Mwandaaji na msimuliaji jaribuni kusoma vitabu vingi na kwa ufasaha zaidi ili msitupotoshe na mjaribu kupata evidence kabla hujatoa makala na ndio maana umeanza na maneno "HADITHI NJOO UONGO NJOO UTAMU KOLEA" haaahaaa jipange but big Up kwa kijitahidi.
Ahsante. kweli nimetazama picha anazotumia nizawazungu dhihirisho kuwa muandishi wa simulizi hana ufasaha wa mambo anayo dokeza. huu niwakati wetu kusimulia historia yetu kutokana na ukweli wa kiafrika wala sio kulingana maoni ya mzungu muongo.
Nakupenda bure we kaka maan unaongea mamb yenye unafaham na Ikifik mahal kitu hich hukifaham unasema ukwel sio kama yul fala 😂😂#HMG kazi kusema Uwongo tu !
Hongera bro unasimulia vizuri. Lakini jaribu kuwa professional Zaid kuliko entertainer, Kama ulivosema firauni Remesis wa pili inakadiriwa ameishi miaka mingi Sana, na ametawala kwa muda miaka 96, wakat historia iko wazi kwenye vitabu vya egyptionist (Wana historia wa historia ya Egypt), amezaliwa 1303 BC na amefariki 1213 BC (kabla ya ukirsto) akiwa na umri wa miaka 90. Hakuna Mambo yakukadiriwa hapa toa tarehe Zaid umetoa tarehe za firauni wawili tu. Nakukubali kazi yako ya usimulizi, ila ukitoa habari sio sahihi unadanganya watu wengi.
Upo vizuri lakini fuatili historia ya watu weusi ambao ndio walikuwa viongozi wa afrika ya kaskan na tuache historia za waarabu waliowafukuza weusi na wao kushika maeneo yote, tunaomba fuatilia utupe ukweli,
Mwili wa firaun ulipelekwa ufaransa sio kwa kuharibika ila kwa kutaka kuchunguza tu! na waligundua alikufa maji. M'mungu hawesi kumkausha firaun kwa Ahadi halafu aharibike sio sawa rekebisha hapo.
Haya mambo sio ukwel kabisa bro tafuta ukweli acha kujaza jamii uongoo maana niwengi wanaangalia na wanataka kujifunza na sasa ukisema vitu ambavyo vinashusha heshima yetu ya kiafrica na mambo yenyewe si ya kweli inakuwa sio poa kabsa
Cyo kweli miili ya mafarao karibia yote waliipaka dawa isiharibike kutokana na Imani ya dini Yao kwamba lazima uende na mwli ulimwengu wa wafu,,,Quran haijasema mafarao wote walilaaniwa na Mungu Bali farao wakipindi Cha Musa,,swali ni kwamba kwann Kuna miili mingi ya mafirauni ambayo haikuharibika pamoja na baadhi ya raia wakawaida imegundulika nchini misri,,,jamani hebu tusiwe wavivu wa kutafuta ukweli
kwanza asilimia nyingi za wafalme na wamarikia walikuwa wanubi na ni watu weusi kama mkaa. kabla ya kuitwa Egypt, ilkuwa inaitwa ( Kemet) maana yake ni nchi ya watu weusi baadae wazungu walivyovamia waliuwa watu wengi weusi na kupola mali nyingi na kubadirisha jina la Egypt na kuanza kuandika na kusambaza uonngo..., hizi ni Habari za wazungu waliandika vitabu, fake picha na cinema zao za uongo hili kutufanya tusiwapende hao wafalme na tusifuatilie heshima za mababu wetu na historiza misri....au kuwafundisha watoto mbona dunia mzima imegeza mambo mengi kutoka apo misri kama vile mahesabu, alfabeti, heshima, dini, uganga, uchawi,miujiza, ukarimu, na hata jinsi ya kuongoza ufalme... siku nyingine bro,lete habari zinazo fanana na ukweli hili tuelimishe waAfrica na wenginne wasio jua ukweli Thanks.
Kweli napia inasemekana,misri ya zamani ilikuwa makao makuu ya wachawi wote wa Africa(watu weusi).wachawi waliamua kuwa na sehemu Yao waendeshe maisha Yao wajiongoze wenyewe huko na wawe huru kutafuta ukweli kupitia uchawi,na yule aliyekuwa Bora kuliko wengine alifanywa kuwa mtawala wa wachawi(farao) na ndio nchi ya Misri au kemet ikawa nchi yenye nguvu ya ajabu,,ndo maana utaona elimu na mavumbuzi ya ajabu ajabu ambayo wazungu wanayashangaa Hadi Leo kiasi Cha kuamua kudanganya kwamba wamisri walikuwa cyo weusi😅😅
Yule firauni aliyeoa hadi dada zake kweli naamini michepuko waliianzisha hao huko! Sisi tunaendeleza Jadi tu jamani kwa kuwaenzi wahenga 😂😂 ila kuna mipaka ya kutotembea na ndugu.