mmmmh!!! MAASHALLAH shekh BACHU Nimfasaha saaaana, MAASHALLAH yaani nakuelewa vizuri mnoo, hao majadida wanaweza wasibadilike, ila watatumika kama UBAO WA kufundishia ili sisi tuzidi kuelewa, na kutudhihirishia UJINGA wao😢😢😢😢
@@AbuuBakar1 bachu haku mtoa kassim mafuta kwenye usalafii ana itakidii shekh kassim mafuta ni mtu wa sunna tena amesha wahii kusema kuwa ni nguzo tegemezii katika sunna..ancho kisema bachu ni kuwa wao kina kassim mafuta na genge Lao wame mtoa shekh Abuu muawiya rahimahullah kwenye sunnah pasipo kua na hoja madhubutii za kumtoa mtu kwenye sunnah
Wallah kuna wakati inauma sana watu kama hawa Sheikh Qassim Mafuta na Muhammad Bachu wanakuwa tofauti wakati kama kuna waalimu ambao huwa nawaelewa sana wakizungumza na kufundisha basi ni hawa.Allah atajaalia kheri kabla ya kufa hawa watu wawili watafanya kazi pa1 baada ya tofauti zao zitaondoka kwa hoja za kielimu na tutafaidika sana na sana kupitia ndimi zao.
Ndugu angu umenipokonya maneno kinywani na moyoni mwangu kikweli si hawa tu, bali ahlsunnah wote nawapenda kwa ajili ya Allah na sioni haja ya kutengana ..nakusudia wanaojiita salafiy na wanaoitwa kuwa ni mahizbi ..wallah mpaka leo sijaona utofauti ktk manhaji😢😢 inaumiza sana...
Assallamu alaykum,,akhi nakupenda sana kwa ajili ya Allah,,ulivyo wewe ndivyo nlivyo mimi,,hawa mashekh wote wawili mimi nawafahamu sana. na tena nawakubali sana,lakin shaytwani kaingia kati apo.
@@saidsalum523 Wa’alaykum salaam warahmatullah,akupende yule ambae umenipenda kwa ajili yake akhy,Wallah kuna unawahi kujiuliza hawa wa2 wakikutana wanaweza hata kusalimiana kweli? Mtihani lakini Allah ataleta kheri ipo siku watafanya kazi pa1
Siku1 Allah atajaalia kheri na mtafanya kazi pa1 kwa kuondoa tofauti zenu kwa hoja za kielimu tunawaomba hebu tumieni mda basi kaeni mezani kielimu mfanye kazi pa1.Yawezekana mmojawapo anaijua hakki lakini hataki kuchutama badala yake anazungumza2 ili asionekane kashindwa lakini kma kweli kuna mmoja ana makosa amuogope Allah kwa kukubali makosa kazi iendelee.
Inshaa Allaah nita coment kesho, ninacho kiona, ila leo naonja tu. Kiukweli khasa tusifichane ndugu zetu masalafy wamepoteza dira mazima yani, na matokeo yake sasa wamekua kama wazushi wa maulidi, wanalazimisha hoja isiokua hoja😂😂😂😂😂😂. Muhammad Bachu huyuhuyu munae mtukana masufi na masalafy ndie anae wakosesha usingizi, na baada ya kukosa usingizi kwa kutafuta angalau sehemu ya kuegemea, ukija kwa lengo la kutoa majibu, ndio unakuja kujianika zaidi. Naskitika sana ndugu zangu masalafy munavyo teswa na Shekh Muhammad Bachu. Kaeni mutafakari, lkn haya mambo masalafi nyote hakuna alie na uwezo wa kupambana nayo, na ikawa kaja na mambo yenye kueleweka, bali munajidhalilisha tu. Makala ya Abul-abbaas imetolewa majibu yenye kukinaisha, lkn majibu yenu masalafy kwa Shekh Muhammad Bachu, hayajuilikani kichwa wala miguu. Poleni ndugu zangu kama mmechagua kushikilia makosa yenu na kubaki nayo
Leo nimezidi kukupenda kwa ajili ya Allah sijawah koment ila Allah akuhifadh yaan kitendo cha kuweka wazi hii stofaham ya kutenga watu na kuhimiza umoja na kujua wepi w kutengwa n wepi wakua nao ! Allah akuhifadh uunganishe huu uislam kama hv
Kiama kipo karibu uislam unapingwa vita duniani baada ya kupambana na makfiri wanaotupiga vita mnatupiana lawama Allah atuongoze inshaAllah acheni tofaut wapalestina wanauwawa tu kule na mayahudi ayo ndo mambo ya kuongelea saiv sio kuitana vibaraka sote ni vibaraka wa mungu
Sheikh wetu Kassim mafuta(Allah amuhifadh) akae chini na kuitathmini upya daawa yake na kuona jinsi ilivyoleta tatizo kubwa sana kwa wanafunzi wa elimu ktk ukanda huu kwa kweli ni tatizo kubwa sana! Allah atuongoze na atuunganishe wote watu wa sunna. Weka wazi al akhy Bachu pengine wataelewa japo baadhi
C rahisi binadaam hua anapenda fahari n pengine io kukamdmza nd inampa kula ataanza wapi kuacha? Ila nmesema t sina maan hio kwake Allah atupe sote hidaya
Allah akupethabati nagheera ktk kuumizakichwa kwa ajili yakuhurumia waislam,dah nahisihasa mwalim wangu jamaa ukweli wanaujua lakini huangalia kazungumza nani.
Niwape Cri Huyo Alie Jibu Hayo majibu ni mwanafunzi wa Majadida Na Hayo Maneno Hakuandika yeye Hayo Yameandikwa Na Bunge Zima La majadida Lengo lao Kubwa Ulikua ushindwe Kujibu Kisha waseme... Lakini Hapo wanikapata Chamoto Na Sahi wanajijua kua Niwabovu Kufahamu Ibara Za ulamaaa Shukran
@@Abuunuwayra ulishuhudia wakiandika ama waongea kwa hawaa zako tu ,,,? Ikiwa hukushuhudia wakiandka bali wajisemea wewe utakuwa umzushi na una alama za uhizbiy,,,
@@nahlaaasidee1848naww pia ipoh siku utasimamishwa mbele ya ALLAH na ukaulizwa .kwanini ulikua na ishabiki .?? Wakuushabikia. Mlengo wakitia watu wasunna kwenye. Upotevu na kinyume cha upotevu ni motoring. Intakinllah ya Akhy ..ooo
Mimi ni shia pamoja nakuwa bachu anatuita makafiri lkn kwa kweli nimeanza kuwa na matumaini na mohamed bachu. Kilasiku anazidi kuimprove katika busara na uwelewa wake.yani ameanza kuwa na misimamo ya wastani tofauti na kassim mafuta kila siku anzidi katika ujadida na kufarakanisha watu.
Na kama mnataka kutupiana lawama bc kutaneni uso kwa macho mutupiane izo lawama sio uku kwenye mitandao mnatutia aibu waislam sote acheni ayo mambo tunawategemea
MAWAHABI MTIHANI MBONA HIVYO VITABU VINAWAZUNGUMZA NYINYI MAWAHABI WA KIJADIDE NA HIZBIA KILA UNACHOKISEMA NDIO MNACHOKIFANYA NYIE MAWAHABI MNAOJINASIBISHA NA USALAFI
Uhzibi wa abuu Haatim na Ame ni kwasababu ya kuendelea kung’ang’anq na yahya Hajuriy hata baada ya kutahadharishwa na kubiidiishwa na wanaachuoni…sasa sheykh Qasim mafuta yeye anapata wapi uhizibiya? Sheykh hawezi kukujibu BACHU kwasababu unamengi hujui
Assalamualaikum... Nawausia Ndugu Zangu Katika Imaan, Hii Mijadala (Raddi) ya Kielimu Usiifuatilie kama hauna Muangaza na Ufahamu wa Misingi Juu ya Da'waa hii na Kwa Wale wenye kuielewa Misingi ya Da'waa basi Uache Ushabiki Wako Kando, Kwani Kuna Shubha Nyingi Sana Ndani yake.
Nyama za wanazuoni ni zenye sumu ewe Ibnu bachu, Ipo siku utakuja kuanguka kwa kuzila nyama za wanazuoni. Watizame qaumu zilopita baada y kuwasema vibaya wanazuoni ambao ummah uliushuhudilia ilmu yao, Hivyo chunga na kuwasema vibaya wanazuoni kama kina sheikh rabie n.k...ukiendelea na mwenendo wako huo huo wa kula nyama za wanazuoni yatakufika yale yalowafika huko nyuma walokuwa na mwenendo kama wako
Bachu wewekweli Kama unamuogopa Allah kwanini umtajesheikhe abulfadhwil na Kati Hana mpango wa kujibishana na wewe? Wewe siyo mkweli unauthibitisho gani sheekh anawatuma? Muogope allah
Salafiyu wa Tz ( Jadiida) hawatatanuka kielimu kwa sababu moja tu • Wao wamefungwa kielimu na Qassim mafuta , yaani Qassim mafuta yy hakosei kwa hiyo kila mtu kabla hajasems kitu n kwanza lazma apitishwe na Qasim mafuta , huu ndio utumwa wa kiielimu•
Skuwai sikilizag hiz video leo ndo nimeamin kuwa uyu bwana hafamu vitabu vya wanawachuon anaelewa kwa akil zake tu pasina kufuata kile ambach wanawachuon walichokimaanisha
Ujinga wa mabaraamika ni kutokuangalia masalafi wamesimama kwenye misingi gani ya kumbidiisha Qasim Mafuta. Hawa mabaraamika ni mtihani sana Allaah awaongoe😂😂😂
Assalam aleikum wa rahmatuLLAHI wa barakatuh Nauliza ivi je kweli sheikh bachu ulimtuhum sheikh rabee ? Je barahiyan aliwatuhumu ma ulamaa wakubwa kama rabii al albaan na wenginewo kuwa wameleta usalafia jadida!? Je wewe bachu walijua hilo?
Hawa hawana lolote hizb ila tu viswahili vingi kuchanganya maawam tu ujuaji ulimpelekea yy kufedheheshwa na masufi huko Mombasa unakaa mjadala na yeye cie mwanachuoni tafuta ilmu kwanza
@@ABUUJAAFAR92 masheikh wanakosea na wanapatia lkn kusema kuwa huyu sheikh hafai kusikizwa kisa sheikh mwingine kasema au hufai kuzika muislamu mwenzako kisa sio salafy huu ni ujinga.
@@ABUUJAAFAR92 masheikh wawili wamtofautiana ktk mambo tofauti tangu enzi za imam malik ra,ziwe za msingi au sio lkn ndo ijtihad zao,hata ma imamu walitofautiana lkn hukuwahi sikia imam mwingine au wanafunzi wao wakikosa kumzika au kumsema vibaya sheikh huyo bali wakimsifia kwa wema.
Halafu jiulize swali hili -- kwanini wajibu swali kwa makala?? Hiii kwa mtu msomi utagundua kuwa huyu aliyemtumua Ibnu Bachu kwa Makala badala ya kutoa video au voice? utaona kuwa wanaogopa Kukosea tutawajua uwezo wao wa kusoma ibara za kiarabu hawawez hawa! Na ukiangalia Makala hiii , utagundua kuwa amekopy na kupaste , maaana yake wanaangalia mitandaon wala hawasomi vitab mwanzo mwshoo, sijui hawaelewi wakisoma vitabu!!! matokeo yao ndio kutuletea makala imeandikws nyuma mbele mbele nyuma, Lakn Ibnu Bachu n mwalimu, anafundsha anarekebsha, anaelimisha anaevaluate , ukimsikiliza unagundua kuwa hapa elim inetuliaa,. Tuache ushabiki binfsi:.
Dah unajua hapa sio watu wanatetea dini hapana hapa nimapungufu ya shekhe hyu na yule ndio maana natija inaondoka kwasasa mambo nisawa tu hakuna sufi wala answar wala sarafy wote wanashindwa kuvumiliana kwa mapungufu ya baadhi yao
Nitasikiliza mawaiza mengine unauotoa ilasihaya unayowakashifu wenzio malamajadida mala vibaraka basi Allah atakulipa kwahayoyote. Allah awaongoze woote pamoja peponi. Inshaallah
@@maulidimuhani Namipia napate elemu sipokiuchawa ila nafata ya maana yakipuuzi kwaajiliya sifa sisikilizi. Allhamdulillah. Kwayeyoteyule. Nipokwaajiliya elimu iliinisaidie sipo kiuchawa kwani hautonisaidia kitumbele ya Allah
naweye jadida vipi tena mbona kama umepoteza dila inaonekana kwa husda ulionayo ungelikuwa mchawi ungeltulogea sheikhe wetu nahisi niutoto tyu ndio unao kusumbua lakini ukikuwa uta acha kwa sasa utoto wakusumbua sana ebu kakojoe ukalale
Hawa masalafiya jadidah wamekoseya sana Kuwatowa masheikh wa sunaa kwenye sunaa Kama Doctor Islam sio mtu wa bidah hizbi na sheikh salimu barahiyani wanamzulumu kumuita ni hizbi Masalafiya jadidah ni mahawariji walikuja kubomowa swafu za watu wa sunaa
Ibn baaz Aliulizwa kutumia Sub-ha kwa ajili ya kuleta dhikr ni bidaa akasema si bidaa limethubutu zama za mtume na mtume Alilikubali vilevole Qaul ya Ibn Tamiyyah. utheimeen na wengineo
BACHO UNAUMWA SANA KWENYE UFAHAMU WAKO NA WEWE NI MTU WA FITNA,HAKUNA SALAFI YEYOTE ANAESEMA MWENYE BIDAA YA KUSOMA DUA YA PAMOJA AU TASBIH ASISEMESHWE,NANI KAFUNDISHA HAYO KATIKA HAO UNAOWAITA MAJADIDA? USIEGEMEZE MANENO SAHIHI KWA WATU WASIO SAHIHI.
Sheikh Mohammed Lakini Al Akh Hassan Waziri Ashakujibu vizuri sana Hio Habari Unayo wewe ? Yaani ashamaliza hoja zenu zote Hujakuja na jipya warudia rudia kazi ishakwisha
Yule hata haeleweki anaongea Nini ivi wewe umelewa huyu bachu anazumgumzia nn?? Sasa km hujamuelewa utaelewa Hawa wengine ishu hp hata madai wanaohusia watu washikamane na Sunna waitwa wazushi hoja niulete dalili siyo kejel
Infact umeongea ukweli kabisa, Bachu haitaji kujibiwa He is becoming useless sababu analeta vurugu instead ya kuilimisha kama kweli ana elimu for community benefit.
😂😂 tumesha zifahamu hizo mbinu zenu, 😂 Ni unafiki TU, ukweli ni kuwa hakuna jadi yeyote mwenye uwezo WA kuijibu UFAFANUZI MZURI na fasaha alio utoa shekh BACHU, ila izo ni mbinu zenu munazo zitumia Kwa Kila HOJA mutakayo shindwa kuijibu Huwa munasema hivyo hivyo, Wala sio hii ni mara ya kwanza😂😂😂
😂😂 tumesha zifahamu hizo mbinu zenu, 😂 Ni unafiki TU, ukweli ni kuwa hakuna jadida yeyote mwenye uwezo WA kuijibu UFAFANUZI MZURI na fasaha alio utoa shekh BACHU, ila izo ni mbinu zenu munazo zitumia Kwa Kila HOJA mutakayo shindwa kuijibu Huwa munasema hivyo hivyo, Wala sio hii ni mara ya kwanza😂😂😂
Aha heee abakweli huyunimropokaji na maneno haya nakumbuka alishawahi kusema kuwa yy NI mropokaji jee Othman maaliim kinamziwanda na Yule DJ side jee NI watu WA bidaa kwa saikolojia yako
Huyu Bachu Hamumuwez kielim hata muwe 7 yy n ni jesh la mtu mmja tu! mpka Qassim aingilie kati na yy atafundishwa. Elimu ni NURU kutoka kwa Allah(SW) ibnu Bachu ni NURU ya elimu ukubali ukatae hali iko hivyoo!!
Kassim Mafuta ee Kassim Mafuta ee unanini kwani mbona Na akina Mujahid wametajwa lkn wee umeshika Kassim Mafuta ee Kassim Mafuta ee unanini wee lkn . ? Hem zaa jiwe.
Yan inachekesha munavyo jipangia pangia sheria za dini na kukufurishana Eti vibidaa vidogo vidogo havina shida sana kwa vile mfanyaji anajinasibisha na salafi Haya nayo muna itaqid na mafundisho
hhhh huy anaongea kwa matashi yke han msingi anaoufuata ndio maan naona maneno ya ibn taymiyah pale aliposema وعلیه ان یتناقض ویبقی علی الجهل المرکب او البسیط sasa huyu ndo maneno yanamgonga asa kichwni piy hizo dalil anazotoa znamgonga mwenyewe naona...hhhhh labda uwe kichaa kama yeyee..
weye mbona mgumu kuelewa jina unalo andika weye c sahihi sahihi na daawatu salafiya nawala c sawa salafiya andika hivi daawatu salafiya usiandike sawa salafiya kumbe wewe mwenyewe ni mtupu
Mimi nilikuwa nasikia kwa walimu zetu kuwa wewe bachu. Hujui kima cha maarifa uliuonayo na wewe unayapalamia mambo usiyoyajua' Leo nmepata yaqin zaid kuwa wewe n mjinga halafu hujui kama wewe n mtu mjinga' Wallahi wewe hujui manen ya wanachuoni na hujui kina chako cha maarfa' Bali unajua kuyasoma tu'
Kama wewe unaelimu ingia kwa mtandao utuelishe maana unatoa matusi pasipo na haki .kama huna lakusema usitus mtu ambae haja kutusi haifai ..tunaelekea wap sasa
HAMNA KITU HAPA WALLAH SASA,ANAPATA KICHWA2 ANAPO SIFIWA NA WAJINGA WENZIE, KINACHO ANGALIWA KTK KUBIDAISHWA MTU NI HOJA SIO MANENO2 HAO HAJAAWIRA HAWANA HOJA ZA KUMBIDAISHA SHEKH ABUL FADHIL, BALI WAO WANALIPIZA KWA KUBIDAISHA SHEKH WAO MKUU WA YAMAN.
Muhammad bachu wewe naona ndio mjinga tena jahilu murakab maana unjifanya unafahamu kumbe maskini huna unachofahamu masalaf wanjuwa kutofautisha kati ya mtu wa bidaa mwenye kulingani kwenye bidaa na mtu wa bidaa ambae halinganii sasa vipi mtu ambae analeta kunut umfananishe na abuu muawiyya ambae ametumia uhai wake kuntetea Muhammad imam ambae bidaa yake imzihiri kwa kuwafanya mashia dini yao ni sawa na dini ya watu wasunna na inajuulikana mashia dini yao ni kuwatukana maswahaba jee kumtetea mtu kama huyu ambae ukakubali kuwa ni adui wa watu wa suuna kwasababu yake ni bidaa ndogo ya jahili vipi umfananishe na mtu analeta kunut huyu analingania kwenye bidaa yake anaitetea anpenda na kuchukia kwsababu ya kuntetea shekh wake afu unatunukia ety sikila mtu wa bidaa anahamwa afu mfano untupa wa kunut wakati kadhia ya mtu mzushi analingania na kufanya uwdui kwsababu ya bidaa yake
Umeambiwa utaje bidaa za Dr Islam unaanza kukejeli ndo mana hamuelewi ibara za wanachuoni kwahyo we mafuta ni nabii wako??? Unamuamin hakosei km anapewa wahyi tulieni doz ziingie
Mnatuma wajinga hawajui kusimamisha hoja ndo tatizo,, hoja hapa nikwamba kuchupa mipaka ktk kubidiisha siyo kukataa kuwataja wazushi elewa kwanza wewe ndo upinge alaf bidaa zimegawanyika km walivyoelezea wanachuoni wa ahlul Sunna waljamaa sasa we na ujinga wako kutokujua daraja za bidaa basi Kila mtu ni mzushi wa kuchukiwa na kutengwa sasa huyo Dr Islam ni ipi bidaa aliyozusha na akasema hii ni dini??
@@WakaliFashionTz na wewe tunakujibu ivo ivo hapa tunjadili abuu Muawiya kaingiaje kassim mafuta kama siyo chuki na wewe Muhammad bacho ni nabii wako hakosei au Acha ujinga na uhizbiyya nimekwambia buu Muawiya bidaa yake ni kuwatetea watu wabidaa na kumaliza uhai wake wote kwenye hilo tena akafanya alwalaa Wal baraa Kwa ndugu zake kwsababu ya sheikh wake wewe jibu kwenye hili Acha kutaja maskhe ambao wanajitahad kweny dini Allah awahifadh wewe ukiulizwa hata nguzo za swala pengine usizijuwe afu utaelewa maneno ya mwana chuoni shekh wenu akiwaita watu wajinga hajakejeli ila akitwa yeye mjinga hizbi siyo salaf vibaraka wake mnatokwa na mabovu Acha uzuzu kaeni msomi ndio ntajuwa kima cha ujinga WA sheikh wenu
😂🤣🤣🤣wewe waongea porojo,wewe pia ni mushrik….huna jambo lolote la maana unaongea…hizo sunnah zenu za bukhari si Islam na Mungu hakutuambrisha tufate “hearsay”…😂🤣🤣🤣 hearsay ni tetesi,na nyie mamushrik kama wewe unazidi kueneza urongo ufisadi kwenye jamii zetu…..tubia kwa Mungu na wacha kudanganya watu
Halafu jiulize swali hili kwanini wajibu swali kwa makala?? Hiii kwa mtu msomi utagundua kuwa huyu aliyemtumua Ibnu Bachu kwa Makala badala ya kutoa video au voice? utaona kuwa wanaogopa Kukosea tutawajua uwezo wao wa kusoma ibara za kiarabu hawawez hawa! Na ukiangalia Makala hiii, utagundua kuwa amekopy na kupaste, maaana yake wanaangalia mitandaon wala hawasomi vitab mwanzo mwshoo, sijui hawaelewi wakisoma vitabu!!! matokeo yao ndio kutuletea makala imeandikws nyuma mbele mbele nyuma, Lakn Ibnu Bachu n mwalimu, anafundsha anarekebsha, anaelimisha anaevaluate , ukimsikiliza unagundua kuwa hapa elim inetuliaa,. Tuache ushabiki binfsi