Nafatilia sana hizi ziala za mh makonda ,tatizo lililoko kwa Sasa watumishi wamejisahau Sana kiutendaji ,wanachosubili ni tarehe za mishahara na rushwa tu basi ,hii itatupa wakati mgumu Sana kwenye chaguzi zetu zijazo ,natamani Sana hizi ziala ziwe zinabeba vichwa vya watumishi wasio wajibika
Makonda unahekima kubwa kama nabii Suleiman mimi Essau wa Makambako nakuona ukiwa mzima utakuja kua Rais mwenyewe maamuzi mazuri Mungu akushindie kila hitaji lako
Mhe mkonda hiyo tabia ya viongozi wilaya mkoa ipo sehemu nyingi mkoa manyara mwaka Jana walikuwa wanawazuia mbaazi wauzie manyara hauruhisiwi kupeleka Arusha Kilimanjaro getini waziia wanapewa rushwa na wanunuz wanatuonea tu
Hapo sawa na makonda nimekuelewa jinsi ulivyo treat huyo mkuu wa mkoa maana angekuwa mwingine angeficha hapo sasa huu ni wakati wa wananchi kusimama nakuamua kile wanachokitaka wao na siyo viongozi kutuamulia
Yaani hatakama angesema nani kwa kuwa ni mwanadamu basi ni lazima afanye consideration maoni ya wananchi hasa kwenye mambo ya kilimo ambapo ndio watanzania wengi wamejiajiri. Hili kwa kweli limenihudhunisha sana tena sana. Nakuomba Mh Makonda usipunguze nguvu kwenye lile ambalo Rais Mama Samia amekuamini, Usimugope mtu yeyote hata kama awe nani. Msaidie Mama vizuri na hatakama unaona mahala pana mapungufu ya kikanuni au utaratibu Nakuomba Mshauri vyema Mama kwa uadilifu. Hao watu wanaonekana wanalima kweli na hata kama wakiwa wafanya biashara pia sio dhambi kwao bali angalia ni ipi kero ambayo ni vyema ikapatiwa ufumbuzi
MKOA WA RUVUMA MNATUONEA SANAA. WANA RUVUMA WAKATI UMEFIKA WA KUSIMAMA KIDEDEA KUPIGANIA HAKI ZETU. MIKOA YA WENZETU INENDELEA SANAA LAKINI SISI TUKO NYUMA KILA MWAKA. NA SISI TUCHACHAMAE. TUSIWE WATU WA NDIYO.
Mmmh 🤔🤔🤔🤔 tunakoelekea sio kama kwa sasa wananchi ni majasiri kuongea hivi mbele ya viongozi wao ipo siku uvumilivu utawashinda watawafuata kwa mikong'oto direct maana si kwa asira hizi duuh hata mwenyewe kwenye simu naogopa macho ya mshikaji as if anakuja kunigwida mimi
Makonda nenda chuo cha sayun kipo mwananyamala sokon ukajue utimilifu na unabii wa ujio wa pili wa Yesu kristo ambao uko katika kitabu cha ufunuo 1mpaka 22
Mama katoa vifaa na fedha za kuzuru mikoa yote lakini fedha(ruzuku) kwaajili ya kudhibiti mfumuko wa bei hatoi hana! Haya tatua madai ya watu wa songea na Peramiho jimbo la Waziri wa sheria na katiba Mh.Jenitsta Muhagama.