Watu hawaelewi ugumu wa kuishi nchi za nje.. Tena hawaelewi hata pesa upatikanaji ni kwa kujitesa,na garama ya kuishi ni kubwa sana,ukiona mtu yupo nje anakupatia pesa yake he grateful na umuimbee Mungu aendelee kumfanyia wepesi
Naishi marekani miaka 27,Sio rahisi lakini inabidi kuzoea nimezaa watoto wanne na wajukuu watatu3,nimepambana vya kutosha lakini bado naipenda Tanzania sana"
Kuhusu kurudi umeshafika Canada uwezi kurudi kama mnavyo sema coz umetumia gharama kubwa sana hadi kufika uku inakubidi ukomae tu mimi nipo uku naona mengi sana it's not easy men