BASI KAMA MTUME (SAW) HAKUWA NA MADHEHEBU BASI USISEME DHEHEBU FULANI HALIFAI.. HIVYO MADHEHEBU YOTE NI UZUSHI TU! MUHIMU NI KUMUAMINI ALLAH NA MTUME MUHAMMAD (SAW).
Ungesema madhehebu ya ahlul suna nisita Malik shafi hambal hanafi salafi na answari Sunna hapo tungekuelewa mtu akisema lailaha illala Muhammad rasululla yaani akatimiza nguzo Tano huwezi kumtoa katika uislamu Wacha kubambanya majibu
Tatizo la mawahabi wameacha njia isiyo na Shaka alowaachia mtume njia ya kufata alhlulbayt wakaamuwa kufata njia yenye Shaka ya maswahaba. Niwazi kuwa maimamu 12 alotuach8a mtume wote wametakaswa kutokana Maelezo ya Quran.kwa hiyo njia yao haina shaka.lkn njia ya maswahaba inashaka kwasababu mtume kasema miongoni mwa maswahaba mna wanafiki,kuna anbao watabadilisha anri za mtume.kwahiyo ukichukua kwamfano hadith kutoka kwasahaba huna uhakika kama swahaba huyo ni miongoni mwa wanafiki au la.
kwa kuwa wewe ni salafi ansarusunna muwahab basi umejipa uhalali kuwa ni muislamu wengine siyo waislamu? unajiita salafi ya nini sasa? si ujiite muislamu tuu itatosha? jambo jingine wewe umejiita salafi lakini ukawakosoa ahlusumna baadae ukajinasibisha na ahlusunna?sheikh mbona hueleweki?
Allah atupe hidaya na tawfiiq, shehe Allah akulipe lkn Kuna sehemu kubwa ktk majibu Yako hujatoa majibu ya kukinaisha Watoto wa mjini wanasema umebambanya.
Hahahaha hahahaha, umeona haya kusema masalafi ndio wameongoka na lzm tuwe masalafi, lkn sio kuwa mashaafi, kuwa wamaalik, wa wahanafi. Umeona haya kusema Hutakiwi kuwa mshafii au muhanafi ila unatakiwa uwe km msalafi. Allah atuzidishie elimu na atukinge na taasubi mbaya pmj na umakundi