Zaidi ya miaka minne, mtengenezaji wa filamu Tyson Conteh amefuatilia maisha ya wafanyabiashara ya ngono katika mji aliozaliwa wa Makeni, Sierra Leone, na kuweka wazi hatari wanazo kutana nazo, uraibu wa dawa za kulevya na vifo ambavyo wengi wao hukabilianavyo kila siku.
-
#bbcswahili #sierraleone #biasharayangono
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
18 сен 2024