Тёмный

Magari ya gharama yaliyonunuliwa na vijana mwaka 2017 Mwanza. 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 172 тыс.
50% 1

Saa chache kabla ya kukamilika mwaka 2017, Ayo TV, millardayo.com imepita kwenye moja ya showroom ya magari Mwanza kujua ni aina gani ya gari ambayo yameuzika kwa wingi mwaka 2017, Pia wadada wameendesha magari gani, wazee pamoja na vijana wa kuime kwa mwaka 2017.

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@elizabethmhapa3658
@elizabethmhapa3658 5 лет назад
Hata mim nitanunua gari One day Yes
@peterkimwaga8725
@peterkimwaga8725 6 лет назад
Mwnangu voice kma ya millard! kaza upo juu!
@hajimamba2066
@hajimamba2066 6 лет назад
crown ni gari kali sana naipenda sana Queen of saloon
@emanuelmark7419
@emanuelmark7419 6 лет назад
Mungu awainue mzidi kuendelea mbele na kuzidi kutuletea vitu vyenye hadhi hapa nchini kwa faida ya jamii nzima ya kitanzania
@gilbertonesmo1010
@gilbertonesmo1010 5 лет назад
Nawe ubarikiwe
@husseinmohamed5565
@husseinmohamed5565 6 лет назад
Mungu yupo tuu IPO SKU na mm nitanunua mgongo wa nyani
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 4 года назад
Inshaallah, Allah akuwezeshe na iwe na kheri na wewe, 🙏
@anahanah9145
@anahanah9145 3 года назад
Naiwe hivyo
@mussangwale7720
@mussangwale7720 6 лет назад
Matako ya Nyani... nyani wote wanaandamana wanataka ziitwe matako ya Sokwe
@richardkobero6988
@richardkobero6988 6 лет назад
Land cruiser new model 2017 ndio my dream car....Hopefully one day nitamiliki
@youtubeisyours6417
@youtubeisyours6417 6 лет назад
Audi ni ya zari sio diamond
@lossojr2074
@lossojr2074 6 лет назад
Sasa 2001 ni new model na wewe?? Na ya 2017 utasemaje sasa
@kinglance9816
@kinglance9816 6 лет назад
+Losso Jr sasa we kiazi Una HELA ya kununua gari 2017
@lossojr2074
@lossojr2074 6 лет назад
Ni aibu kusema gari ya mwaka 2001 ni new model,Hahaha fala we isitoshe bado unakula ugali wa shkamoo nyumbani hapo
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
Thubutuuuuuuuuuuuu
@emmanuelnyansiro8636
@emmanuelnyansiro8636 6 лет назад
ww hizo data unazotoa oooh tumeuza makalio ya nyani, Mara tumeuza milioni170, TRA watakufuatilia utoe kodi mara2
@albanbros7210
@albanbros7210 6 лет назад
Toyota crown hatari sana wenyewe wanaiita Queen of saloon.
@stevoovlogs8645
@stevoovlogs8645 5 лет назад
Ipo siku tu na mimi ntanunua matako ya nyani 😀😀😀
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
Matako yanyani au yako la nyani
@abineryantonykilulu954
@abineryantonykilulu954 6 лет назад
Mbona gari bei kubwa sana?
@lutifredrumisha8987
@lutifredrumisha8987 6 лет назад
Sasa na ww mtangazaj umenunua gari gani?
@jamesmbata8542
@jamesmbata8542 6 лет назад
Toyota Vanguards mnyama
@selemanmabula6359
@selemanmabula6359 6 лет назад
bei ya chini ndo ngapi xaxa?
@automotivetz1275
@automotivetz1275 6 лет назад
Good, thou diamond doesn’t have an audi
@marymwakangale7673
@marymwakangale7673 2 года назад
Mandhari yanayouzwa sumbawanga
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 6 лет назад
Allah anijalie na mm ja bajaji maana hata baskel ckapata mwaka ulopita
@chelakhafija762
@chelakhafija762 6 лет назад
Ashmina Abdullah 😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😃😃👍
@devidpanja115
@devidpanja115 3 года назад
Nakuombea akupe gari
@lyimoej7198
@lyimoej7198 6 лет назад
Harrier NI WAZFA LAKINI CROWN NI BABA LAO,, rush iko makini na off road capabilities zake with luxury
@idreamfoto
@idreamfoto 6 лет назад
Hahaa team Mondi wewe sio bure mubuloo
@piusjohn2588
@piusjohn2588 4 года назад
Naomba namba ya cm
@chandelankwabi4330
@chandelankwabi4330 4 года назад
Naomba no za zamzam motors
@mohamedikibasa418
@mohamedikibasa418 6 лет назад
Duh aiseeeeeee hilo audi ni hatari
@greonpeter6984
@greonpeter6984 6 лет назад
Mwanangu mwenyewe yaqub neja
@dullyprinc7886
@dullyprinc7886 6 лет назад
makalio ya nyan mung nijalie nami niendeshe makalip ya nyan
@exitingmomentsmovie2815
@exitingmomentsmovie2815 6 лет назад
Hivi kama hukuelewa si ungekaa tu kimya , Mara wachezaji Mara Diamond hawatumii gari hizi , wote wana magari ya bei za juu na za chini"
@majigeelieza6222
@majigeelieza6222 6 лет назад
emily phillemon SWA
@simonringo4701
@simonringo4701 6 лет назад
Hahaha....ongea tu kiswahili. Ni consumption sio comfession ya mafuta brother.
@jamalsaedkivuruge4080
@jamalsaedkivuruge4080 3 года назад
🤣🤣🤣Uko makini kumbe umemskia
@patrickKitambo
@patrickKitambo 2 года назад
Very expenses car😂😂😂😂😂
@shabanijuma9478
@shabanijuma9478 6 лет назад
Bajaj new modal bei gan
@iddypandu4285
@iddypandu4285 3 года назад
V8 ipo
@lucialeonard6734
@lucialeonard6734 3 года назад
Tusisahau kuwa kuna watanzania wanahitaji msada wapo wanaoumwa sio kununua msgari
@tadeikilumbe4533
@tadeikilumbe4533 6 лет назад
daa jamaa umeshka ndoto za wtu unagawa ongera Mungu kakupa kibri cha kuuza magri ambyo wengi upiga goti kumuomba mola wao hawafanikishe duuu
@praisekavy
@praisekavy 6 лет назад
bro sio kwel 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mondi anamiliki BMW X6 co Audi babu
@mbandoramadhan8787
@mbandoramadhan8787 6 лет назад
Hizo gali za kuendea sokoni wakin mm japan zikij Tanzania tunaon magali ya kifahali
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
Kaendeshe na wewe Japan Uende nayo sokoni
@ammaherman3391
@ammaherman3391 6 лет назад
Hizo ndo gari za bei ghali kweli...??
@sadxkyando5456
@sadxkyando5456 6 лет назад
Sponsored by WCB CEO gonga like no body else NICHANE Kama nmezngua
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 6 лет назад
Wewe acha kuwazalilisha wachezaji mastaa wakubwa km hawo wanaendesh gari frani zaitwa bugati na hiyo gari inaweza ikafika Mpk billion 3 na hawo hawo wachezaji wana miliki Mpk helicopter na boti zao Za kula bata baada y ligi kusimama
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 6 лет назад
BMW X6 ni ghali sana kuliko audio Q7...., for your information
@lupyanakilasi2395
@lupyanakilasi2395 5 лет назад
Q7 gari yenye thamani
@estherpie8985
@estherpie8985 6 лет назад
Duh..matako ya nyani🤣🤣🤣
@dominickshoo9214
@dominickshoo9214 6 лет назад
Q7 Moshi tumezichoka kitambo!!
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 года назад
UMEZICHOKA UNAYO
@eliastawete6020
@eliastawete6020 6 лет назад
yani mnavyozungumzia haya magari utafikiri kuuzwa utadhani mapeazi kumbe gari, afu mambo ya kusema vyuma vimekaza muache jisemee mwenyewe ss wenngne huku tunanunua matako ya nyani kila siku..
@halimamohamedy3571
@halimamohamedy3571 6 лет назад
tawete elias hahaha daaaah unawaz kam mie apaa
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 6 лет назад
Iko poa
@eliabusanga7913
@eliabusanga7913 6 лет назад
sijaona gari hapo zaidi ya rollys royce
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 6 лет назад
diamond anatumia bmw x6 acha ujinga wewe
@kipsjr3664
@kipsjr3664 6 лет назад
ukinunua stalet mwaka huu usinipe lift niache nikapande daladala...
@agnestamajaliwa142
@agnestamajaliwa142 6 лет назад
kips jr ndo maana huna ata boda boda Mungu huyu anaelewa kuwapa watu kama wewe
@kipsjr3664
@kipsjr3664 6 лет назад
Agnesta Majaliwa usitake kuanzisha kubishana mitandaoni kama huna kazi ya kufanya kalale ayo ni maoni yangu kwa anaenijua atayafanyia kazi kama unijui fanya yako
@abumasoud1996
@abumasoud1996 6 лет назад
anashangaza sana huyu mkaka anamtangaza diamond kama anagari diamond hana gari unayoisema wewe usipende kusema uongo.au umetumwa umfagilie diamond?
@gonggongo2140
@gonggongo2140 6 лет назад
ww una ukaribu gan na diamond mpaka useme ivyo? acha upuuzi ww unadhan utampunguzia chochote?
@timszon
@timszon 6 лет назад
Matako ya nyani Lol!
@charlesgiiti8629
@charlesgiiti8629 6 лет назад
mh eti Neymar, Ronaldo wanatumia gar zenye thamani ya million 140 shit kabsa hii
@felixmsigwa9332
@felixmsigwa9332 6 лет назад
Adam Singaile hizi ni used bro usipaniki
@lesterlester7563
@lesterlester7563 6 лет назад
Inategemea ya mwaka gani ingia kwenye website ya audi hiyo Q7 ya 2018 ni balaaa hiyo ni ya zamani iliyoletwa apa
@amaniminjaa6958
@amaniminjaa6958 6 лет назад
Adam Singaile v
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 6 лет назад
Charles Giiti huyo jamaa mwehu yaani Ronaldo na neyma atumie garii ya mbovu hiyo ya euro elfu sitini wewe kweli kiaz
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 лет назад
Acheni kiki bhana! Gari ya milioni 140 wapo watu wa kawaida tu wanaendesha, ukiende visiwani Z'bar hizo gari watu wanaendea sokoni tu, afu wachezaji wakubwa wanaweza wakaendesha hata gari ya dola elfu 30 tu ikawa ni bei ya chini ya hiyo unayosema hata Bill Gates mwenyewe anapanda gari za kawaida tu za chini sana ambapo kwenye tuta lazima awe makini, gari yake kubwa ni Ferrari peke yake.
@MrKingsalim
@MrKingsalim 6 лет назад
haha
@mburugithinji7204
@mburugithinji7204 6 лет назад
barabara za kenya hakuna magari model za zamani hivyo.. gari zenu sura mbaya za kitambo, tembeeni kenya muone model mpya mpya sio kama hizo , mnatuonyesha harrier model ya kitambo . mnaendesha meuseum
@Mika-pv1er
@Mika-pv1er 5 лет назад
hahaahahha
@wamburamahora597
@wamburamahora597 4 года назад
Mahari yemi nawe za kulipwa kwa swami ngamia
@EmmanuelMahiya
@EmmanuelMahiya 4 года назад
Usiwadharau wenzako ww
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 3 года назад
We mbwa una matatizo
Далее
Учёные из Тринидад и Тобаго
00:23
Prices of Cars in Dar es Salaam Tanzania 🇹🇿
8:20
Учёные из Тринидад и Тобаго
00:23