Sehemu ya Mahubiri ya Askofu Jackson Mshendwa kwenye Ibada ya Mazishi Marehemu Askofu Jali iliyofanyika katika Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto tarehe 21/08/2024
Hongera Sanaa! Baba Askofu Dr. Mbilu kwa kuonyesha Mfano Mzuri kuwaenzi watangulizi wako! Hasa wale walioacha Alama kama huyu Mpendwa Mzee Joseph Jalli! Hakika nawewe utaenziwa hivyo! Nimemuona hapo Baba yangu mwingine Wa Kiroho tangu nikiwa nasoma Galanos Tanga mwaka 1992, Baba Dean Mzee wetu Amasia Mweta pale usharika wa Kana.
Nivizuri kila Mtu akajiuliza Nafsini mwake, Baada ya Maisha haya ya mihangaiko ya Dunia, Atavalishwa Taji ya Uzima wa Milele!!? Kwa Kazi Gani Aliyofanya!!!???