Тёмный

Sababu kwanini watu wananyimwa viza Ubalozini 

EBM SWAHILI
Подписаться 71 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Watu wengi hunyimwa viza wanapoenda ubalozini. Wengi hawajui sababu za wao kunyimwa huku wakiwa na documents zote zinazohitajika.
Hizi hapa ni sababu za msingi ambazo hufanya watu wengi wanapoenda ubalozini kuomba viza kukosa

Опубликовано:

 

9 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 58   
@yohanamaugila743
@yohanamaugila743 2 года назад
EBM asante sana kwa hili darasa nimefatilia video zako nyingi kiukweli umenifumbua sana macho na ufahamu wa akili,nina imani ndoto yangu itatimia kupitia mafunzo yako na mwongozo unaoutoa!!!barikiwa sana
@MAGDALENAJOSEPHRUSIMBI-ye5yg
Uko vizuri mwanangu. Nitakuja huko mapema mwakani, nitakuafuta.
@petermichaelmshana8600
@petermichaelmshana8600 2 года назад
Kaka unafanya kazi nzuri sana ,wewe pamoja huyo rafiki yako uliyekuwa unamhoji ,(truck owner)
@MAASAIWITHPASSPORT
@MAASAIWITHPASSPORT 2 года назад
Thanks for sharing
@hamzamafita4025
@hamzamafita4025 2 года назад
Hi EBM sisi tupo kanda ya kati dodoma.nafahamu mtaendesha semina dar tar 02june 2022.tunaomba semina hiyo ije na dodoma isiishie dar tu.tafadhali tunaomba semina ije UDOM.halafu muitangaze jamani tunahitaji sana.dar ni mbali.kwa sisi wa kanda ya kati.nadhani uongozi utaifanyia kazi.
@madjidfine4295
@madjidfine4295 2 года назад
Daaaaah mungu akulinde kiongozi wetu mzuri
@catherinekazinja661
@catherinekazinja661 2 года назад
asante kwa ujumbe huu, pia elezea namna ya interview wakati wa viza unavyokua, maana pale kwenye interview unakua na vielelezo vyote hakupi nafasi ya kuonesha documents zote, hii inaleta ukakasi fulani, kama ulivyosema anakuwa na majibu yake kichwani. utaratibu wa interview sijaupenda kabisa maana hakupi hata nafasi ya kuzionesha documents zote hata kama unazo.
@OmariTube
@OmariTube 2 года назад
Channel number moja kwa madini makali/matata Tanzania, East Africa.
@ngoynzoagermain
@ngoynzoagermain 10 месяцев назад
Pamoja sana mkuu 5/5 🇨🇩🇨🇩
@juliusmatalu6173
@juliusmatalu6173 2 года назад
Ninafurhia sana kwa jitiada sako kuelimisha watu. Nimekuja Denmark kwa miezi 3. Waafrika tubadilike muda wa kuwalaumu hautatusaidi tutimize vigezo
@emmanuelndoshi8099
@emmanuelndoshi8099 2 года назад
Asante sana umenifumbua akili Mungu akubariki.
@isaacsinkalas8366
@isaacsinkalas8366 2 года назад
Nashukuru sana mama yangu kaomba viza ya marekani zaidi ya mara 3 nakosa naamini hii video imetupa mwanga asante sana kwa elimu hii
@aminijuma9627
@aminijuma9627 2 года назад
Ebm nakuelewa Sana kaka
@bonifacejames2431
@bonifacejames2431 2 года назад
Brother ahsant sna kwa kazi yako nafuatilia sana kazi yako Ila nilikuwa na swal kwamba unaweza kupita immigrants visa Bila green card lottery
@akilimalikapuru6351
@akilimalikapuru6351 2 года назад
Help brother mimi ni mkimbizi myaka 28 Zambia naomba ushauri kwakuwa nifike uko na jamaa langu.asante nasubiri jibu lako kwa hamu na ubarikiwe.
@alibin7760
@alibin7760 2 года назад
Mungu akuweke
@ZainaMAlly
@ZainaMAlly 2 года назад
Ubarikiwe sana
@NcabukorokaMsafir
@NcabukorokaMsafir Год назад
Ebm naomba kuliza je kama hauna mashamba wala nyumba itakuaje kwenye mahojiano ubarozin
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 года назад
Ahsante sana home boy
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 2 года назад
Tunashukuru sana kwa maelekezo yako hata mimi nilikuwa nalaum sana baloz zao kwa nini wanakuwa wagumu kutoa visa
@keywordresearch7362
@keywordresearch7362 2 года назад
Kwann mnakimbilia nchi za watu jmn mm Nina mjomba wangu aliendaga 2002 ajawahi kurudi bongo tena amekuja kurudishwa 2019 amekufa yaan kwetu haina maana kabisa mtu ukizamia nchi za watu sababu ya pesa ukasahau kwenu ni kama umekufa tu huna tofauti na mtu aliyekufa maana ndugu zako hawakuoni tena hata kama huko nchi nyingine unaishi. Please mkienda nchi za ugenini mkumbuke kurejea kwenu mapema sio mnarudishwa mmekufa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Sasa si mjomba wako na akili yake mbovu wewe unafikiri watu wote wana akili kama ya mjomba wako
@jovovichmedia9424
@jovovichmedia9424 2 года назад
😂😂😂😂
@kulwarichard4849
@kulwarichard4849 2 года назад
@@Mpakauseme 🤣🤣🤣
@hamzamafita4025
@hamzamafita4025 2 года назад
The great makulilo katika kitu ulichonifurahisha ni kutusaidia kwa malipo kidogo ya kutujazia DV lottery 2022 october.endelea kutuelimisha.
@NduguEzekiel
@NduguEzekiel 2 года назад
We bado mdogo tulia
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt 2 года назад
Naomba namba zako kaka tafadhali
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 2 года назад
Kwa hiyo huko wanaenda wanaojiweza tu Mbona wao hawafanyiwi hivyo
@irenemichael
@irenemichael 20 дней назад
Waelezaj wooooooooooooooooooote Leo nimepata jibu
@bizimanasaid895
@bizimanasaid895 2 года назад
Mimi nikazi waRwanda ila naomba ufafanuzi Nina kijana amesoma kamaliza should sasahivi Ni driver waroli he anapitia njiagani
@hassanabdallah3533
@hassanabdallah3533 2 года назад
kaka je namna ya kujukuwa ulaiya wa mnchi nyingine ukoje kama kuchukuwa ulaiya wa malekani
@safijeanne6223
@safijeanne6223 Год назад
mimi niko marekani nataka kum Katie mume wangu viza nifa nyeje
@jonathanofficial7350
@jonathanofficial7350 Год назад
Nivizuli saaan
@JohnMwakulima
@JohnMwakulima 9 месяцев назад
kiongozi habari ya uzima mimi naitwa john mwakulima mkazi wa dar es salaam nilikuwa nomba namba unayopatikana nikutafute ili unieleweshe vizuri kunakazi nataka sasa hiyo nataka tuongee in box samahani lakini
@officialzex2515
@officialzex2515 2 года назад
Keep going bro
@Laila-ke9bw
@Laila-ke9bw 5 месяцев назад
❤❤❤
@petermichaelmshana8600
@petermichaelmshana8600 2 года назад
Endeleeni kuelimisha watu na ikiwezeka mtuunganishe na sisi kwenye hizo nafasi
@godfrey6884
@godfrey6884 2 года назад
Kaka mfano unataka kuomba visa kuja kwenye mkutano wa dini inakua na nguvu kwenye kuomba?
@rahmamaulid6472
@rahmamaulid6472 2 года назад
Kaka naomba unisaidiye namba yako kunakitu unisaidiye
@sharonshioni7737
@sharonshioni7737 2 года назад
Nauliza ukishinda green card ya kuja marekani,je,sehemu utakayo kaa na air ticket watafuta mwenyewe?
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 года назад
nope you got pay it!
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 года назад
mommy paid me and the of my families.
@BarakMoo
@BarakMoo Год назад
Mr Ebm wee umekaa km Baloz mwenyw ,Hongera san Mr Mudi From Zanzbr
@abrahammlangwa5038
@abrahammlangwa5038 2 года назад
KAKA MUNGU AKUTUNZE🙏
@MS.independent8934
@MS.independent8934 2 года назад
Kwelii kigoma tunatoka watu wenye akilii haswaa ahsate my kaka 🙏🏼🙏🏼
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 года назад
Sioni chochote cha msingi hapa
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 2 года назад
@@stanslausmteme8455 mpe analostahili na umtie moyo . Wengine tulikuwa hatujui . That's great pal keep it up
@Nutritio-z8v
@Nutritio-z8v 2 года назад
Birthday 🎉😃😃😃
@kingkendrickk
@kingkendrickk 2 года назад
Umewapa points za msingi
@husseinpacha3462
@husseinpacha3462 2 года назад
Kaka nikiwa nimeowa mwanamke wa marekan yeye yupo uko marekacan nachukuwa viza gani nikaish uko
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 года назад
Wazungu watawapaje waafrika visa kilahisi kama vile wao wanavyo kwenda africa kama wanakwenda kariakoo 🤣 Hawawezi kukupa visa kilahisi kazi yake ni kubwa pia na ni bahati sana kupata, labda upate ndoa lakini si kwamitindo mingine yakutubu
@farajalaizer4707
@farajalaizer4707 2 года назад
BIRTHDAY 😳😳😳 😂😂😂😂😂
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 года назад
Hahaha
@bizimanasaid895
@bizimanasaid895 2 года назад
Nilifatilia wewe nimwanaume nakazi unazizifanya zakusaiidia watu mungu atakulipa
@ngoynzoagermain
@ngoynzoagermain 10 месяцев назад
Pamoja sana mkuu 5/5 🇨🇩🇨🇩
@Laila-ke9bw
@Laila-ke9bw 5 месяцев назад
❤❤❤
Далее
Fursa ya kupata Summer Camp Jobs - Marekani
21:44
Просмотров 6 тыс.
Fursa ya Watanzania Kufundisha Kiswahili Marekani
17:42