Amri Kiemba anang’ata na kupuliza kuhusu makossa ya golikipa… Lakini Godlisten Muro anawanyooshea kidole wachezaji wote wa Simba ‘kusinzia’ uwanjani na kukosa utayari wakati free-kick ikipigwa huku akimkingia kifua Kijili…
Kwa upande wa Ramadhan Mbwaduke anatoa sifa kwa wachezaji wa Yanga akisema “…hiki kitu wamekifanyia kazi mazoezini”
Je, wewe unasemaje??
FT: Simba 0-1 Yanga.
#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SisiNiSoka #KariakooDerby #WataniWaJadi #DerbyYaKariakoo #SimbaYanga #SimbaSC #YangaSC #HakunaKisingizio
20 окт 2024