Yaaani sijawahi kosoa serikali maana Magufuli ni rafiki yangu sana na namtetea sana katika kazi zake 100%,lakini kwa hili la mafao mzee hawa waliofanya hili Rais wetu wanakuharibia, hata huyu anaulizwa swali na mwandishi hawezi jibu anajing'ata ng'ata tu, kwa hili akitokea mgombea anaepinga hii sheria ataisumbua sana ccm, nawakati sisi tunatamani uongezwe miaka 15,hata mimi hii nimeipinga kwa nguvu zote!! Hatuwezi jilinganisha na nchi zingine zenye uchumi wao uko juu, kwa sisi mafao ndo mkombozi wetu wa kufanya kimaendeleo kidogo
Msifananishe Wafanyakazi sekta binafsi na serekalini.. Wafanyakazi serekali wana marupurupu kibao Mfano Scholarship ( malipo yana endelea ukiwa masomoni ) Nyumba / kiwanja bei nafuu ( mfano mheshimiwa RC amewapa madaktari na walimu viwanja bei nafu ) Mfanya kazi serekalini hawezi kuachishwa mpaka 60 Mfanya kazi Sekta binafsi hana uhakika wa kazi. Mfanyabiashara akifunga biashara ana achishwa kazi Mfanyakazi hana scholarship au mafunzo Mfanyakazi hawezi kupewa au kununuliwa kiwanja .. Mfanyakazi binafsi hauwezi kupangiwa achukuwe pesa yake kwa masharti sawa na wafanyakazi serkalini Nina omba sana Mheshimiwa Waziri Mwachie mfanyakazi sekta binafsi aweze kuchukuwa pesa yake na kuwekeza aidhaa kwenye hisa au bondi ya bot au biashara ya kum komboa kimaisha ... Asante
Ni Dhambi Dhambi Dhambi kuchukua hata senti ya mfanyakazi Hamuta kaaa Salama Mwenyezi mungu ana waonaa... Leo wewe kesho mwanao atakuwa mfanyakazi na haki yake ita pigwa
huu ni ubnafsi tosha ..mafao ni pesa ambazo mfanyakazi anapoostaafu huztumia kuelkeza miladi ya msingi .kumpa 25% ni kumpotzea malengo yake. ..hii serikali Mbn hatuielewi?????
We mtangazaj ninan aliejitokeza kupongeza mfumo huu mpya??afu mnaongelea wasitaf tu je kwenye sekta binafsi haongelei???mtangazaj haufai kumuhoj mtu tafta kaz nyngne
60 years +12years =72years, unacceptable age for African ways of life. Tatizo tunabadili sheria kila wakati bila kuangalia tamaduni za waafrika. Sheria hii ingekuwa nzuri endapo sekta ya afya ingeboreshwa.
jmn life expectancy ya mtanzania ni miaka 47 sasa km mwenyezi Mungu kaniwezesha kuishi miaka 55 bd tu nisubr mpk miaka 67 ndo pesa zangu ziishe dah hapana ni unyanyasaji Mkubwa sana kwa wafanyakazi ila Mwenyezi Mungu ndo muweza wa yote km ni heri ama sio heri atatudhihirishia mchana kweupe
wapeni ela zao bhn acheni siasa ktk maisha ya watu mbn enzi za jk hayakuwepo hayo sheria zimekuwa nyingi nssf shida wazeee wamestaafu nao pia mwaleta usanii
huo ni Ugonjwa mpya nafikili? Utawasaidia wale wenye huwezo tu lakini kwa wanyonge naisi niugonjwa mkubwa!??..... hacheni Asilimia 50% kwa wanyonge kwa wenye Huwezo ndio 25% hapo mtakuwa Mmeondoa huo Ugonjwa. halafu kinacho bakia badala ya mstaafu kufa nafikili kama mko na moyo wa kiutu hicho kinacho bakia wapatiwe warith wake hilo ndilo jambo la Busara .
Hayatofauti na ya kufanya kazi aisee acha kugugumizi, 😔,, watu wanafanya kazi Hali ni ngumu kuliko ugumu WA mtoto lijali, je hapo akiwa Hana kazi,!!! 🤔 Mwanachama atapata mafao yake pindi atapoacha kazi atakapoachishwa kazi,, fanya vile ilikua kwa Fom, watu wengi wangejua ili WALA mutu asingejiunga,,
Mnasema mnatoa 25% lakini hatujui mstaafu Huyu ataishi kwa mdagani je iyo miaka 3 kwakiasi mtachotoa kwa wategemezi kitalingana na 75% bdo kunatatizo inabidi mliangalie hilo pia
mda umefika wafanyakazi mchukue hatamu Juu ya mambo yanayohusu maslahi yenu hawa wanasiasa wa kiafrica kihasilia ni wabinafsi hawana haibu kutunga nakupitisha sheria ya aina yoyote hata Kama ni kandamizi kiasi gani ilimradi tuu haiwausu mkiwaachia mambo yote wawe wanaamua wao basi wafanyakazi mtalia miaka yote amkeni wafanyakazi pigeni kelele hii sheria irekebishwe
Upuuzi tuu waweke pande mbili watakao kuwa tayari watoke na chao wapewe na hao wa asilimia 25 mtajuana nao ndo mapato ya serekali mnakusanya kwa ubabee madaraja hakuna nyie kupunguza tuu Tz dict
RAIS WA WANYONGE ANALIJUA HILI KWELI? MM SIAMINI KAMA HAWA WATUNGASHERIA HIZ NI WATANZANIA WANAOWAKILISHA WATANZANIA WENZAO, HAWA NI KAMA WAKOLONI HIV , SIJUI MAWAZO YANGU TU .
hawana jipya kwani mfuko utakosaje uwezo wakati pesa unachangia kila mwezi. Wakumbuke nao pia watastaafu baadae. tafiti gani inatoa majibu kandamizi, walengwa hawajui. bilashaka wasikilize hoja za wadau wenyewe. TUCTA, CWT, CHAKAMWATA, TUGHE etc mpo wapi. Tunawasikliza, siyo tu kwa kanuni ya mafao pia hata denomination ya kikokotoo.
@@stanslausmasinde5844 Hilo Sahau, kwanza mwenye nchi yake wala hajalizungumzia kabisaa pamoja na kuzindua kila siku madaraja na mifereji. Na kama huamini subiri, muda ni mwalimu mzuri wa kuwafundisha watu kama ninyi kuwa sisi wafanyakazi kwa serikali hii imeshakula kwetu
Manyanyaso makubwa basi hata posho ziwekwe hapo ndio kufa kabisa sheria hiyo mmeipitishane hatuelewi Mzee watu ingilia kati hilo swala japo limepita bungeni lakini unyantasaji huo Mtu amestaafu mpeni chake nyinyi mnampa nusunusu wapi na wapi kwa maisha ya sasa kijana gani atafikisjmha myaka.70 au 80 jamani mnatunyanyasa sna wanyonge
Kwakweli sihaki kabisa nikubianatu sasa ukiwa kwenye ajira yamkataba mkatabaukaisha ndani yamia mitano nauna umri wamiaka 25 utasubiri adi ufikishe miaka 55 ndouje kupewa
hili suala msipolibadilisha uchaguzi ujao JPM simpi kura yangu na kuanzia sasa mawazo yangu na ya wengi kama mimi mtaniunga mkono huu ni ujinga kama serikali haina pesa ya miradi mikubwa KOPA ni suala la kawaida kabisa Marekani na China wanakopa sembuse sisi Watanzania?KENYA mbona wamekopa?Kodi mnaotukata katika mishahara ni kubwa mno ,hivi serikali haina njia yeyote ya kupata mapato mpaka inakata kodi kubwa namna hii katika mishahara yetu?Haya nimetumikia nchi yangu leo nipate mafao yangu ya uzeeni unanipa asilimia 25 ili nife niziache na nikiziacha hakuna mirathi maana hata watoto wangu ..............hili mbadilishe ni upuuuzi.
Mimi mwenyewe nimeanza kuvunjika moyo 2020 nabadili mawazo, utaratibu wa hivi wa kutaka kurecover mapengo serikali ni na wanaoumia ni wananchi wa chini kabisa, kwa hili urafiki wa kura yangu na serikali iliyoko madarakani ndo utakuwa umefikia mwisho, mke kajifungua anaambiwa hakuna tena mafao ya uzazi sasa nani ataipenda serikali, Rais wetu hao washauri sio wazuri kwako I kura utakazopoteza 2020 hutaamini!! For those who advised you that, they are trying to kill you in cold blood! So as to lose in 2020
Sawa rais wa wajonge, umeamua kuua kabisa watumishi! Msingi wa pensheni si monthly payment bali ni kiinua mgongo! Mmeshindwa kulipa trilion 8 mnazodaiwa na mifuko sasa mmeamua kuikwamua mifuko kwa kuwaibia watumishi! Mungu wa mbinguni atateta na wewe , na roho hiyo mbaya kama umetokea kuzimu!!!
Kumbuka hata nyinyi mnao tunga hizo kanuni ni wafanyakazi. Vzr mkaangalia haki ya mstaafu Maana miaka yote amekatwa mshahara wake hivyo vzr awe na option juu ya haki yake
hv jmn, mm naona hv ndio sawa coz zamn ndio walkua wana nyanya ska unafnya ndio ukistf unapewa chko baada ya muda unaishiwa unaanza kua msumbf tna mtaan si kwa watt wala watu bk unabkia tu na sifa hyu alkua flan, bora saiz mzee anachkua pesa zke kdgo anaenda kufnyia mambo yke hata hata aibu ya hao staaf haita onekna,