Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
Jamaa yuko Sawa Sana..! NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
@@Josephkp629 tumia akili wewe kwan arusha aliitwa? au ye alijiendea tu ye mwenyewe kwa madai alienda kumuona mfiwa,sema tu ye chid kikubwa pale alilenga hela na alijua atapewa ht milion kazaa kitu ambacho haijawa hivyo na kupatwa na hasira maana ile kauli yake siyo kbs na kwa mtu mwenye akil nying anajua tu
Sasa aacha unga au pombe??inshort arudi kamilikamili madawa yapo daily..piga pesa jenga maisha yako vitegauchumi..then fantastic hizo starring zako benzino
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact
Hujamuelew jamaa amekanusha kwa akili sana sababu lilikuwa swali la mtego kuwa alienda arusha kufuata pesa kwahuyo na bii ndio maana kajibu mimi nilizishka nying na hakujua kama makanisa yanato pesa
@@sadathboutique6253wewe akili poa but your nothing...chidi ni chizi lakina uku kenya tuna sing along goma zake...kaa na mamako chorea mastar uko ligi ya mafans bro...uko chini shoste