Тёмный

MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID 

DARSA TV
Подписаться 106 тыс.
Просмотров 148 тыс.
50% 1

MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID
FULL VIDEO YA MAKARAMA YALIYOMTOKEZEA SHEIKH WALID TANZANIA USISAHAU KUTU FOLLOW KWENYE FACEBOOK PAGE YETU NA INSTAGRAM NA KU SUBSCRIBE KWENYE RU-vid CHANNEL YETU KWA VIDEO NYINGI ZAIDI THANKS
SUBSCRIBE
COMMENT
LIKE
SHARE
THANKS

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 303   
@ashiimohmedi6051
@ashiimohmedi6051 Год назад
Shekh walidy wallah nakupnda,kwasjil ya Alla wallah wabillah mwenyezimungu akupe umri mrfu tena wamanufaa"" na akufe mwisho mwena"" nmeandka sms hii kwa mapenz makubwa sana"" allah akuongezee elinu yko mpka ukinahi"" mm bado ni kijana mdgo lakin siku alla atanijaalia nitaoa akisha akanijaalia watto wema lazma nikuletee watto wangu mja wapo umleee"" Allah akuweke mpka hpo nitakapojaaliwa kuoa"" na kma amekuchukua basi akupe daftar lako la amar kwa mkono wa kulia"" napia akuingize peponi bila ya hesabu🤲🤲🤲🤲
@halimaauthman9324
@halimaauthman9324 2 года назад
Shukran sana shekhe Walid Allah akuhifadhi na mabaya ya duniani na Akhera
@ruubajuni1641
@ruubajuni1641 4 года назад
Unajua ndugu zangu wakat mwingine inategemea pia na umekulia makuzi gani au umezaliwa wapi,na ndiyo maana wengi wanakuwa hawaamini,lakin karama zipo sisi watu wa bagamoyo tulikuwa nao hao watu wengi sana,kwa waliokiwa nje ya bagamoyo walikuwa wanasema bagamoyo kuna wachawi wengi sana,lakin si wachawi illa palikuwa na watu wengi wenye karama,si wanaume si wanawake,ni mkweli mtu akikunyooshea kidole unaathirika kama hautozikwa,so nakubakiana na Maalim Walid maana hata Mimi nimehadithiwa na pia nimebahatika kuona baadhi ya vitu kwa macho yangu
@abilugome7461
@abilugome7461 3 года назад
Uchawi mtupu hakuna lolote na ivyo vitabu vya Mambo ayo vipo watu hawavitumii coz ni vya kishilikina
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
@ahlutwariqaalqaadiriya3538 3 года назад
Kabisa wanakataaa karma je miujiza ya enzi hizo nawao sindo wange kuwa katika makundi ya kushirikina kuziita uchawi😭😭😭😭😭tusiwe wajinga hivyo karama zipo zipo zipo
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
@ahlutwariqaalqaadiriya3538 3 года назад
@@abilugome7461 Weww lugome usiwe kama mushrikiina akhii wakina abuu jahli wao miujiza waliipinga kwa lakabu kama hizo kuita uchawi doh😳😳😳😳Chunga imani yako
@sammarley1413
@sammarley1413 3 года назад
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 TATIZO LAO HAO NIKIBRI YANI KITU ASICOKIJUA YY BASI HICO HAKIPO. KABAKWAMBA YY NDIO MWENYE KUIDHINISHA KUWEPO AO KUTOWEPO KARAMA.
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
@ahlutwariqaalqaadiriya3538 3 года назад
@@sammarley1413 sasa huyu leo kakutana na mimi aniongopei chochote mpk hapa ajatoa hadith wala aya mm namchapa tu kwaajili ya allah 😆😆😆
@daudikhamis1595
@daudikhamis1595 4 года назад
Allah akujalie katika kudumu kudarasisha Darsa hili la Quran
@issabinmaryam7450
@issabinmaryam7450 4 года назад
Angepanda mnazi angefika America...
@wamanja5572
@wamanja5572 3 года назад
Allah Akuzidishie Elimu imamu na sisi angalau angalau tupate kitu In shaa Allah.
@fatumahamisi7064
@fatumahamisi7064 2 года назад
Allah akutangulia sh. Wetu akuhifadhi na madhila wa masheytwani
@mtimbaabdallah681
@mtimbaabdallah681 Год назад
subhaana llah yaani masufi wanatabu sana yaani makosa hayo ya kiaqida yote chafu na mwamsifia..innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiun
@fatumashaibu1461
@fatumashaibu1461 4 года назад
Subhanallah, Allahu Akbar baada ya kuomba uwe na umri wenye heri we unataka umri mwingi. Allah akujalie umri mrefu wenye heri nawe. Aamin
@janataninaim9193
@janataninaim9193 2 года назад
Amin
@mussaissa6796
@mussaissa6796 Год назад
Mungu akubariki sana al akh Yaani umeongea maneno yale tulikuwa tukiyasikia zamani kwa watu aina hiyo
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 3 года назад
ALL IN ALL SHEIKH IS SOO CONFIDENCE WHAT IS TALKING ABOUT IT LIKE IT mashallah and I enjoy my self
@columbusdoo593
@columbusdoo593 3 года назад
Assalamu Alaykum. Tafadhali ni postiye video zengine. Hizi nisha zi repeat sana. Na khutba za ijumaa pia usisahai kuni postiya
@ashagrace3333
@ashagrace3333 3 года назад
Assalam aleykum warmtlh wabrkth sheikhe,mm miko kenya nakufatilia sana Allah akulinde sana.
@afric01
@afric01 Год назад
Aslm alkm ww... Masha Allah!!!! Uko na miaka 55 kama hungeongea hatungejua. Kweli ukiwa mcha Mungu huzeeki haraka. Shukran sana Kwa darsa. Allah akuzidishie umri. Jazakallah kheir 🙏😊😊😊
@misbahukhalifa3216
@misbahukhalifa3216 3 года назад
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ الحبيب وليد
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Месяц назад
Rabii akuzidishie na akuongoze
@selemankishema5780
@selemankishema5780 4 года назад
Toba yarabbbi Allah tizama waja wako wanayoyafanya na dini yako vinavovurugwa ya Allah.
@asgarsidi8021
@asgarsidi8021 3 года назад
MashaAllah. Ustad Walid wewe ni Shariff SubhanAllah. Tu kumbuke kwa dua.
@swabrianwar1020
@swabrianwar1020 3 года назад
ndugi yangu asgar sidi, shariffu n ambae nasaba yake ni mpaka mtume sallla lahu aleihi wasalam
@SaidAbdallah-sm1ft
@SaidAbdallah-sm1ft 3 месяца назад
Kwaviongozi wa namna hii waislam tuna mtihani wallahi
@DarsaTV.
@DarsaTV. 3 месяца назад
tunakupa wewe uongozi
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 18 дней назад
Mtihani wenyewe mzito. Masufi waongo sana
@abuuhafsah9630
@abuuhafsah9630 2 года назад
Wallah sheikh nimekuelewa sana...
@ashrafukirya1947
@ashrafukirya1947 4 года назад
Allah akulipe inshallah
@mwanakheirkihambwe6824
@mwanakheirkihambwe6824 4 года назад
Amina shekhe wangu mungu akulipe umri refu wakutumikia dini yetu
@abdilllahimohammed219
@abdilllahimohammed219 4 года назад
Nimeshuhudia Mimi na mke wangu sana mungu atuongoze na shukran kwa mawaidha
@hosnabintmariam3287
@hosnabintmariam3287 Год назад
Allahumma Aamiyn. Alumri twawiyl ziadah sheikh
@mbarouksalim1568
@mbarouksalim1568 Год назад
Mashaa Allah dini ya Allah hi dini ya Allah haina pengo Tunakuomba YA RABBI ss na vizazi vyetu na vyawenzetu tujitahidi kuelekea ili utuongoze kuwa ktk watu wema ili uweze kupata radhi zako hakika tukipata zako radhi tutakuwa ktk watu tulio faulu tasamehe yetu madhambi hakika ww unasamehe madhambi Alhamdulilah Alahuma swali ala saydina muhamadi S.W.S. Amiin
@janataninaim9193
@janataninaim9193 2 года назад
Mashaallah swadaktah sheikh subhanaallah
@missrukia9661
@missrukia9661 4 года назад
Mashallha shekhe
@abamohamed7092
@abamohamed7092 2 года назад
Sheikh walid hakika maneno yko ni kweli kabisa ,Mimi Kuna jambo Moja lilinitokea ,nikayaona makarama ya as sayyid abdul qadir bin abdul Rahman Al juneid
@saumtolbazi8616
@saumtolbazi8616 2 года назад
Masha Allah
@neemainabikorwa5570
@neemainabikorwa5570 3 года назад
امين يا رب العالمين
@tumajunior6080
@tumajunior6080 3 года назад
Mashaallah
@suleimanally2065
@suleimanally2065 4 года назад
Watu wengi tunapenda muhemko unafikia kumwita sheikh walid muongo huku ni kukosa adabu kwa masheikh zetu tuwaheshim hawa ndio walimu wetu na watoto wetu
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 3 года назад
Uongo ni uongo tu. Haijalishi shkh wala mtumwa.
@hassanomar7340
@hassanomar7340 3 года назад
@@abubakarmuhammadsaid3244 kweli kabisa bro....kw nini lkn watu tunatekwa nyara kiasi hiki. Dini yetu ni ya dalili c kwa matamanio au rai ya mtu.
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 3 года назад
@@abubakarmuhammadsaid3244 uongo ni uongo lakin kumuita Sheikh muongo huko ni kukosa heshima na hayo anayohadithia ni ya kweli kabisa
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 3 года назад
@@aliabdalla9297 Kila anaesema uongo ni muongo. Na hayo anayoyasema mimi nina ushahidi kuwa ni uongo. Je, wewe unaemtetea, unao ushahidi wa ukweli wa hadithi hiyo!?
@Fredrickmarinya
@Fredrickmarinya 2 года назад
@@abubakarmuhammadsaid3244 Kwani uongo upi umesemwa hapo tuelimishe tukuelewe
@omaralwi3946
@omaralwi3946 2 года назад
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وصحبه وسلم
@abdulhamidisiraja4930
@abdulhamidisiraja4930 Год назад
Mashaaaallah
@doddyhassan862
@doddyhassan862 3 года назад
Shukran sheikh Waleed
@meandme3437
@meandme3437 Год назад
Subhanallah bibi maryam mamake nabii issa alikua akiteremshiwa chakula kutoka peponi direct mpaka nabii zakaria akamuuliza ni vipi? TUMCHENI ALLAH SANA😢
@bilalihussein-dg8dp
@bilalihussein-dg8dp Год назад
mashallah tunastafidi kwa elimu hii, Allah akuweke sheikh
@ernestmagoda3824
@ernestmagoda3824 Год назад
Mimi NI mkristo hakika Huyu NI mtu wa watu.
@rahmaabuubakar1751
@rahmaabuubakar1751 Год назад
HAWA MASHARIF WALIKUWEPO WALLAH NA NNAHISI MMOJA MMOJA WAPO. ALHAMDULILLAH
@uthmanihimbawe5244
@uthmanihimbawe5244 2 года назад
Allah Akbar 😭
@AhmedSaid-xz3kj
@AhmedSaid-xz3kj 3 года назад
Jazakallah kheir
@nilihamhamisi1927
@nilihamhamisi1927 Год назад
Asslam alykum warahamatuallahi wabarakatu sheikh walid naomba niwe mke Mdogo kwa baraka za Allah ndani ya Rajabu hii ya rabby takbar dua ya Yangu
@khalidmuhsin8430
@khalidmuhsin8430 Год назад
Ucjali q
@Pilimussa-g5k
@Pilimussa-g5k 6 месяцев назад
Allahu akbar Allah akupe umri mlefu sheikh
@abeliever6823
@abeliever6823 4 месяца назад
أكرمك الله يا شيخنا الفاضل
@muhrajovic752
@muhrajovic752 4 года назад
innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun!!!!!!!!!
@athumanikaoneka7413
@athumanikaoneka7413 3 года назад
Nicee
@ashagrace3333
@ashagrace3333 3 года назад
Subuhana allah.
@omarijuma6692
@omarijuma6692 Год назад
Allah akupe kila lakheri sheikh letu tupate kufaidika na wewe pia akupe umri
@feiz3180
@feiz3180 4 года назад
Sadiki ukipenda.
@adamjutto5849
@adamjutto5849 4 года назад
Raha iliyooje kwa wale wanazuoni walioleta fani ya mustwalahul hadiith,maana isingekuwepo ile mbona uongo ungekithiri na mtume angezushiwa kila aina ya matukio,lkn alhamdulillah watu wameijua ilmu rrijaal na wakatunza maneno ya mtume kwa ufahamu wa wema waliotangulia,asa hvyo visa anavyovitoa sheikh walid ni uongo mtupu,ataka kujifanya yuwaona ghaibu sasa
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
@ahlutwariqaalqaadiriya3538 3 года назад
Wewe adamu juto unaandika usiyo na uhakika nayo kutoka na mashekh zenu wakiwahabi wakina bin tayma waharibifu wa uislamu bin Baaz wote ni waharibifu wa uislamu allah atulinde na shari zao
@adamjutto5849
@adamjutto5849 3 года назад
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kitendo cha kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi tiari nishajua kua kiwango chako cha elimu ni kidogo saana, sasa kasome kisha ndo uanze kutukana hao unaowaita mawahabi kama utaweza,na hautoweza moka qiyaamah إن الرسول قد جعل الجهل داء،و شفاء العي هو العلم Hvo soma utoe huo ujinga wa kusema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
@ahlutwariqaalqaadiriya3538 3 года назад
@@adamjutto5849 mpaka naandika hivi nimesoma mengi na nimetosheka ibnu taymia si mm nilietamka maneno hayo ni sheikh ibin batuta istoshe unataka mjadala???😁😁😁maimamu ni shafi.hambali.maliki na abuu hanifa nimemaliza..
@shabanijuma4162
@shabanijuma4162 3 года назад
اللإسناد من الدين فلولا اللإسناد لقال من شاء ما شاء
@adamjutto5849
@adamjutto5849 3 года назад
@@ahlutwariqaalqaadiriya3538 kadhaaaab,kaaah ibnu batuutah yupi huyo aliyesema ibnu taymiyyah ni sheikh wa kiwahabi,vile vile mie sitaki mjadala na wewe kwa sbbu huwezii,mi najua wewe ni mtu unaeskia sikiaa tuu masheikh alaf ndo unakuja kusumbua huku kwenye mitandao,kaa chini usome dini haipatwi kwa udaku,inatakiwa usome,uelewe na kuhifadhi mas-alah,hahahhaa eti ibnu batuutah kasema wamjua ibnu batuutah wewee au unaropoka tuu
@barackhaamidu7841
@barackhaamidu7841 2 года назад
maa shaa ALLAH ALLAHU AK'BAR
@doddyhassan862
@doddyhassan862 3 года назад
Yeyote anayeona kwamba sheikh amekosea ni vizuri kumfata kama unaweza vinginevyo utakuwa utovu wa adabu katika ilmi,
@heyumi2340
@heyumi2340 3 года назад
maashaallah maashaallah
@Mbaraka_Mbwambo
@Mbaraka_Mbwambo 3 года назад
Baaaaraka Allah
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 5 месяцев назад
Mashaallah tabarakya Rahman
@fatumahamisi7064
@fatumahamisi7064 2 года назад
Shekh walidi binafsi ninaomba namba zako ili niweze kukutafuta sh. .in sha allah kwaajili ya allah
@abdallahahmed7983
@abdallahahmed7983 2 года назад
mashallwah
@mussakasimu2811
@mussakasimu2811 2 года назад
Huyu jamaa anaongea ukweli mtupu. Maashallha shekh nakupata nikiwa tanga mjini hapa
@chafimcaisse6340
@chafimcaisse6340 Год назад
Shekhe tunakupata vizur sana na tunakupenda kalibu Mozambique
@abdul-waqeljuma8868
@abdul-waqeljuma8868 3 года назад
Sio kwa uislamu huu ndugu moyo bado mzito rekebisha aqida na simamisha dini tuache hadithi!!
@MesalimRashid
@MesalimRashid Год назад
JazzakahAllahkheir.
@jumannesaidi2917
@jumannesaidi2917 4 года назад
Allahu akbar
@mzeemzee7503
@mzeemzee7503 10 месяцев назад
ALFU MABROOK SHEIKH WALEED
@luqmanjumanne4667
@luqmanjumanne4667 Год назад
Shukraan sana maa asha allah
@muryd6999
@muryd6999 4 года назад
Mimi naamini yote aliyozungumza..Karama zipo
@DarsaTV.
@DarsaTV. 4 года назад
Kabisa Kama zilikuwepo zamani na dini ndo hii hii itashindwaje kuepo Sasa
@ahlutwariqaalqaadiriya3538
@ahlutwariqaalqaadiriya3538 3 года назад
Pamoja tupo waache washirikina walipinge
@user-cv8kw8kd4k
@user-cv8kw8kd4k 9 месяцев назад
Haya anayosema shekhe Walid ni kweli kabisa.
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 3 года назад
Shehe wamwlimu wetu Allah amtehem ilkuwa ukiiba ndiz shambn kwake wapeleka kwako hamaki umefka kwake unasem shehe nimeleta Amana😀
@hollyfildspinks2161
@hollyfildspinks2161 2 года назад
Takbiir
@TheSalimMash
@TheSalimMash Год назад
Allahu akbar
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Год назад
Allahu Akbar
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 18 дней назад
Uchawi huo hamna lolote
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 14 дней назад
@@abdallahdataguy maneno ya Mungu Kinga na hifadhi kaka sio uchawi.
@SeifRupatu
@SeifRupatu 6 месяцев назад
Nanyinyi WAZEE wakupinga tuambieni masheikh WENU walikuajee Kama mnaoo Hao Masheikh
@ramadhanimussahramadhani4868
Wengine hawamjui walidi tunaemfahamu tunajua anachokiongea Na Allah atamlinda
@kadoditsa3805
@kadoditsa3805 5 месяцев назад
Sanaaa
@omarmohammed7132
@omarmohammed7132 2 года назад
Mashàallaah
@chapwinto1091
@chapwinto1091 2 года назад
Mashallah
@mename6020
@mename6020 3 года назад
Allah Akbar
@jumamohamedi4495
@jumamohamedi4495 4 года назад
Kamba / sound za waziwazi! Tumche Allaah ! Eti mtu kapanda mpapai! Shekh mche Allaah
@bakarimketo188
@bakarimketo188 4 года назад
Naionea huruma nafsi yako ambayo kumbe hata ibada zako hazina faida nawe...haya hata wewe unayaweza ukiondoa huo ujinga kichwani mwako inshaallah
@abdebasalsalum1309
@abdebasalsalum1309 4 года назад
Kila la kheri shekh
@nassirzamzam9312
@nassirzamzam9312 Год назад
A/a ndugu wa islam tujaribuni kuisoma Tawheed ndio njia pekee kuujua uislam safi.
@cholomsury1548
@cholomsury1548 4 года назад
Hakuna kinachoshindikana kwa idhni ya Allah refers kisa cha nabii suleyman na malkia balkis kuhusu kiti chake
@DarsaTV.
@DarsaTV. 4 года назад
Twayyib
@nassirzamzam9312
@nassirzamzam9312 Год назад
A/a na muomba mwenye ezimungu atuhifadhi na hizi bidaa uzushi,uzushi za mpeleka mtu atembee kwenye giza bila kuogopa mwenyezimgu aropokwa tu iblis ampeleka bila kujali wala kuzingatia hi ni Dini ya mwenye zimungu, naukikosa imani ya dini ni hatari muislam.
@kinanaomar
@kinanaomar 5 месяцев назад
Sheikh walid kumbuka uko msikitini na una apa na jina la Allah (SWT)
@kadoditsa3805
@kadoditsa3805 5 месяцев назад
Wallahi Si mrongo ... Jiulize Kajiamini Vipi ..?? Haya mambo yako...
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 4 года назад
Hivi mm naombaa kulizaa kunaa anaweza kumnyooshea mtu kidole akafaa wakti mtoaji rohoo mungu tu mm sijamuelewaa hapo shekhe bilaa idhini ya mungu hakunaa nafsi inaweza kuondokaa hebu tuweke sawa hapo shekhe sijakufahamu kabisa
@DarsaTV.
@DarsaTV. 4 года назад
Ndugu yangu upo sahihi kabisa ni kweli idhini inatoka kwa mungu katika kila Jambo duniani hatukatai hata wachawi Wana wanga wanawadhuru watu mashetani na majini wanau uwezo mbali mbali akiwemo pamoja na iblisi na hao woote idhini zinatoka kwa mungu Sasa Kama wao wanafanya kwa walii mtu ambaye ni yupo karibu na mungu ishindikanike vipi kufanya makarama na idhini ikiwa inatoka kwa kipenzi chake mungu tatizo watu hubisha husema haya Mambo ni ya zamani ya mawalii wazamani wakati uislamu ndo huu Kama wewe utakua karibu na mungu na unayafanya ayatakayo utakua na uwezo mkubwa kuliko hao wachawi na majini binaadamu sisi mungu katupa uwezo mkubwa maana mpaka Adam kapewa cheo Cha kusujudiwa siyo mchezo shekhe wangu
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 4 года назад
@@DarsaTV. mm nimekuelewaa maana hataa mtume alishawahi kurogwa swali langu ukiwaa walii inamaana mungu anpendezewaa na unayoyafanyaa naunakuwaa karibu na mungu mtu anaekuwaa karibu na mungu uwezo wakuuwa mtu anaupataa wapi wakti yeye ni mtu wa amani mdaa wote na mwenye kutoa roho ni mungu pekeyake sio kiumbe chochote hapaa duniani .kunatofauti kati kupiganaa mpka roho ikatoka ma kumtoa mtu roho hataa majini hawana huwezo huo labdaa wakushambulie ndio mauti yakukute
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Год назад
Allah Akbar!!!
@asiaidi3700
@asiaidi3700 4 года назад
sheikh walidi 55 kama miaka 38 vile
@selemankishema5780
@selemankishema5780 4 года назад
Shetwani anawachezeaga mpaka masheikh msishangae do!!!
@mamussi6872
@mamussi6872 3 года назад
Tuletee ya kwako wewe sasa
@UstadhBilal
@UstadhBilal Год назад
Hhhhhhhhhh
@simmyndamo6539
@simmyndamo6539 4 года назад
Allahu akhubar
@AhmedSaid-xz3kj
@AhmedSaid-xz3kj 3 года назад
Allah ibarek
@aboudsaidaboud7667
@aboudsaidaboud7667 3 года назад
ndevu hana
@saidisalum1514
@saidisalum1514 Год назад
MAJITU YA MAULIDI YOTE NI MACHAWI YANALOGANA HADI MISIKITINI
@ramadhanmatumbatu4228
@ramadhanmatumbatu4228 4 года назад
Duh we kwa uongo ni hatari sana we wapange tuu
@agogotvharoune989
@agogotvharoune989 4 года назад
Mche mungu ndugu yangu unauhakika gani kama amesema urongo? Kuwa na dhana njema kwa ndugu zako waislam khasa viongozi wako wa dini na si kumdhalilisha kumuita mrongo na km kweli wajua mrongo basi mstili
@DarsaTV.
@DarsaTV. 4 года назад
@@agogotvharoune989 twayyib
@Fredrickmarinya
@Fredrickmarinya 4 года назад
Hukumu muachie Mwenyezi Mungu na laiti ungekuwa unamuelewa Alhabib Shekh Walid usingediriki kuongea upuuzi uliouongea, Tafuta Historia yake ya elimu na Mashekh waliomfundisha mpaka anakabidhiwa uimamu Masjid Kichangani utamuelewa. Ila katika uhai wako fahamu kila ulitendalo utaulizwa siku ya hesabu. Tafuta Muda umfahamu Alhabib Shekh Walid ni nani katika Maswala ya dini.
@DarsaTV.
@DarsaTV. 4 года назад
@@Fredrickmarinya dohhh
@Fredrickmarinya
@Fredrickmarinya 4 года назад
@@@DarsaTV.
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 года назад
Ukiona mtu anapinga ujue huo ni wivu maana yeye hajapewa
@ModaxMedia
@ModaxMedia 2 года назад
Mbona sielewi anadomesha nini?
@Millerremmy
@Millerremmy 4 месяца назад
Natokea Kenya napenda visa vyako Sheikh vinatuelekeza vyema
@DarsaTV.
@DarsaTV. 4 месяца назад
Mashaa Allah Karibu
@abuahlaam
@abuahlaam 2 года назад
Shekhe acha kutanganya uvhawi na karama Wewe hizo story zako za mpapsi na kuchora mstari ni wazee walokua wachawi Hakuna kuskiza darsa miskiti mitano waqti mmoja hao walikua wachawi tu
@jamalisagutiy921
@jamalisagutiy921 2 года назад
Laanak llah yaa mufrisss😪
@salimahmed2494
@salimahmed2494 2 года назад
Baba jitaidi kusoma
@abuumudhakkir3688
@abuumudhakkir3688 3 года назад
Mnatumia majini kisha mwajidai makaramaaaa. Hebu acheni uchawi huooo
@hassanomar7340
@hassanomar7340 4 года назад
Uongo live alafu wasema karama. Tumcheni Allah
@mamussi6872
@mamussi6872 3 года назад
Utakapomcha Allah kikweli utayapata hayo makarama hujamcha Allah bado
@hudkhan.2920
@hudkhan.2920 4 года назад
Anasema kweli sheikh visa hivi vipo kabisa
@tausinzwiba4180
@tausinzwiba4180 3 года назад
Huyu sio mkweli anapenda sifa, anajifanya mcha mungu kumbe mganga tu.
@mamussi6872
@mamussi6872 3 года назад
Weweee!!!!! Usimhukumu mtu huyajui yaliyopo baina yake na mola wake. Hivi waislam wa leo tunanini lakini????
@heyumi2340
@heyumi2340 3 года назад
umejuaje kama mganga
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 3 года назад
Huyo jamaa kapewa mambo wala si uongo wakati huo alikuwa anataka akimbie hasa msikitini
@farijala1
@farijala1 4 года назад
Sheikh Walid nakumbuka miaka Kama 10 iliyopita aliwahi SEMA amezaliwa 1968 tena wakati wa khutba , leo anasema ana miaka 55 inamaana kazaliwa 1965. Mbona anabadilika badilika?
@DarsaTV.
@DarsaTV. 4 года назад
sheikh kweye kuzungumza kuna kuteleza alafu 55 na 53 ni mule mule alafu pia tuonyeshe ushahidi wa hayo maneno unayoyasema ili tukuamini
@abdulhamidhaji5056
@abdulhamidhaji5056 4 года назад
Ikusaidie nini ukiahajua miaka ?
@ismailhassan9807
@ismailhassan9807 4 года назад
Hawa mashee niwaongo sana
@farijala1
@farijala1 4 года назад
@@DarsaTV. Ushahidi upi ilhali nakwambia aliwahi kuzungumzia hilo kwenye Khutba
@bintkijangwa4305
@bintkijangwa4305 3 года назад
Mtoe za kwenu hutba watu wajifunze msipende kuponda ya wenzenu wakati hamjui lolote
@omaryabduli7328
@omaryabduli7328 4 года назад
Chaiiiiiii
@issabinmaryam7450
@issabinmaryam7450 4 года назад
Visas visas wengi uongo mnatia chumv ndimu pilipili hii toooo much
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 3 года назад
Una ushahidi
@abuumudhakkir3688
@abuumudhakkir3688 3 года назад
hayo sio makarama bali ni uchawiiiii
@abuibra
@abuibra Год назад
Hayo makarama mnayo nyie tu hatujasikia kwa AS'HABU NABII wala kwa wajukuu wa (NABII MUHAMMAD S.A.W)
@HassanKatongo
@HassanKatongo 2 месяца назад
Kweli siku hizi waislam tunajidharau
@muhammadbilali8209
@muhammadbilali8209 4 года назад
Si amesema passport yake huwa anasafiria angalau mara 20 kwa mwaka ss iweje kusafir wiki mbili iwe kutoroka darsa!
@DarsaTV.
@DarsaTV. 4 года назад
Brother msikikize vizuri huwa anasafiria but ikifika kipindi Cha darasa ambayo no ramadhani huwa yupo darasani
@jamalabdul6113
@jamalabdul6113 4 года назад
Hilo darsa liko ktk mwezi maalum tu (ramadhani).
@Fredrickmarinya
@Fredrickmarinya 4 года назад
Ndugu yangu jifunze kusiiliza na kuelewa kisha uliza usichokielewa utafaidika hapa duniani na kesho ahera. Darasa hilo la tafsiri ya Quran Shekh Walid alikabidhiwa na Mashekh zake na walimuhusia asiache darasisha mpaka mwisho wa uhai wake yeye ni binadamu kuna wakati anakuwa na safari sasa kama ni kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kipindi alicho elezwa asiache fundisha akipanga kusafiri ndo hua yanamtokea hayo anayoyaeleza sasa. Mwenyezi Mungu akipuka uhai ukafika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani jitahidi uhudhurie Masjid Kichangani baada ya swalath Laasiri utafaika sana kwa darasa la kiwango cha juu kabisa linalotolewa pale. Mwenyezi Mungu akuhifadhi.
@amenaafrica7046
@amenaafrica7046 3 года назад
@@Fredrickmarinya shukran na mashaAllh
@sadiqselengu4197
@sadiqselengu4197 3 года назад
@@Fredrickmarinya Watu wengi wanasikiliza kwa mihemko thn waanamini kwa masheikh wanawajua wao waliowachaguwa kuwa ni wa kweli na wenye dini wengine wamewaweka kwenye daraja la si ktkt watu na masheikh wa kweli Ndio haya yanakosekana kwao na yanaonekana ya uongo coz kuna vitu hawajashikamana navyoo
@hijamaulidi7382
@hijamaulidi7382 5 месяцев назад
Mm kila nikijitabiria mambo mabaya na mazuri yanatokea kweli sjui nna Nini yaan kama maono yanakuja
Далее
RAFIKI WA ALLAH NI YUPI ? SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:12:40
Просмотров 14 тыс.
HISTORIA YA SHEIKH WALID NA WALII WA MUNGU
5:57
Просмотров 1 тыс.
MAMBO YALIYOZUSHWA KATIKA MAZISHI SHEKHE NASSORO BACHU
56:06
Kusoma kwa mifano - Uganga - Imani Sheikh walid Al had
46:07
OTHMAN MAALIM.....VISA VYA VITA YA BADRI
3:01:33
Просмотров 131 тыс.