Тёмный
No video :(

MAJIBU JUU YA URONGO WA ALI ABUBAKAR || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE 

Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Подписаться 21 тыс.
Просмотров 8 тыс.
50% 1

MAJIBU JUU YA URONGO WA ALI ABUBAKAR || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 142   
@osmanmanbile9327
@osmanmanbile9327 2 месяца назад
Shukran ustadh muhsin bute mawahbaii elimu hawajui ni porojo2 na kupotosha watu
@SugowFarah-up3db
@SugowFarah-up3db 2 месяца назад
Sheikh Uthaimin رحمه الله تعالى lugha yake iko wazi kabisa kwamba muandamo wa mwezi wa Dhul-hijjah utazingatiwa ule wa Saudia hata kama itakhalifiana na miji mingine
@KomoraMohamed
@KomoraMohamed 2 месяца назад
Nynyi magaidi wadhani ni nani watafata bakini kwnye giza
@user-lo1uk8dp5f
@user-lo1uk8dp5f 2 месяца назад
Huyo uthaimini maneno hayo ameyatoa wap kwakua uthaimini hakua mtume
@sibawaybakar6317
@sibawaybakar6317 Месяц назад
Mashaallah, sheikh, kwa kweli hawa mawahabi ni wapotoshaji tukae nao mbali.
@LASSUH4947
@LASSUH4947 2 месяца назад
Shukran sana habeeb umeongea kwa ufaswaha mkubwa umeeleweka na msumari umeingia
@abdurahmanabdallah2403
@abdurahmanabdallah2403 2 месяца назад
MASHALLAH ustadh mungu akubariki
@Abdulrahman.84
@Abdulrahman.84 2 месяца назад
Shukran wajazaka allahu kheir Habib tume kufahamu Kwa uziri sanaaa
@swalehmohamedwaziri7499
@swalehmohamedwaziri7499 2 месяца назад
Maa shallah Ni kweli nimeamini mawahabi ni wababaishaji
@ummulhussein
@ummulhussein 2 месяца назад
subhana allah 🙏🙌mola atupe tana buhi na kuzundukaa manake wakati huu umeisha tuspo zundukaa ss hatuna tamaa mbele badilikaa yani ndugu zangu walimu nyote maa ustadh🙏🙌🤭nshawahi kusema hili neno kumjibu ustadh izuu din kma nafurahika juu ya darsaa kuskiza badae huja maneno kitandawili khaswaa kupijilizwaa mm nasema tena leo mutaakaukaa kooo zenu na zilimi zitakuwa zimechokaa kusemaa boraa hyo wahabi muachane nae amekuja kwa fujo ss na kelele mola umuongoze yarabi🙏🙌🙏🙌ampee fahamu nzur ipo cku moja katika nlpo kua na kazi zanguu nkasema hzi vitu fulani bukhur za maulid alinicheka na kuliza ww wapenda maulid mkasema sanaa yy nkimuliza hakusema kituu kma aapenda hapendi lakin namjua vzur kma hapendi na shidàa hatki kushindwaa kabisaa kma yy ajua kila kituuu nguvuu ki hikmaa 😢🙏🙌namm thumaa wallah cjatetesha famly nanyinyi muwe mashahidi walimu huitwaa mbaya cna manaa cna akili cna hikmaa😢😢 leo namini nakubali kma dunia ina duwaraa marejeo angamani lakushangaza mbona amerudi kwa nguvuu awe yy na kijana wake ama famly yake mm ctaki kua fitnaa jina langu kutiwaa midomoni imeisha nayy inshallah atuliye kwa barka idhul hajjj awe makini na nyinyi walimu nfio mtamni yote nlosema ckuzushaa mm masalam jazakallah kherraa🙏🙌 usiku mwemaa
@bukhariznz
@bukhariznz Месяц назад
ولا تكونوا كالذين نسو الله فانساهم أنفسهم اولىك هم الفاسقون. او كما قال الله تبارك وتعالى.
@ahmedbadi5822
@ahmedbadi5822 2 месяца назад
MAA SHAA ALLAH USTADH UMEEKA MAMBO SAWA
@mussaissa6796
@mussaissa6796 2 месяца назад
UMEWABOMOWA VIZURI SANA AKHIY, MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU NA AKURUZUKU HIKMA NA MAARIFA YA ZIADA NA AUINUE UISILAMU JUU KUPITIA JUHUDI YAKO,AAAMIIIIN
@user-hr9kb7ev1i
@user-hr9kb7ev1i 2 месяца назад
Shukran sana,Allah akuzidishie ilmu na akubarikie ufahamu ndungu yetu
@Dr-ubaida965
@Dr-ubaida965 2 месяца назад
Mashaallah
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh 2 месяца назад
Shukran sheikh
@NMJAsaid
@NMJAsaid 2 месяца назад
Shida muenu masufi ni warongo sanaaaaaa. Yaani mashekhe wenu wana uwezo wa kufufua maiti!!!
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Nyny ni wakweli km maswahaba vile.,...
@musakibwana4596
@musakibwana4596 21 день назад
sio mada hiyo
@NMJAsaid
@NMJAsaid 21 день назад
Kwa ubishi hakuna kiboko ya masufi
@HemedAbdullaSuleiman
@HemedAbdullaSuleiman 2 месяца назад
Mawahabi kwenye Funga ya Arafa wamechemka
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Wanajidhalilisha live
@muhammadkhatwab
@muhammadkhatwab 2 месяца назад
Sawa kabissa Mola akubariki shk Muhsin
@SalumKeya
@SalumKeya 2 месяца назад
Allah atuongoze fii dunia wal akhera
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 2 месяца назад
Mnachokifaham ni kusherehekea mazazi yayamtum muhamad s w w kama wakristo na ulivoanza kuzungumza sijakusikia unakosoa kwahivowewe hufai hatakusikilizwa nendeni muwe munaabudia maiti hiondo mnajua tu
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Mwehu
@babuumohd4290
@babuumohd4290 2 месяца назад
Mashekhe wengi wakileo hamna mnachotupa katika dini zaidi ya kuikhtilafiana. Yani badala kuweka mikakati ya kuuregesha uislam katika uongozi kazi yenu nikuweka mijadala yakutafta hela mitandaoni
@alimaalimahmad837
@alimaalimahmad837 2 месяца назад
Hawa mawahabi tatizo lao hupenda kuruka ruka kama mabisi kwenye machine , hebu tulieni basi kwanza msome ...
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Unafurahisha kweli mkuu,
@salimobeid1470
@salimobeid1470 2 месяца назад
Dah miwahabi hailewi lugha wala haifahamu mashekhe zao wanapopoa tu wallah dah mie naona masufi dini wnaiyendea haki ukiwasikiliza mashekhe wa kisufi lazima ufaidike
@user-hb8vi9fx6g
@user-hb8vi9fx6g 2 месяца назад
ما شآء الله جزاك الله خيرًا ETI HOJA NI ALLAAH HUTEREMKA VIWANJA VYA ARAFA! SASA UKIENDA NAO SAMBAMBA NDO ALLAAH ATATEREMKA KENYA?!
@jamalishoo3802
@jamalishoo3802 2 месяца назад
Maa shaa Allah
@LASSUH4947
@LASSUH4947 2 месяца назад
Yaani mawahabi siku zote ni wanafunzi waliofeli so hapo kuna kibarua kwnye kuelewa na kusoma
@khalifaahmed5232
@khalifaahmed5232 2 месяца назад
😂😂😂😂Uyu Ali ht asilaumiwe uyu hajasoma kabsaa Hana elimu ht robo hebu mchunguze xaidi yy afuata bendera sheikh akisema mskiti mwngn nayy ndio Mada yake ijuma ijao alafu mchunguze Tena akilemewa kabsaa huchukua vipande vipande vya masheikh akivikata na kukejeli na kudharau yaani uyu twamjua vzr sanaaaa elimu yako kasoma wapi na ikawaje kapewa mskiti ndio nasema uyu haesabiwi kabsaa afaa asijibiwe llte abweke tuu mpk achoke 😂😂😂
@abasifadhiliswai9465
@abasifadhiliswai9465 2 месяца назад
Sheikh Ali Abubakar anaeleweka vzr sana, nyie hamjui mnamtumikia nani.
@abiabi9353
@abiabi9353 2 месяца назад
Hebu tufahamishe umemuelewwje Ali abubakar
@SafiaHaji-fo3sl
@SafiaHaji-fo3sl 2 месяца назад
nyny mashekhe wacheni mambo ya mipasho uislamu munautia aibu nyny kwa nyny hamusemeshani
@binnagy1497
@binnagy1497 2 месяца назад
Very true,Hawa hawana sifa za mashekhe,wasanii tu
@FarahJey
@FarahJey 2 месяца назад
Ikowa Allah anateremka kiwanja cha Arafa na siku ya arafa,basi na nyinyi sibitisheni kuwa Allah ateremka sikumbili ya arafa ya maka na arafa ya watu wa kenya au sehemu nyengine
@halimahussein6792
@halimahussein6792 2 месяца назад
Hivi Haya majibizano ya wasomi mtandaoni itaisha lini, Tena mbaya Zaidi wengine hata hoja Na dalili hamna acheni basi
@salimseiban5478
@salimseiban5478 2 месяца назад
Hawa mashkh wa kiwahabi. Hawana ilmu. Wana rukaruka tuu. Hii hoja Iko wazi. Ibada ya Eid UL adha imeanza miaka 2 hijria. Na ibada ya hijja imeanza miaka 9 hijria. Hizi ibada mbili ni mbali mbali
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Mm naona wanajidhalilisha tu masheikh wa kiwahabi
@YusufAli-gc9cu
@YusufAli-gc9cu 2 месяца назад
Wahhab nnan,,,,? naomba kujua,,,,
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
@@YusufAli-gc9cu ni masheikh wanaofanya ubabaishaji kwenye yalio wazi, ukitaka kumjua sheikh wahabi ndio hyo Kuna zaidi?
@hassanadan1001
@hassanadan1001 2 месяца назад
Msome, muache kutegemea hawa vijana wa kisufi , they don't have any knowledge on diin , most of them never surpassed faslul saadis, they always debate to please their masters.
@noorululaatv8973
@noorululaatv8973 Месяц назад
Lete NONDO mpaka makhawaarij wa kiwahabi waelewe
@swaffaa12020
@swaffaa12020 2 месяца назад
Nimefurahi kua wamekubali wao na mawahabi kisha aweka wazi kuwa maneno ya shkh uthaimeen yaweza kutupiliwa mbali maadamu ya mtume s.a.w yani hawa jamaa wapenda mizozo kushinda elimu
@HemedAbdullaSuleiman
@HemedAbdullaSuleiman 2 месяца назад
Mawahabi uongo ndio itakadi yao... Yan wao kudanganya hawaoni tabu na kuna mijitu inaburuzwa tuu
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 2 месяца назад
Swadakta Wallahi
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 2 месяца назад
Wacheni uzushi nyinyi. Sheikh Ali na Mohamd Bachu endeleeni kutuhubiria sunna na kukanyagakanyaga uzushi
@Dr-ubaida965
@Dr-ubaida965 2 месяца назад
Hao majaahili ndo mnaowategemea Duh Nyi Ovyo Kweli.
@KhamisHabib
@KhamisHabib 2 месяца назад
Assalaamu alaikum naona ww sasa ndie unatudanganya maana hicho alichokisema nikiswahili na ww unasema kiswahili na sisi tunasikiliza kiswahili
@mohammedmasudi-dz6hb
@mohammedmasudi-dz6hb 2 месяца назад
HAHAHA HAKIKA AKHY ATUDANGANYA HUYU
@hassanadan1001
@hassanadan1001 2 месяца назад
Kazi ya msufi ni kufurahisha masharifu , hawasomi , mwisho ya masomo ya ni faslul saadis, kisha wanakuja kupumbaza wasiosoma , na kujifanya kujua lugha ya kiarabu saana.
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 месяца назад
Makhurafi mna taabu uelewa wenu ndo mdogo subhanallah.. Tena mwajiita Alhu sunnah wal jamaa.. 😂😂
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 2 месяца назад
Wanachekesha
@noorululaatv8973
@noorululaatv8973 Месяц назад
​@@user-xb6tr5vq4b Mtetee Wahabi mwenzio
@user-iz1er8vg7u
@user-iz1er8vg7u 2 месяца назад
Wapenda fitna sasa 😭
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Wenye akili tunaelewa sheikh
@AbuuArqamtz
@AbuuArqamtz 2 месяца назад
1.Tarehe inakuwaje nyuma na mbele shekh, mbona hatuelewi? 2. Kwani kunanchi inapishana na nchi nyengine kwa kiasi cha masaa 24? 3. Au baina yetu na Suudia kwani kuna utofauti wa masaa mangapi? 4. Jawabu lako kwa Shekh Aly ni lipi kuhusu kauli hizo mbili za shekh, Ipi tufuate? 5. Kwani mashekhe maneno yao ni wahyi wakiongea hufaa kuhesabiwa moja kwa moja bila kufanyiwa utafiti, na ikiwa ni wahyi mbona ameleta maneno mawili la kupinga na lakukubali?
@MuniraRashid-sx3up
@MuniraRashid-sx3up 2 месяца назад
Sheikh Ali abubak ar endelea kutuelimisha tunakuelewa laud and clear
@abiabi9353
@abiabi9353 2 месяца назад
Haha mawahabi majahili kweli. Sasa hop Ali abubakar umemuelewa nini
@MuniraRashid-sx3up
@MuniraRashid-sx3up 2 месяца назад
Jahili ni ww na wachawi wenzako
@abiabi9353
@abiabi9353 2 месяца назад
@@MuniraRashid-sx3up Haha majahili wakiwahabi wamepoteza muelekeo. Ali Abubakar ni jahili kwasababu anaeleza maelezo ya sheikh wake bila kuyaelewa.huwo ni ujahili
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 2 месяца назад
Masufiiiiii munachekesha😂😂😂 sikiliza niwambiekitu mawahabi wanavofundisha wanaeleweka sana tutakosa kuwafata kivipi? Aya na hadidhi mbali mbali wanatoa natunaelewa nyinyitu ndohamuelew aya nahadidhi hamtow na hatutowafatilia kwasababu hizonimekutajia
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku Месяц назад
Masufi makhurafi mashia wote kimoja wazushi tuuu mbona hoja nyiiingi na hamna mashiko hoja zetu acheni uzushi muogopeni Allah haki ya kumcha
@idarusalwi7962
@idarusalwi7962 2 месяца назад
هذا ليس كاذبا بل مفتري على العلماء الأجلاء .
@mohammedmasudi-dz6hb
@mohammedmasudi-dz6hb 2 месяца назад
HUWEZI ITETE BAATWIRI SHEKHE BORA KAA KIMYA
@muhammad-o7f
@muhammad-o7f Месяц назад
HUYO KIJANA AKASOME KUSOMA KIARABU KWANZA HAJUI HATA KUSOMA. ETI AMMA BINNISBATI... VUTA HIYO AMMAA MIIM INA ALIF (أمّا بالنسبة)
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 2 месяца назад
Mawahabi ni waongo
@FarahJey
@FarahJey 2 месяца назад
Lini mulikubali hadithi?
@user-uo1kc7en6i
@user-uo1kc7en6i 2 месяца назад
Huyo Ali Abubakar ni mzito wa kuelewa yy na wnzake kina baschu
@issajuma910
@issajuma910 2 месяца назад
Acheni mizozo fungeni kila mtu alivyofahmu wki wte mnalengo moja unautia uislam madowa
@idarusalwi7962
@idarusalwi7962 2 месяца назад
Aslm alkm Huyu ni mbovu kabisaaa wala msimbuke naye huyu nikama kasuku Ufidhuli tu hana ilimu hata lugha haijui balgha hana nahwu na hikima hana....kama huyu hajibiwi.
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 2 месяца назад
Bibi aosja anasema ان عرفة يوم يعرف الاءمام Haikaka ya arafa ni ni siku atayotngaza imam Maneno haya bibi aisha alimwambia masuluk .masuluk .alitangulia kufunga arafa. Siku ambayo imam hajaitangaza kuwa ndo siku ya arafa.
@ShabanNyange
@ShabanNyange 2 месяца назад
Tatizo kubwa la MAWAHABI ni Uelewa Mbovu 😀
@Sheikhmadaba-cm2hw
@Sheikhmadaba-cm2hw 2 месяца назад
😂😂😂😂 ally naona kaacha kutumia karatasi hahahahahaha
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 2 месяца назад
Acheni uzushi enyi watu wa bidaa rudini ktk njia sahihi aliyopo mtume na maswahaba zake
@user-lo1lb8qz4k
@user-lo1lb8qz4k 2 месяца назад
Kama huna lakunena afadhali ukanyamaa
@SafiaHaji-fo3sl
@SafiaHaji-fo3sl 2 месяца назад
wacheni mambo ya ujinga wa kulumbana kuna mambo meng ya kufundisha hamufundish mawaidha yenu ni mipasho tu
@user-iz1er8vg7u
@user-iz1er8vg7u 2 месяца назад
Wewe dio mrongo waitwa Nani waitwa watu warongo mrongo niwewe
@Dr-ubaida965
@Dr-ubaida965 2 месяца назад
Thibitisha bas
@iddimutua420
@iddimutua420 День назад
Mbumbumbu huyu yuwatafuta kiki,Masufi kama vipofu na viziwi hawaoni wala hawasikii
@FarahJey
@FarahJey 2 месяца назад
Kwa hivyo Arafa ya sahihi ni ile ambao Allah anateremke katika hio siku,wacheni ukhuraf wenu hebu sibitisheni kuwa Allah anateremka arafa ya maka na arafa nyengine
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 2 месяца назад
Wewe huna hata ayamoja kwenye umbongowako nikutupu kwamaana hatujasikia ulichokikosoa kwahivo huna uwezo wakupambana nabachu au ali aboubakar kiukeliwewe nimjinga kaakimia kama masufi wenzio walivokakimiya una
@KomboShineni
@KomboShineni 2 месяца назад
kama yeye ni mrongo mbona ww hubainishi ss
@FatmaAbdulhalim
@FatmaAbdulhalim 2 месяца назад
Nendeni palestini mukapigane
@DiudaKozi-qu8sl
@DiudaKozi-qu8sl 2 месяца назад
Acha polojo za ushi
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 2 месяца назад
Masufi nynyi munatunga hadithi za uwono kumsingizia mtume. Nani atakuwa mwema kwenu ?
@allyhamza9969
@allyhamza9969 2 месяца назад
kuna yule sheik wa kisufi aliyesema kuwa shekhe lao alipokufa wakati wa kuoshwa alikuwa akijizungusha mwenyewqwe.na wakati wa kuzikwa alijitia mwenyewe mwana ndani.😂😂hakufanyiwa rudud zozote
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 2 месяца назад
Masufi zindueni musiwapoteze wat jiulize ikitokea mwezi mumetangulia kuuwona mwezi wa wa hijja na saudia ivi hihoyo arafa yenu mutaitangaza vipi mpaka waislam dunini wawaelewe?
@JifunzeKiarabu
@JifunzeKiarabu 2 месяца назад
Huyu Ali Abuu Bakri Hajui ata maana ya Wahabi
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад
KUMBE NA WEWE MPOTOSHAJI TU,YAANI KENYA NA SUUDIA HAKUNATOFAUTI KUBWA KTK MUDA NA SIKU LKN MNA TRH MBILI TOFAUTI??? KALENDA YA MATWARIQA NI WARONGO
@uiavajiwgav5441
@uiavajiwgav5441 2 месяца назад
Acha porojo kwani shafii malik hambal siwametafautiana nawote wamejitahidi zina balaa hizi zikhurafi zakupangwa line yambele kwenye maulidi
@khalidbinsunkar5409
@khalidbinsunkar5409 2 месяца назад
Tatizo kubwa kwa hawa mawahabi hawafahamu nuswuusw na masikitiko makubwa hata aq'waalul 3ulamaa zinawapiga chenga!!!! هداكم الله
@abasifadhiliswai9465
@abasifadhiliswai9465 2 месяца назад
Masufi acheni porojo
@HemedSerious
@HemedSerious 2 месяца назад
Mwehu 😂😂😂
@idarusalwi7962
@idarusalwi7962 2 месяца назад
علي أ بو بكر صفر في كل العلوم.....لا في اللغة ولا في الفقه ولا في البلاغة ولا في كل شيء ،هذا ببّغاء فقط يحكي ماقاله زملاؤه.
@KhamisHabib
@KhamisHabib 2 месяца назад
Je ww unauhakika tarehe yako iko saw au ww yakwako ndio umekosea kwanini zipishane tarehe yako na ya Saudia
@huseynmaitaya9002
@huseynmaitaya9002 2 месяца назад
Wewe ndio huelewi ushahidi katuka hayo maneno kua wafuate saudi ni hapo alipo sema wadhaalika annal hijja makhusuusun bimakaanin muayyaanin , au kuna pengine panafaa hijja pasipo saudi , ama ndio kwenye kanisa la Abrah ibnul ashram 😂😂😂😂 pia kwapatikana hijjah
@alibadran438
@alibadran438 2 месяца назад
Huyu atyy shekhe??Hahaha😂😂
@TheAmadoni
@TheAmadoni 2 месяца назад
😂😂😂 kila mtu ankua yuwa radd siku hizi, 😂😂😂 mazungumzo matupu bila dalil wala qauli yaku backup maneno yako...
@saidollaaddicted3700
@saidollaaddicted3700 2 месяца назад
SHEIKH ALI ABUBAKAR SI muongo bali watu wa twarik si waelew na nimadhuka nyiny na mwafwata hawaa za NAFSI so wale wadhuka wenzen ndo wanaon uko sahih kumb BUREE KABX
@hasani-mq6ei
@hasani-mq6ei 2 месяца назад
Achenyi kutuchanganya Sisi wenye elimu ndogo nyie mtumewajua ustadhi mapate washrikina badilikeni!
@osmanmanbile9327
@osmanmanbile9327 2 месяца назад
Namwapongeza waatu wetu wa ahlusun ahlu durud sufiyah marah mukanyage hawa mawahbii wakipotosha watu mubainishe haqii sabbau watu wa haqqq wakinyamasa يهتم اهل الباطل انهم علي الحق
@hassanadan1001
@hassanadan1001 2 месяца назад
Soma dini bro.
@osmanmanbile9327
@osmanmanbile9327 2 месяца назад
Mm nimesoma.ww wahabii ndio umesome😂😂😂
@mohagurey2214
@mohagurey2214 2 месяца назад
Ukiambiwa kwingine haizingatiwi unataka nini ingine? Haya wewe zingatia Cha kwako basi
@hassanmohamedabdalla4108
@hassanmohamedabdalla4108 2 месяца назад
hawa masuti ni wafwasi wa sheitani ni kupoteza watu tu kutegemea kaburi dance ya trabu
@user-zr1dv2tb5k
@user-zr1dv2tb5k 2 месяца назад
Wew ni jahill
@mhusinigau3231
@mhusinigau3231 2 месяца назад
Sahihi husikiliza kwa moyo unasikiliza kwa masikio na ww Kwa kuwa ni muhabi hutaelewa anachokisema
@AdamYunus-qr3jm
@AdamYunus-qr3jm 2 месяца назад
شيخ فيه دليل واضح جدا أن كنت لاتفهم فاسكث يا هذا فتلك مصيبة
@mohagurey2214
@mohagurey2214 2 месяца назад
Lakini usufi utaweza kuendelea bila uongo? Abdiqadir jeylani amerusha kiatu Iraq hadi Somalia 😂😂😂 ama amekimbiza malukul maut akarudisha roho ya maiti
@NuurulHudaa
@NuurulHudaa 2 месяца назад
Kama unkosa la kusema kaa kimyaa usianze kutukana عulamaa wakubwa walotangulia
@LASSUH4947
@LASSUH4947 2 месяца назад
Naona mada nyengine hii vp ya arafa imekushinda sio umeona huna point ndo waleta mada nyngine
@mussaissa6796
@mussaissa6796 2 месяца назад
MPAKA UJUE HICHO NI NINI NDIO UTAJUA KUWEZEKANA KWAKE AU LA. SASA KWA MJINGA AINA YAKO SI AJABU KUYAONA HAYO KUWA HAYAWEZEKANI KWA SABABU YA UJINGA WAKO
@KhamisBakar-ge4sp
@KhamisBakar-ge4sp 2 месяца назад
Usitoke nje ya mada Nenda ukamsaidie Wahabi mwenzako kusoma kitabu
@KhamisBakar-ge4sp
@KhamisBakar-ge4sp 2 месяца назад
Masha Allah ❤❤
@FarahJey
@FarahJey 2 месяца назад
Debe tupu huyu Ni kiis fadhwi
@salimobeid1470
@salimobeid1470 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaah yani wahabi ni balaa wallah hani kukiri tu msimamo wa wengi ni kila mji na sajm yake kulingana na muandamo wake
@user-hx2yq6xy2u
@user-hx2yq6xy2u 2 месяца назад
Huyu ndio mjinga kabisaa, yeye ndio hana ilimu.
@mohagurey2214
@mohagurey2214 2 месяца назад
Sisi tuko tarehe 7 na kule wako tarehe 8 😂😂😂That's the biggest lie of the year. Sisi na Saudia tuko same time zone na hatupitani hata dakika moja. Eti 7 na 8 yani 24 hour mzima difference kisha kuna watu watakubali upotovu wa wazi kama hilo
@LASSUH4947
@LASSUH4947 2 месяца назад
Bro wajua nyinyi kosa lenu hujiangalia nyinyi bila kujua kma kuna nchi zengine hapo ndo mnachemsha kuna watu hao mahujaj wakisimama wengine wamelala na yaani wengine wanaanza ile siku wengine washaitoka ile siku ndo maana maswali hamuezj jibu mkiulizwa
@NuurulHudaa
@NuurulHudaa 2 месяца назад
We wacha urongo wako, sisi na saudiya kwenye time ya gmt ndo tuko sawa ama kwenye solar time tuna tafauti ya saa nzima Nakumbuka miaka miwili mfululizo ilopita makkah waliswali eid saa kumi na mbili kamili ambapo kenya huwa hata ishraaq bado Usiangalie saa ya mkono ngalia time gani kwao jua huchomoza na time gani jua huzama, utapata kwamba jua saa zingine kwao lazama saa kumi na moja na nusu ambayo saa kumi na moja na nusu yao ndo saa kumi na moja na nusu yetu Yatakiwa uelewe, usiropokwe tu
@LASSUH4947
@LASSUH4947 2 месяца назад
@@NuurulHudaa waelewa kiswahili lkn bro yaani kumbe mpk kiswahili hujui kma mashekh wako wasivo jua kiarabu narudia tena nakwambia usijiangalie ww tu ww ni xw uko xw na makka time lkn kma loss angeless wako masaa kumi nyuma haya hao watafunga vp wawe xw na mahujjaj usiangalie ww tu bro jua kuna na wenzako wa nchi zengine
@mohamedrashid7864
@mohamedrashid7864 2 месяца назад
Wewe wahabi Mohagure aliposema ustadh kuhusu sana na nane ni namna ya muandamo wa mwezi .pumbavu kabisa kichwa ngumu
@makenaOG
@makenaOG 2 месяца назад
Sawa lakini wajua saudi wameswali salatul idd saa ngapi
@jumamohamed628
@jumamohamed628 2 месяца назад
Maa shaa Allah
@iddimohamed254
@iddimohamed254 2 месяца назад
Porojo tu watu wa twarika hamna lolote...
Далее
ALIEDAI UNABII AKAMATIKA NO 2
5:26
Просмотров 47 тыс.
NAMNA YA KUOKOKA NA HASARA
1:30:54
Просмотров 7 тыс.