HIVI HUYU MZEE ALIYOKUWA ANAYAONGEA YALITOKA MOYONI AU MDOMONI.HONGERA MAMA KWA KUTULETEA HUYU DADA TUNATAMANI AFANYE KAZI KAMA ALIVYOKUWA ANAFANYA BBC
Kabudi yupo sahihi mana anarinda masilahi ya taifa nasio huyo mrimbwende alotumwa na wazungu kutuchafua watanzania. Tena huyo mwanamama ndo wale mojawapo ya masinichi wakubwa