Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤
Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima. Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم
Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena
Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..? Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.
@@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo
Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
بارك الله فيك يا أخي العزيز Maneno mazuri nto جزاكم الله خيرا Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan. Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم
Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa
Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.
Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....
Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakaatu Sheikh naomba unipe link au uniandikie swali na jibu yote kwa ukamilifu alioulizwa Sheikh Ibn Uthaymeen na alivojibu yeye Sheikh Ibn Uthaymeen kwa ukamilifu Shukran
Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja. Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.
Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana
Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.
SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh
Kwa hiyo nyie hamuezi kuanzisha mada mpaka bachu aongee ndio mupate mada? Na hamupati usingizi kufikiria vipi mummalize bachu? Basi Allah atamlinda kwa husda na chuki zenu mpaka haqqi ifahamike
Maa shaa allah.. sheikh bachu na sheikh Ali ni viboko vya makhurafi kumbee😂😂 Bachu anawakosesha usingizi kumbee.. Mmi binafsi sheikh bachu namuelewa sana juu anongea kihoja na kisomi. Wwe ungefundisha tuu na uache kuongelea bachu hio ni michambo hujafunza kitu
@@yusufathman2478 MWENZENU aloenda kwenye niqash kule kenya akasema hadith غريب maana yake ni hadith ngeni sanah 😂😂😂 Afu ni sheikh ni huyo wa KISARAFI mkiwa mnataka majadiliano muwe mnasoma na vitabu NA MNAELEWA MNAVYOVISOMA kwa maana sahihi sio potofu ndo mana MASALAFI JADIDA WANAWAITA NYIE MAHIZBY إنا للّة وإنا إلية راجعون
@@yusufathman2478 والحديث الغريب هو الذي فيه نوع من التفرد Embu nenda kasome bana 😀😀😀 HUNA UJUAOLO UNASUMBUA NA COMMENT ZA MIHEMKO Kasome wanazuoni wa hadith WANAZUNGUMZIAJE HADITH HIYI UKISIKIA HADITH GHARIB SIO NGENI 😂😂😂🙌🏾 mkiambiwa msome hamtaki unatafsiri MAMBO YA WANAZUONI KWA HAWA ZAKO 😂😂😂🙌🏾
Sasa wewe umekuja kuvunja hoja ya shekh au umekuja kutupotezea muda tu na maneno tupu kama waweza Lete hoja nanibara zilizoaomwa Sio maneno tupuu bila hata kunukuu KITABU hata kimoja unasema unathibitusha kitu Gani na huna hatq KITABU wathibitisha Kwa maneno tupu unamuita mtu muongo Kwa maneno tupu
@@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah
Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu
mtu akipotosha umma alafu watu wakaufufua umma kwa kuonesha ukweli ndo kutukanwa nani katukanwa ebu tuoneshe clip zamatusi ayo tuone jibuni hoja kwa dalili dini ya uislam sio kama makafiri kwamba akisema kiongozi ndo kasema hapana
kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye
Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m
Mtoto wabachu wakati mwingine maneno yake utadhani anaongea akiwa anavuta bangi yaani mdomo mchafu Sana Sana ila ngoja tuangalie mwisho wake utakuwaje maana ngoma ikivuma sana mwishowake hupasukatu huja akaongea kama chizi duh🙄