Jambo dada Witness, nime chelewa kidogo kwenye live... Ila na wa sikiliza sasa ivi and it's very interesting... Ila naona munaongelea zaidi Sana kwa tanzania... Ila mm ni mkongomani na nnaishi South Africa, niko Sana interested na gisi gani pia kufika ugaibuni, je inaniomba nini mtu kama mimi ?