Unaona ni bora kuthamini mademu kuliko washikaji kisa chombo, kweli? Wewe unakwenda Magomeni na washikaji wanakwenda lakini unawapeleka mademu Magomeni. Acha hizo!
@@missdija4959Ukweli ndio huo dada,unaweza saidia mwanaume na mwanamke lakini mwanaume hawezi kusahai wala kukudharau ila sio wanawake ..kwanza mwanamke akikusaidia mtaa mzima lazima wajue