mh makonda. ni kiongozui mwenye hekima na akili. na pia ni mtu menyenyekevu na anabusara saaana... na uyo melevi yuko vizuri ameagizwa kazi kama uchanji uwezi elewa
Anawajua ni wezi ameshafanya vikao vya ndani anajua kila kitu watumishi hawana ukweli wowote,yaan hizo hela zote hamna maji? Hata alieishia la pili B humdanganyi hizo hesabu.
Mungu naomba simanjiro apate mkuu wa mkoa au wilaya kama makonda viongozi wote wa simanjiro hawana kazi makonda omba uhamishiwe simanjiro au uwe RAISI WA TANZANIA
Huyu jamaa huwa hasikilizi wanachosema watumishi ili tu awafurahishe wananchi Sasa mtu anasema kitu kinaeleweka kabisa ye anamkatisha katisha ili aonekane tu ana makosa sipendi hii tabia yake , kweli anafanya kazi nzuri lakini aache watu wajieleze waeleweke sio kuwakatisha katisha then yeye ndio anakua hajaelewa.
Hivi unaonakabisa anajikanyaga kanyaga aendelee ili amdhalikishe? Kumbuka alikabidhiwa mzigo na waziri wa TAMISEM mchengerwa madudu yaliyopo yaani ukiwapa waongee ni madudu na kukidhalilisha chama
Jibu swali kisomi kama umesoma kama unajibu kamaunajibu kama masai amba hujaenda hata darasa moja hata hajawahi kupeleka ngombe mnadani hafai kuwa msimamizi wa ofisi ya serikali