Ninampenda sana binti kiziwi maisha ni safari akiteleza kakiri kosa kaelimika katumikia kifungo na sasa yuko huru kwa rehema za mwenyezi mungu sisi ni nani tuhukumu,welcome sis binti kiziwi
Muache aendelee kuwakataa waume kunasiku atakumbuka lkn atakua kachelewa kwani haja zake anatimizaje Dunia inamdanganya sana Allah atujalie mwisho mwema Inshallah.
Rama Kazina Kila mmoja anampangilio wake wa maisha, usikalili kwamba kila mwanamke ana haja ya mwanaume maishani mwake, wengine wako tayari kufa bila kukaa na mwanaume, wanaume wenyewe wako wapi! wapo kuwapa stress tu wanawake, huo ni uamuzi mzuri kwake hukumu anaijua Allah na sio wewe.
Ndio sababu hatuendelei. Utaona tofauti ya kufanya kazi Ulaya na Tanzania. Zuhura katokea huko huko , lakini baada ya kufanya kazi na wazungu sasa unamuona.... hakurupuki tu.
Mausiano ndio msingi wa maendeleo make kila mtu anafanya kazi sana ili familia zipate mahitaji muhimu,sasa kama hauna anayekutegemea unafanya kazi kwa ajili ya nini?
Dada angu zuhra yunus nimtangazaji mzr cn pmj na kaka Salum kikeke nawapenda cn na kila ck napenda nitizame BBC habar kila ck na sipendi nikose kutazama hongera kwa kipaji mlichonacho Allah barik
Uyu Dada nampenda sana, najiuliza mbona ckuoni kwenye taarifa ya habar, Kumbe uko TZ, Namuona *Wazir hamsini* na *Salim Kikeke* nawakubali sana team kikeke 😍😘
@@bindawood978 sasa mkuu siku nyingine usimuangalie mtu anavyojistiri ukasema mcha Mungu...wangapi wanavaa mabaibui lakin ni mafox wakutupwa? Hii ni siri yake yeye na Mungu wake..
Majina ya heruf ZU achana nayo kwa msimamo utachok wew yeye yupo pale pale nakupnd san zuhra yunus Allah akuhifadh na kila baya Na akupe mwish mwem amin
Hongera sana kwa kuhangaikia maisha ila kumbuka mchumba juani hulia kivulini maskini na watoto tajiri na pesa zake je unategemea mwanao kuwa mjukuu wako
Ukimsikiliza vzuri Zuhura utagundua ana mtazomo tofaut kuhusiana na mahusiano ukilinganisha na wanaomhoji. Mahojiano yanaboa kwani wanainglia wakat Zuhura akihojiwa. Pia wanaonekana kama wana free style maswal yao n km vle hawakufanya utafit wa kutosha kwa ajiri ya kumhoji ukiachilia maswal yaliyoulizwa na wasikilizaji. Kiswahil chake kmenyooka zaid ya wanaomhoji ambao ambao tunashnda nao na kuamka tanzania
Ulaya hakuna izo za kujuana kama nyumbani. Huku elimu, kujiamini na usmati wako. Single but not available, it is a very smart answer. She doesn’t miss anything you guys don’t you get it? Ulaya hasa Uingereza wanajali sana heshima na dini ya mtu bila upendeleo. Ukitaka utavaa hutaki sio lazima kuvaa hijabu.
Waeleze hao wabongo, hata mie mbongo lakini naelewa. Pia swala la mahusiano nje single au kuwa na boyfriend kitu Cha kawaida Sana. Nyumbani kuelewa dili hata kama hufaidi mahusiano
Dada Zuhura Yunus pesa hazikuzilimu wala hazina kikomo namba ni zero hadi tisia kwa hivyo umri umeenda sana inshaallah fanya maamuzi yanayofaa na kuifaa jamii.
@@piliserikali6187 ili tu useme kwa vile unajua kuandika na kusoma mashaallah kwa kupata hayo kwani wapo wengine hawakufanikiwa. Umri ni wakati na nisiri ya Mola ndio jambo utalokwenda kuulizwa mbele ya Mola ya je mtu ameutumia vipi umri? Je nini mbaya mim kusemea umri. Cos we have this plateform so we comments even though you dont know any body online so one can say what he or she wants. You can do or say anything you want to say but be mature and keep your mb for ushambenga yaani as you are simple mind discussing people instead of daily basis and well contract your decentive future. Poor like nowflakes. Be real and mind you and respect may go back to school.