Pole sana mama. Naomba umuambie atafute international organization aangalie ajifunze na pia kusoma fursa zote anazoweza kupata, achukulie hiyo kama ni fursa kutoka kwa Mungu wetu muumba wa kila kitu. Kuna ya faida hapo ya kujifunza kutoka kimataifa, pia asivunjike moyo anaweza kupata ,tu wa aina yake au aliyekubali hiyo hali na kuanza familia. Hongera sana mama Sofia.
Badala ya kupambana nawezi wanao jilimbikizia mali za Kodi ya wanao za wananchi tunataka ku pambana na nguvu kazi hivi Kuna nchi Ina watu wengi ikawa nyumba kiuchumi kuna ma bachelor wengi Wana kosa hata Hela yakula sema nyie hamja Toka huku mtaani kwetu
Bro achatu yani wamesahau wetupeleka shule lakini bado wanataka kutupeleka kama kizazi cha nyerere wale asilimia kubwa walikua wajinga Lakini sas wengi niwasomi tunajua nini kinaendelea sasa acha waendelee kufanya mzaha nasisi bado kidogo wataelewa siwanachukulia kawaida mauti ya waTanganyika na wazanzibari sababutu tunavujakwandani OK OK.
Netanyahu ni mwendawazim pia, alisema vit vitachukua mda mfipi kuisha, Hamas ni wanaume, kila upande wamezingirwa laki israel inajiuliz silaha zinapita wap, na mbona hamas hawaishiw n silha!! .
Unaota ndoto ya mchana wewe watu wote wenye Akili wanachambua habari kama wanaelekea kuangukia put. Iran waache vita kwa sababu alieuliwa sio baba yako.
@@mwawekomiuda9779 dawa ya makosa ni kusamee sio kulipiza kisasi na wewe ujui kitu sisi ni waalimu wako. Nyamaza na uzee wako uelimishwe kisasi ni kasi ya mungu pekee wewe mwanadamu unaweza nini? Ila ni mdomo TU
Israel 🇮🇱 ndio nchi ya mwanzo kuruhusu ndoa za jinsia moja duniani na kiama chao kipo karibuni bora tu vipiganwe tu ivo vita tujue moja Netanyahu ni shetani na wenzie
Lazima Israel iadabishwe kwa utovu wake wa nidham wanauwa watoto na wanawake kila cku gaza na kuchua ardhi za wapalestina na kuwauwa ata kabla ya October7 eti taifa la mungu mungu gan kaamrisha watu wa jinsia moja waowane isipokua shetani
@@samuelolesabaya59 vita haviishi kua makini na hilo vimeruhusiwa na baba yangu Mimi ambaye ndie baba yenu mmemkataa na kumdharau narudia haviishi kua makini Tena
mliyataka wenyewe tarehe7 acha mpate mnachostahili hapo kuna mungu juu ya israel mtambue huyu mungu ndio aliewatoa misiri amewavusha semu hatarishi nakuwapa nchi yao nyie hamuogopi?
Naamini kwamba. Hakuna muda mrefu haki ya Palestine itafikia .kwani hata isa bin Mariam au yesu waliotaka kumuua ni hao hao. na mungu aliwalaani! Tuwaombee amani iwafikie tu.
livivu hilo linaona vibaya hata watu wakizaliana kwahiyo atahamasisha uzazi wa mpango uzidi mali za wakinamama yaani livivu paka linakera hili mama kuzailiana ndio maendeleo na uchumi unaongezeka tatizo was wanajijali wao tu kujirundikia mali za nchi ndio maana wanalaumu watu kuzaana watu wanazaliana na kodi zinaongezeka na watumishi wanaongezeka kwanini wasiajili vijana wamejaa mitaani halafu linakuja kutulalamikia livivu hadi akili yake
Hii, social media tumechanganyika mno. Hujuwi uchumi na kuongezeka idadi vinahusiana je kweli? Binaadam anapozaliwa anahitaji huduma kwa zaidi ya miaka 10 bila yeye kuzalisha chochote.