I wish hii ngoma ingekua na video❤ Old is Gold. Enzi zetu nyimbo ukisikiza tu lazima ziishi sio sasa watu wanaimba matusi na ujinga tu. Big up Makamua pamoja na benz
Nadhani 2008 songi hili nilikuwa nalisikiliza on repeat. Na kaflash kangu flani kwenye subwoofer la masela hostel. Dah! Makafamua, Wakali Kwanza Kwanza.
Kama saa dakika na sekunde vinge rudi nyuma basi ningekupa moyo wangu ungeona jinsi gani unavyouchama!!!! Duuh unyama ni mwingi sana! Kama umemuelewa Makamua gonga like yako tujuane!!!😂😂😂😂