kimya kimya he is a genious huyo lunya mwambieni aridi shule tena maybe somo la rap hakulielewa funs needs contents not swaggs only and being proud your self all over the moment mwambieni ukweli mkimpamba basi hatokuwa na muda mrefu kwenye game