Тёмный

MAJIBU YA DHARAU NA KEJELI YA MUHAMMAD BACHU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE 

Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Подписаться 21 тыс.
Просмотров 6 тыс.
50% 1

SHEIKH MUHSIN ALI ATHMAN BUTE

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 205   
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 3 месяца назад
Mashallah jazakallah akhy Muhammad bachu ujumbe umefika Wacha waliye haki imefika .
@mohammedmasudi-dz6hb
@mohammedmasudi-dz6hb 2 месяца назад
BACHU ALLAH AMHIFADHI
@eshasaid3258
@eshasaid3258 2 месяца назад
Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤
@farishfarish258
@farishfarish258 3 месяца назад
Buchu Allah akuhifadh ) Hawa wengine hawana elemu sindano zimewaingia Wacha wapige kelele
@MuniraRashid-sx3up
@MuniraRashid-sx3up 2 месяца назад
Allah amuhifadhi sheikh bachu na azidi kukupa nguvu ya kutuelimisha
@sama-_8368
@sama-_8368 2 месяца назад
Pumba kabisa
@AshrafBunu
@AshrafBunu 3 месяца назад
Bacho Allah akuhifafhi
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 месяца назад
Fukuzwa Hutu zanzibar na sahiv kahamia kwa mashoga zake Mombasa na tanga 😂
@user-hr9kb7ev1i
@user-hr9kb7ev1i 2 месяца назад
Swadakta ndungu yetu Allah atakulipa inshallah kwa hikma zako kwa ilmu unayo soma kwa mafusi,mawahabi hawataki kusoma ndio hawajielewi
@abubakarhajjabubakarhajj1252
@abubakarhajjabubakarhajj1252 3 месяца назад
Kwangu mimi ni ukweli wake niliouwona Alhamdulillah Allah amuhifadhi
@abeliever6823
@abeliever6823 3 месяца назад
Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima. Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 3 месяца назад
Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena
@FaaidaTVtz
@FaaidaTVtz 2 месяца назад
Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..? Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 месяца назад
@@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo
@salmananwaralmaisarah1387
@salmananwaralmaisarah1387 3 месяца назад
Shukran sana ustadh...kinachomueka bachu mjini ni hizo dharau na kejeli...hana lengine na kama analo birii alidhihirishe
@user-nh2wt4yd7w
@user-nh2wt4yd7w 2 месяца назад
Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@saidijuma-b9v
@saidijuma-b9v 2 месяца назад
mungu akuhifadhi sheikh letu
@abeliever6823
@abeliever6823 3 месяца назад
بارك الله فيك يا أخي العزيز Maneno mazuri nto جزاكم الله خيرا Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan. Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم
@swalehmohamedwaziri7499
@swalehmohamedwaziri7499 3 месяца назад
Maa shallah maelezo mufti Nyama za maulamaa Zina simu.
@swalehmohamedwaziri7499
@swalehmohamedwaziri7499 3 месяца назад
Sumu
@sharifsayyid
@sharifsayyid 2 месяца назад
Haki ilifika Allah amhifadhi bachu
@mohammedmasudi-dz6hb
@mohammedmasudi-dz6hb 2 месяца назад
HAMUWEZI TUDANGANYA WATU TUSHAA ELIMIKA NA BACHU ALLAH AMHIFADHI
@eshasaid3258
@eshasaid3258 2 месяца назад
Asalamu aleykum ya allah huyu bachu nimrogo😊😊😊😊😊
@user-uy8en4fj6r
@user-uy8en4fj6r 2 месяца назад
Wallah mahabi mwabambanya hamna ilimu wallah mana mkizunguza nahau hamzipaty mwapiga nnje
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 месяца назад
Maadam quran na sunna za mtume tunazo uelewa nahau twawaachia nyie makhurafi
@taurehassan7399
@taurehassan7399 3 месяца назад
Allah akuhifadhi ost letu,endelea kufanya twakuelewa vzr sna❤
@waladulikhlaas7870
@waladulikhlaas7870 3 месяца назад
Mashallaah shukran sana ustadh muhsin....Bachu akajifunze adabu kwanza...na tutamnyorosha...Na msa pia tutamtoa
@suleimanahmadaali5989
@suleimanahmadaali5989 2 месяца назад
Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 3 месяца назад
Bachu nikipenzi chetu allah amuhifadhi katutoa kwenye ujinga
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 2 месяца назад
Sana Wallah
@sama-_8368
@sama-_8368 2 месяца назад
​@@Hamis-ks1syANAKUTIA KWENYE UJINGA SIO KUKUTOA
@mngwaliis-haka5348
@mngwaliis-haka5348 3 месяца назад
Allah amuhifadhi sheikh Hajji upepo
@DiudaKozi-qu8sl
@DiudaKozi-qu8sl 3 месяца назад
Sheikh Muhammad bachu ametutoa kwenye ujinga
@muktarkassim6647
@muktarkassim6647 3 месяца назад
Maoni ya kubalika
@user-ix8bu3yy5z
@user-ix8bu3yy5z 3 месяца назад
Mohd bachu amesingizia sheikh uthaymeen na kufanya uthaymeen ni mtu wa kauli mbili mbili
@mohagurey2214
@mohagurey2214 3 месяца назад
Mashallah
@DiudaKozi-qu8sl
@DiudaKozi-qu8sl 3 месяца назад
Sheikh Muhammad bachu yuko vizuri sanaaaaaa.Ameniondoa kwenye wajinga wa kitwariqa na kisufi
@fauznuhu9981
@fauznuhu9981 3 месяца назад
Kkkkk bado mwa zama kwa uchinga pole mana chongo ni mfalme kwa vipofu
@KhamisQays-ur1dm
@KhamisQays-ur1dm 3 месяца назад
Ahasanta Habibi Barakallahu fiyk
@WilliamMaina-xh4sf
@WilliamMaina-xh4sf 3 месяца назад
Mchenni Allah, mitandao mmejaza uislamu-siasa za makundi jameni, barabara ya sawa na malengo ya uwepo wa mwanadamu imesahaulika
@DhaharanMussa
@DhaharanMussa 3 месяца назад
Mawahabi wote wamenyimwa ufahamu,ndio maana wengi wamekuwa magaid
@hassanmohamedabdalla4108
@hassanmohamedabdalla4108 3 месяца назад
الله يحفظك سيخنا محمد با جو
@MaulidiJongo
@MaulidiJongo 2 месяца назад
Bach Bado allh ajampa uwongof ila tumuombe allh san
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 3 месяца назад
Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.
@hassanmohamedabdalla4108
@hassanmohamedabdalla4108 3 месяца назад
اللهم اهدي الصوفي ضاله
@TaufiqMeneja
@TaufiqMeneja 3 месяца назад
Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 2 месяца назад
Wewe bado mjinga ndio mana jitahidi usome
@user-go3bk6wr8u
@user-go3bk6wr8u 2 месяца назад
masufi mnatabu.
@user-nh2wt4yd7w
@user-nh2wt4yd7w 2 месяца назад
Shekh Muhammad Bachu amewashinda ilimu nyinyi Muna chuki zenu muogopeni Allah Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@slimshah9460
@slimshah9460 2 месяца назад
Ilimu gani kama si kejeli
@AllyAhmad-zg2yp
@AllyAhmad-zg2yp 2 месяца назад
Hayaaaa fuateni ara yenuuuuuuuuuuu mausufi
@AshrafAKhan-ql1tb
@AshrafAKhan-ql1tb Месяц назад
Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakaatu Sheikh naomba unipe link au uniandikie swali na jibu yote kwa ukamilifu alioulizwa Sheikh Ibn Uthaymeen na alivojibu yeye Sheikh Ibn Uthaymeen kwa ukamilifu Shukran
@user-uy8en4fj6r
@user-uy8en4fj6r 2 месяца назад
Wafahamishe ukwell shekhe muhsin huyo mkosefu wa adabu m.s bachu na mungo akuhifadh shekhe muhsin tuzidi kufaidika
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Watumwa wa fikra wa bachu Hawana haja ya kusikiliza hoja Bali ni ujuha kwenda mbele
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 3 месяца назад
Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 3 месяца назад
Hasira nyingi sana
@user-qv9ep6wq1t
@user-qv9ep6wq1t 3 месяца назад
Nawaona mawahabi wanavyo haha kukoment ila safarihii wasipewe nafasi jino kwa jino hadi waelewe
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Kazi mzr mashallah kama wakiachwa wanazidi sifa
@user-qe3dl9ox5b
@user-qe3dl9ox5b 3 месяца назад
Sh muhammad bachu yuko vizuri sana
@mussaissa6796
@mussaissa6796 3 месяца назад
NDIO KWA UPUMBAVU HAKUNA KAMA YEYE.
@khamiisathmaan4362
@khamiisathmaan4362 2 месяца назад
Wewe mtume hakuwahi kumtukana muislam wala hakuna swahaba wala taabi-ina bali mtume amekataza kumtukana muislamu nufaasiq
@khamiisathmaan4362
@khamiisathmaan4362 2 месяца назад
Sasa kama waongoka kwa ufaasiq Kasome dini yako uijue usitegemee darsa ndo zitakazokutoa kwenye ujinga
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 3 месяца назад
Eeee bwana hajazarauliwa munatengeneza huruma
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 3 месяца назад
Yaani masufi bna Akimrekebisha mwasema anamtukana baba ake akikaa kimya nongwa mnatakaje sasa?
@FaaidaTVtz
@FaaidaTVtz 2 месяца назад
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja. Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.
@abdallamassoud53
@abdallamassoud53 3 месяца назад
Kutukana mashekh
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 3 месяца назад
Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 2 месяца назад
Umesikiliza ukaelewa lkn au umeziba masikio
@ahmadabdallah740
@ahmadabdallah740 3 месяца назад
Mbona hamumsemi al hatimy alipokua akimtukana sheikh ali bahero ama vile ni mwenzanu muogopeni Allah na kueni na uadilifu
@KakaOmmy-xx6pi
@KakaOmmy-xx6pi 3 месяца назад
Nasoma comments alafu nawafuatilia sana .( huenda wamesahau)
@mohammedmasudi-dz6hb
@mohammedmasudi-dz6hb 2 месяца назад
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA
@khamisothman1154
@khamisothman1154 2 месяца назад
Acheni porojo
@allyhamza9969
@allyhamza9969 3 месяца назад
naswaha yangu tusivunje udugu wetu kwa jambo la kupita.Eid itakuja na itaondoka ila udugu ukiondoka ni ngumu kuurudisha
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 3 месяца назад
Piga ujumbe shekh bachu tunafahamu kwakuwa wazi ktk adila zakujitosheleza undeni yenu arafa
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh 2 месяца назад
Shida ya buchu hajielewi
@slimshah9460
@slimshah9460 2 месяца назад
Chizi fresh
@albayaanmschool8451
@albayaanmschool8451 3 месяца назад
Na mtume aliambiwa vivyo hivyo antukana miungu ya makuraish kisa kufafanua haqqi
@abdulmalikali1501
@abdulmalikali1501 3 месяца назад
Masha Allah Habib wetu
@MBAROUKSAADHUSSEIN
@MBAROUKSAADHUSSEIN 2 месяца назад
Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.
@salimuawadhi8043
@salimuawadhi8043 2 месяца назад
SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh
@MBAROUKSAADHUSSEIN
@MBAROUKSAADHUSSEIN 2 месяца назад
Musidanganywe na comments zetu ndio zikawapamoyo wa kutukanana na kukashfiana mitandaoni.
@suuahmed71
@suuahmed71 3 месяца назад
Huyu Bachu hajui kama nyama za wana zuoni zina Sumu. Mtizameni tu mwisho wake.
@amadeomarsaide5023
@amadeomarsaide5023 2 месяца назад
Kwa hiyo nyie hamuezi kuanzisha mada mpaka bachu aongee ndio mupate mada? Na hamupati usingizi kufikiria vipi mummalize bachu? Basi Allah atamlinda kwa husda na chuki zenu mpaka haqqi ifahamike
@harithhemed9920
@harithhemed9920 3 месяца назад
ww shekh nafkiri ungekaa na kusoma kuliko vijembe bachu anafungua vitabu sio maneno tu
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 месяца назад
Maa shaa allah.. sheikh bachu na sheikh Ali ni viboko vya makhurafi kumbee😂😂 Bachu anawakosesha usingizi kumbee.. Mmi binafsi sheikh bachu namuelewa sana juu anongea kihoja na kisomi. Wwe ungefundisha tuu na uache kuongelea bachu hio ni michambo hujafunza kitu
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Acha unafiki Hawa watu watupu kabisa labda dharau
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 месяца назад
@@HemedSerious mnafiki ni wwe
@IbraFareed
@IbraFareed 17 дней назад
@@yusufathman2478 MWENZENU aloenda kwenye niqash kule kenya akasema hadith غريب maana yake ni hadith ngeni sanah 😂😂😂 Afu ni sheikh ni huyo wa KISARAFI mkiwa mnataka majadiliano muwe mnasoma na vitabu NA MNAELEWA MNAVYOVISOMA kwa maana sahihi sio potofu ndo mana MASALAFI JADIDA WANAWAITA NYIE MAHIZBY ‎إنا للّة وإنا إلية راجعون
@yusufathman2478
@yusufathman2478 17 дней назад
@@IbraFareed maskini ndugu yangu.. gharib pia ni ngeni kama huna ujualo
@IbraFareed
@IbraFareed 17 дней назад
@@yusufathman2478 والحديث الغريب هو الذي فيه نوع من التفرد Embu nenda kasome bana 😀😀😀 HUNA UJUAOLO UNASUMBUA NA COMMENT ZA MIHEMKO Kasome wanazuoni wa hadith WANAZUNGUMZIAJE HADITH HIYI UKISIKIA HADITH GHARIB SIO NGENI 😂😂😂🙌🏾 mkiambiwa msome hamtaki unatafsiri MAMBO YA WANAZUONI KWA HAWA ZAKO 😂😂😂🙌🏾
@user-lp3gi5wd4e
@user-lp3gi5wd4e 2 месяца назад
Sheik kua makini na MAWAHABI watakulipua.
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 3 месяца назад
Munamtetea
@salimuawadhi8043
@salimuawadhi8043 2 месяца назад
Haki imefika ndiomaana mwatapatapa Sasa ndiomaa mwapingana wenyewe. Kwa wenyewe mbona mmemhalifu kadh wenu
@salimabdalla6290
@salimabdalla6290 3 месяца назад
Juzi aliwatweza kina suyutwi ghazali na sultwaan auliyaa kwa ile klip yke alotoa juzi mpka nkashangaa
@AllyAhmad-zg2yp
@AllyAhmad-zg2yp 2 месяца назад
Alikuwa haradiwi ni mtume muhammad sala na Salam ziwe juu yake tuuuu
@binbuhakhamis4336
@binbuhakhamis4336 3 месяца назад
Bachu yupo sahihi sema kinachowakera ni kueka mambo bayana ambayo ilikua mumeyaficha.
@salmananwaralmaisarah1387
@salmananwaralmaisarah1387 3 месяца назад
Yaliofichwa ni gani hapo?? Si uyaseme
@binbuhakhamis4336
@binbuhakhamis4336 3 месяца назад
Fataclip za sheikh bachu utaona yapo bayana
@salmananwaralmaisarah1387
@salmananwaralmaisarah1387 3 месяца назад
Hakuna yalio bayana...wewe si uyataje...tushawazoea mawahabi kazi ni kufuata hawaa za nafsi zenu tu
@fauznuhu9981
@fauznuhu9981 3 месяца назад
Inaone kana kwako bachu ni mtumi….mana mamani ubayana hakuna lolote kwabachu na hana adabu kabissa
@eastafricaqualitychickenfa9916
@eastafricaqualitychickenfa9916 3 месяца назад
Bachu ni Simba wa Mungu yule nyinyi mashekhe ubwabwa ficheni ukweli Njaa itawatia motoni
@salimuawadhi8043
@salimuawadhi8043 2 месяца назад
Sasa wewe umekuja kuvunja hoja ya shekh au umekuja kutupotezea muda tu na maneno tupu kama waweza Lete hoja nanibara zilizoaomwa Sio maneno tupuu bila hata kunukuu KITABU hata kimoja unasema unathibitusha kitu Gani na huna hatq KITABU wathibitisha Kwa maneno tupu unamuita mtu muongo Kwa maneno tupu
@Aradyassane
@Aradyassane 3 месяца назад
Fungueni kitabu
@rushu1232
@rushu1232 3 месяца назад
Kisha nyinyi munao support bachu kwanini amefukuzwa Zanzibar sababu ya ufedhuli na kukosa adab.
@Biziman-pu4kf
@Biziman-pu4kf 3 месяца назад
Nipe habari ndungu nikweli amefukuzwa
@rushu1232
@rushu1232 3 месяца назад
@@Biziman-pu4kf haruhusiwi kutoa khutba wala muhadhara na shida sio mtu wakusomesha amezowea ufedhuli ndio akaja msa kwenye jaa la taka.
@Nuru_ya_sunnah.official
@Nuru_ya_sunnah.official 3 месяца назад
ukiongea usiwe na hasira kia mpole ili jamii isijue kua umekasirika
@mohagurey2214
@mohagurey2214 3 месяца назад
Masufi mmepoteza wafuasi kupitia kina bachu na kina bahero mungu awalipe
@darajanida
@darajanida 3 месяца назад
kila mtu anakaburi lake ndugu yangu epukana na upotovu wa mawahabi
@mohagurey2214
@mohagurey2214 3 месяца назад
@@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah
@mohammedmasudi-dz6hb
@mohammedmasudi-dz6hb 2 месяца назад
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA NA BAATWIRI
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 3 месяца назад
Nyinyi hamna elim nibala bala tu
@abdulrahmanmussa4479
@abdulrahmanmussa4479 3 месяца назад
Mfuateni kadhi wenu acha ubishi
@NURRPRODUCTION
@NURRPRODUCTION 3 месяца назад
Ustadh huyu jamaa lazma aambiwe ,anaumbungufu sana wa elimu
@hassankarata8135
@hassankarata8135 3 месяца назад
Jenga hoja acha porojo
@JamalAli-tz6pj
@JamalAli-tz6pj 3 месяца назад
Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu
@abubakarhajjabubakarhajj1252
@abubakarhajjabubakarhajj1252 3 месяца назад
Kawaida anaesema kweli huchukiwa nyinyi hamutaki ukweli
@eastafricaqualitychickenfa9916
@eastafricaqualitychickenfa9916 3 месяца назад
Hapa naona kaja na mipasho haina aya wala Hadisi
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 3 месяца назад
Hivi maana ya matusi unaijua kweli au wajisemea tu,unajua maana ya hojja unaelewa kweli
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Matusi zaidi mnayajua nyny sababu ndio kz yenu
@user-ze8rk9ye6r
@user-ze8rk9ye6r 2 месяца назад
masufi hamna kitu ni mbwe mbwe tu zenu.
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Uyo bachu hana adabu, yeye kwnz hana sheikh
@mngwaliis-haka5348
@mngwaliis-haka5348 3 месяца назад
Bachu aende akasome
@slimshah9460
@slimshah9460 2 месяца назад
Alifu kwa kijiti😂
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 3 месяца назад
We mwenyewe ni mrongo kama nihivyo
@chidolakhatib7847
@chidolakhatib7847 3 месяца назад
Mukiambiwa ukweli wakuumeni ehhhh bachu Atawanyoosha Allah atazidi kumpa Elmu Mumjue makusudio yake kwenu …
@ibraa1157
@ibraa1157 3 месяца назад
Bachu ni mtoto muacheni pengine akisha baleghe ataacha ufudhuli
@abdulsalum2852
@abdulsalum2852 3 месяца назад
mtu akipotosha umma alafu watu wakaufufua umma kwa kuonesha ukweli ndo kutukanwa nani katukanwa ebu tuoneshe clip zamatusi ayo tuone jibuni hoja kwa dalili dini ya uislam sio kama makafiri kwamba akisema kiongozi ndo kasema hapana
@ahmedseif-cu4ex
@ahmedseif-cu4ex 2 месяца назад
Na ww wataka ujibiwe na bachu hujawa na kiwango cha kijibizana na bachu
@litimbaify
@litimbaify 3 месяца назад
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli mwache Bachu atufungue macho na hamturudishi tena gizani endeleeni na kukaa gizani!
@firdaushamid8200
@firdaushamid8200 3 месяца назад
Bachu kawaida yake hajuwi kuongeya kistaarabu mpaka atiye dharau na kijeli hivo ndivo amezowe
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 3 месяца назад
kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 2 месяца назад
@@HemedSerious hasira hasara wala matusi si fani yangu yakurejee mwenyewe mijineno yako mibovu
@hassankarata8135
@hassankarata8135 3 месяца назад
Mwalimu unatuchanganya mbona kila kitu bachu hutufundishi bachu kakosea hapa kateneza hapa
@maadinaJuma
@maadinaJuma 3 месяца назад
Kama ww nimkweli mbona ckuelewi
@swalehmohamedwaziri7499
@swalehmohamedwaziri7499 3 месяца назад
Mawahabi hawana inswaf na wapenda kubaranganiza mambo walaghai hawajali kudanganya bora maslahi yao yende
@dullahbatuf9223
@dullahbatuf9223 3 месяца назад
Katukanwa wap kwn pamewekwa sawa tu
@sultanmohammed4157
@sultanmohammed4157 3 месяца назад
Backu ni mjinga katika dini yake. Hanailim hana heshema.
@KakaOmmy-xx6pi
@KakaOmmy-xx6pi 3 месяца назад
Sio vivuri kuwatukana masheikh kama humuamn bas sio lazima umufuatilie
@FaaidaTVtz
@FaaidaTVtz 2 месяца назад
Wewe mwenye Elimu ebu mjibu Bachu sasa kwa hoja ya kielimu.
@fadhilimusa9732
@fadhilimusa9732 2 месяца назад
Ei kwani bacho ni mwanachuoni au ni mpambe wa kiwahabi
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Mm nashangaaa wajinga wanaosema eti mwehu bachu anaonewa choyo
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 3 месяца назад
Sasa hapo ndo umezungumza nini? Kwahyo mawaidha yote ndo yalkua ya Bachu?
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Wewe kuskia sabb ni mtumwa wa akili za bachu
@dullahbatuf9223
@dullahbatuf9223 3 месяца назад
Ndio kawatajia cz mwafanya ubishi tu masufi
@AbuuAnuwar-ip7dr
@AbuuAnuwar-ip7dr 2 месяца назад
Mtoto wabachu wakati mwingine maneno yake utadhani anaongea akiwa anavuta bangi yaani mdomo mchafu Sana Sana ila ngoja tuangalie mwisho wake utakuwaje maana ngoma ikivuma sana mwishowake hupasukatu huja akaongea kama chizi duh🙄
@salimabdalla6290
@salimabdalla6290 3 месяца назад
Si nilisema kuwa atajibiwa mm na huyu kijana naona ni kama akili zake ni za kifyetu bachu kashabachuliwa akabachuka
Далее
Standoff 2 is a true horror! #standoff #horror #meme
00:13