Ibada ya Jumapili Siku ya Bwana ya 14 baada ya Utatu,iliyoambatana na tendo la kuingizwa kazini kwa Mkuu wa Jimbo la Tambarare Mch. John Ndimbo na kuingizwa kazini kwa Wajumbe wanne wapya wa Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki pamoja na Mkurugenzi wa huduma za Jamii Mwl. Afizai Vuliva na Mkurugenzi wa Uchumi Mipango na maendeleo Pendo Lauwo.
Ibada hii iliyofanyika katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Korogwe,iliongozwa na Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu. TAR:01/09/2024
TUFUATILIE KUPITIA MITANDAO YETU:
INSTAGRAM - / elctned
FACEBOOK ACCOUNT North Eastern Diocese
FACEBOOK PAGE - ELCT-North Eastern Diocese
RU-vid - / KKKT DKMS Online TV
WEBSITE : elctned.org/
KWA MAONI NA USHAURI:
Simu : +255 743 399 798
19 сен 2024