Safi sna kiongozi umefanya kazi nzuri. Wote mlio comment kwa kumlaumu mkuu wa Mkoa ndo wale wale tu wanachadema maana nyie hata mtu afanye mazuri ni lawama tu. Weka ndani hata mwaka akasome namba sisi ni mbele kwa mbele haturudi nyuma.
@@khamisrajab980 ni mwna ccm org na matusi usidhani yanasaidia jibu kisomi pengn lbd uwe hunaenda shule huna haja ya kutukana maana chadema hawakulishii familia yako wala hakuna unachofaidika nacho ndugu shida zako zitabaki pale pale wapo wanaokula ruzuku ya milioni mia tano. Ila ccm tunafaidika maana miundombinu inaimarishwa tunaitumia na nyie sote lkn pesa zenu mnazopewa na serikali hiyo hiyo mnayoshinda mnaikashifu hazijulikani zinafanya kazi gani.
@@khamisrajab980 khamis pole sana na utatukan sana lkn chadema hamjielew nyie hamna ubinadam na wanyam wakubwa msojua kutetea matatizo ya wengine pole kwa kuumia
Tumezoea kupinga hata jema.Makosa hayaangalii vyama. Kumbuka waliomkataa ni watendaji ambao waliamulishwa kwa kutumia cheo. Angefanya wa ccm mungepiga makofi lakini kafanya chadema kaonewa.
Safi sana ifike hatua watu tuheshimu sheria na utendaji Ally happy jitahidi kabisa kurekebisha matatizo baadae Muwe wazalendo muongoze nchi Unajua mwalimu wa zamu akiwa mkali hata vilanja nao wanatenda kazi vizuri..
Hapi ndugu I am a lawyer too...tunatakiwa kuanza na investigation then Arrest... sisi ni nchi mwanachama wa mikataba ya kimataifa hasa ya mwaka 1966 ya haki za binadamu nadhani unaijua ambayo ni ICCPR na ICESCR... usisahau hilo... awe ameonea au hakuonea bado kuna rights zake ndani ya katiba na sheria za nchi....na miongozo mbalimbali... vyama tofauti lakini ni raia wa nchi moja hiihii sote tu watanzania
Acha ushabiki wa kikuda nyumba ivunjwe kwa mujibu wa sheria ss huyo mzee wa watu nyumba yake ivunjwe moja tu mtaa mzima isitoshe hata alikupanga akafuatwa na ana watoto 9ingeku ww ungekubali hizo nyumba za ubungo unazozifikira kuvunjwa zilishalipwa boya ww
Hawa vijana ni malimbukeni....huwezi kuwa kiongozi uka-treat wawakilishi wa wananchi namna hii..kuongoza watu kunahitaji hekima na busara....huu ni udhalilishaji uliovuka mipaka..mimi ni mtu hatari sana ??? ni kauli ya kipuuzi kabisa...hii si sawa!!!!
Aisee kuwa mpinzani yataka kuwa na moyo mgumu sana, kinachotafutwa hapa ni mama wa Chadema wengine wanaingia tu. Mkuu wa Mkoa angetafta namna nyingine ya kulifanya jambo hli kwa sabab ya chain ya wanaotajwa kuwa wengi na wapo. Mama amewaambia wachunguze watapata majibu na ikumbukwe kwamba watendaji wa serikali wote ni makada wa CCM hakuna mahali ambapo viongozi wa upinzani watatetewa
Mheshimiwa mungu akubariki kwa kuwateteya wanyonge# nasikiya uchunguzi sana baadhi ya viongozi kwa dhuluma wanayoifanya ktk utendaji kz wao mungu wasimamiye viongozi wenye upendo na wananchi wao
Acha usenge, mtu unamumwima furusa ya kijitetea kwa kuwa umekuja umemukamia, nyumba ngapi nyie CCM mmewambolea watu, huku Kimara Bomoaboa inawalaza watu nje mpaka leo
A good leader is a listener, sikiliza mtu aongee amalize kisha toa maamuzi, It is one of the leadership skills, ila hata hiyo ya kukatiza katiza nayo ni skill pia ingawa mwisho wake huwa kuna upande ambao unaelemewa
MWESHIMIWA HAPI,TUNA KUSHUKURU KWA KAZI UIFANYAO MKOANI IRINGA,WAHEHE WAPOLE SANA LAKINI SIYO WAOGA KABISA KUNA MAMBO AMBAYO HAWAWEZI KUYAVUMILIA NA KUBWA ZAIDI KUVUNJIWA HESHIMA AU KUDHARAULIWA MBELE ZA WATU IKISHA FIKA MHEHE KUSEMA (SWELAA)BASI NDIO DUKUDUKU LAKE ATALITOA NA HATARI.
Kisheria mam lazma akamatwe kwnza mpk ahojiwe na uchunguzi uwendelee lakn mama anaonekana anamjua anaehusika na kubomoa nyumba anaogopa kumtaja sasa kisheria lazma akamatwe akahojiwe ndo atasema ukwel
Tunakushukuru mama Samia kwa kumwondoa huyu Dikteta Hapi, nilichokiona hapa Hapy hafai ktk uongoz maana ni mdhalilishaji kama yule jamaa wa Arusha, niombe Samia Rais wetu mpendwa Fungulia kesi huyu Hapy
Uongozi unaoacha alama si kuweka watendaji ndani.. nlitegemea ungehoji idara inayohusika kama huyo mzee alijenga sehem sahihi au vip we RC unakurupuka tu!!!
We Mungu utoaye haki ya kweli, nakuomba uwaongoze viongozi wetu waweze kutuongoza kwa haki bila ubaguzi wa rangi, dini, jinsia, umri, kipato wala chama. Amina