Mm naona alifanya vzur kukataa kuchukuliwa kirahis inawezekana agekumbar kwenda naona tugekuwa tunaongea mengi ndo mana walicho kitaka mungu amemsaindia Sana kwasabambu anae hisiwa ndo yeye anapelekwa mahakaman bada yakuchunguzwa yeye nch hii hatujuw tunaelekea wap
Kinachonisikitisha ni kuwa nguvu nyingi inatumika kumnyamazisha mtu anayejitolea kuisaidia polisi kuliko ya kuwatafuta watekaji na waliotekwa huku hofu kubwa ikijengeka kwenye jamii. Sidhani kama ni sawa hii itafanya mtu akiwa na habari zozote kuhusu hawa watekaji atanyamaza kimya na watu wataweza kulipizana visasi kimya kimya itazua balaa.oneni jinsi kuna mauaji ya kikatili kwenye jamii zetu kwa sasa.
Hilo jina mafwele mbona linaleta shida? Mbowe alilitaja, sativa naye nimeona ametaja na leo Jacob ametaja nadhani ni hilo lilitaka kumtia matatizoni Mnao husika na uhai wetu mtuangalie upya na sisi ni wa Mungu!
Mm hiikesi sijajua kuwa mlalamikaji ndo mafwele au jeshi la police au vp ishotoshe kama ni jeshi lapolice basi wangejaribu kuwashulikia hawa na kuwapeleka hawa kina mafwele mahakamani
Ahsante Jesh la polisi kwa kufuata sheria ya kumpeleka bonifes mahakamani mapema lakini haki hiyo muiendeleze kwa wote wanaotuhumiwa hata kama hawana wanasheria wasomi
Ukitaka kujuwa Serekali sio kitu cha kuchezea angalia aliekuwa meya anavyohangaika na kuzungusha macho utadhani kafumaniwa kumbe ni Serekali inafanya kazi yake sasa tunawasubiria na trh 23/09/24 wajitokeze wengine kisha Serekali ifanye kazi yake