Тёмный

Maisha ya Canada ni magumu,Tanzania afadhali mna uhuru Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Salia 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 8 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Авто/Мото

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 56   
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 месяца назад
Watu hawaelewi ugumu wa kuishi nchi za nje.. Tena hawaelewi hata pesa upatikanaji ni kwa kujitesa,na garama ya kuishi ni kubwa sana,ukiona mtu yupo nje anakupatia pesa yake he grateful na umuimbee Mungu aendelee kumfanyia wepesi
@emmanuelmalissa9235
@emmanuelmalissa9235 2 месяца назад
she is soo kind and beautiful, i like the way she appreciate Bongo and our life style. you welcome again to bongo.
@hamisidale2704
@hamisidale2704 2 месяца назад
Naishi marekani miaka 27,Sio rahisi lakini inabidi kuzoea nimezaa watoto wanne na wajukuu watatu3,nimepambana vya kutosha lakini bado naipenda Tanzania sana"
@meowzna
@meowzna 2 месяца назад
Thank you Sister🥰
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 2 месяца назад
Kule ni kwenda kusaka hela sio sehemu ya kula bata
@beatricesonga3468
@beatricesonga3468 2 месяца назад
Hongera my sister
@Luckness-u1n
@Luckness-u1n 2 месяца назад
Ubarikiwe L❤you🎉🎉🎉
@jameshensdouglass7632
@jameshensdouglass7632 2 месяца назад
congo kingshasa uyu usitupange
@Elila-TV-243
@Elila-TV-243 2 месяца назад
Courage sana Mutamba
@BornBush255
@BornBush255 2 месяца назад
Chris, Mbona kama hii manzi imekuaminia hivi
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 месяца назад
Hakuna sehemu duniani kukawa na urahisi,tuacheni uvivuu
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 2 месяца назад
Dada mstaarabu sana. Kilaakheri
@ashleymaingi7026
@ashleymaingi7026 2 месяца назад
Kweli kabisa....hakuna bata hapa... :( Kazi kila siku
@YumnaBurhan-q6h
@YumnaBurhan-q6h 2 месяца назад
Ndo vizur kwasisi wapambanaji
@Mahene-w1l
@Mahene-w1l 2 месяца назад
Rudini Sasa Africa mbona hamrudi😁
@YumnaBurhan-q6h
@YumnaBurhan-q6h 2 месяца назад
Ikifika siku tutarudi tu
@AssumaniNahishakiye-vq9ft
@AssumaniNahishakiye-vq9ft 2 месяца назад
Kwel kbsa kwakweli
@allahisone6386
@allahisone6386 2 месяца назад
​ 😅🏃🏃😅
@kevinmary7129
@kevinmary7129 2 месяца назад
Huyo sio mtanzani ni mtu wa Burund au Congo sema wamekuja kama wakimbizi muda mrefu mtagazaji hata hawez kujua huyu sio mtanzania
@Mahene-w1l
@Mahene-w1l 2 месяца назад
Basi arudi tz kama maish magum mbona hawarudi sasa
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 2 месяца назад
Nimekupenda bure,kila sehem magumu ,hata marekani nipo maisha ni magumu ni kazi kila siku but huwezi compare na huko.
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
Waongo hao.....
@klaussteiner94
@klaussteiner94 Месяц назад
​@@joycehaule9717Dada joyce😊
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj 2 месяца назад
Bata lanini batalinamaliza pesa
@AmirJuma-p5j
@AmirJuma-p5j 2 месяца назад
Baridi kali wazee
@estermgata9617
@estermgata9617 2 месяца назад
Maisha yakikushinda Canada hakuna shida basi unarudi nyumbani. Nyumbani kumenoga
@JUSTNEMITOMINGI
@JUSTNEMITOMINGI 2 месяца назад
Hata bongo pagumu
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 месяца назад
Kunarafiki yang mmoja alikuwa anaishi uko anasema kuna baridi sana yan...
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 месяца назад
Ni kweli kuna baridi kalikali sana
@hafidhyakoub8369
@hafidhyakoub8369 2 месяца назад
Wacheni ujinga maisha hayana ugumu wowote
@hafidhyakoub8369
@hafidhyakoub8369 2 месяца назад
​@@aairraahseif5648 baridi inategema na province wenyewe na kuhusu kazi ndio mana nchi zetu hazi endeleii kwa7bu hatufanyi kazi tunendekaza starehe
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj 2 месяца назад
Sister usijalibu kutaka kuishi tz
@corrolesscps
@corrolesscps 2 месяца назад
Kwa Nini? Mtu kwao, mkataa kwao ni Mtumwa, mwache atafute arudi nyumbani kula Bata😊
@AmirJuma-p5j
@AmirJuma-p5j 2 месяца назад
Dada naomba namba 😂😂😂
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 2 месяца назад
Mkongo huyu ama?😂😂 cmuoni kwa utanzania kabisa
@allahisone6386
@allahisone6386 2 месяца назад
OK, KIPI UMEFAIDIKA KUA SI RAIA WA TANZANIA?
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 2 месяца назад
@@allahisone6386 Umeulizaje wewe, 🤣🤣..
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 2 месяца назад
UTANZANIA WANGU NI FAHARI YANGU
@Orgenemizzyy
@Orgenemizzyy 2 месяца назад
😂😂😂😂 mimi mkongo ila simuoni kwa ukongo wowote
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 2 месяца назад
@@Orgenemizzyy Lazimaa🤗 si huna D mbili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hafidhyakoub8369
@hafidhyakoub8369 2 месяца назад
Hao ni waongo
@um_185
@um_185 2 месяца назад
Thibitisha huo uongo
@jacobjb4515
@jacobjb4515 2 месяца назад
Ukweli maisha ni tofauti sana ingawa thamani ya pesa ipo juu lkn wee ubaguzi nk
@jacobjb4515
@jacobjb4515 2 месяца назад
Kuhusu kurudi umeshafika Canada uwezi kurudi kama mnavyo sema coz umetumia gharama kubwa sana hadi kufika uku inakubidi ukomae tu mimi nipo uku naona mengi sana it's not easy men
@kevinmary7129
@kevinmary7129 2 месяца назад
Mtagazaji mshamba sanasa
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 2 месяца назад
Siyo Congo democratic Republic 😲😲
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 2 месяца назад
Itakua
@Maishacanada
@Maishacanada 2 месяца назад
Hapa natoka kazini mamamae huku kazi kazi😂
@bakiliabdallah1730
@bakiliabdallah1730 2 месяца назад
Brother inakuwaj nakutafut sanaa
@صالحالصوافي-غ5و
@صالحالصوافي-غ5و 2 месяца назад
Mrudi sasa africa kirasiku maisha magumu
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 месяца назад
Hakuna sehemu duniani kukawa na urahisi,tuacheni uvivuu
Далее
HAKI YA NDOA KWA TIMETABLE | NIMEUZA MKOJO MAREKANI
53:51
Mapenzi Ukiwa Nje ya Nchi - USA, Canada, Ulaya
57:54
Просмотров 2,3 тыс.
W140 ностальгия #shorts #mercedes
0:16
Просмотров 1,2 млн