Тёмный

MAMA BONGE AANGUA KILIO AKISIMULIA KUPEWA MIMBA MANZESE, MTOTO KUFA na KUMZIKA MWENYEWE BILA BABA 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 139 тыс.
50% 1

MAMA BONGE AANGUA KILIO AKISIMULIA KUPEWA MIMBA MANZESE, MTOTO KUFA na KUMZIKA MWENYEWE BILA BABA #MPAKA HOME
kipindi chako pendwa MPAKA HOME ambapo wiki hii tumepiga stori na mfanyabiashara mashuhuri wa Kariakoo @Sinyalikimambo1972 ambaye amefunguka mambo mengi usiyoyajua kuhusu yeye.
Mjengo wake anaoishi ni balaa, changamoto za utafutaji maisha, unajua yeye ni kada wa chama gani? ....
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 409   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@janethkessy7146
@janethkessy7146 Год назад
ninashida na dada sinya kaka tafadhali naomben mawasiliono yake
@sikitujuma4866
@sikitujuma4866 Год назад
Ni keili kabisa uyo sinya ukimuona utasema mkorofi lakini hana hiyana anaroho nzuri na nimtu wa kusaidoa
@pastoraile7195
@pastoraile7195 Год назад
Kwel sugar sio poa
@NicodemusKithi-xe7mg
@NicodemusKithi-xe7mg 6 месяцев назад
Kweli mama nakukubali
@catherinemichael1275
@catherinemichael1275 Год назад
Mnao msema huyu mama mjiangalie je mfanana nae ki maendele unachonga inao yesha huna kitu Mimi Bado nasema mama nakupa 5 star ❤❤❤
@HijaSalimu
@HijaSalimu 13 дней назад
Unene sihoja kila mtu ana Shida zake
@joycekalago532
@joycekalago532 Год назад
Huyu mama ana maumiv machungu sana ana machozi ya karib na ni mwepes wa kutabasam Mungu ambarik sana
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 Год назад
Pole dada. Moyo wako umejaa maumivu hadi najiona ndani yako
@PendoNyiti-n1h
@PendoNyiti-n1h Год назад
Nalia dah
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Год назад
@@PendoNyiti-n1h 😭😭😭😭🤝🤝
@neemamboya99
@neemamboya99 Год назад
Huyu mama hatafuti Kiki ila Kiki ndo ilimfuata. Yeye anachofanya ni kuitendea haki nafasi alopata. Nmependa mtoto wake hapendi media
@sarhiabenson2683
@sarhiabenson2683 Год назад
Nilichogundua huyu mama nimchangamfu sababu anamoyo mzuro sana🥰🤲Na ana hakili njema kuliko mnavyo waza
@hosianaeliud243
@hosianaeliud243 Год назад
Nakupenda dada sinya....ww ni super woman... Mungu akusaidie sukari iishe....
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 Год назад
Amiin
@Kidotii
@Kidotii Год назад
Ni kwelii una roho nzuriii, watu wenye roho nzuri wanaliaa na machozi yankaribu!
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 Год назад
Nakupenda Sana mama yangu nakuombea mungu akuponye uishi miaka Mingi umenitia Sana moyo wakupambana
@marymathew6529
@marymathew6529 Год назад
Story ya mtoto imeniuma sana,pole sana dada jamani.
@lisavictor4736
@lisavictor4736 Год назад
Da sinyaa nakupenda Sana. Ulisoma na mama yangu Kiboriloni nimeonyeshwa na kwenu ulipokuwa unakaa na mama yako zamani nakumbuka na ule msiba wa mwanao aisee Kama ulifanya mwenyewe Basi Mimi nakuita Superwoman wasiojua ule msiba ulikuwa umepambwa kwa heshima utasema anaenda kuzikwa ni Mtoto wa raisi. God bless you
@ashudahiza7871
@ashudahiza7871 Год назад
hongera mama nilikua nakata tamaa lakin naanza kusimama sasa
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 Год назад
Mungu Akulinde mabaya yasikupate mtu yyte ataejaribu kutaka kukuharibia mungu amlaani mara 10000000000000000
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Год назад
Pole mama uclie sana naelewa nijinc gan moyo wako unamaumivu makali,lkn unafuraha sura yako nitabasamu muda wote,Mungu akutie nguvu
@sammushi1512
@sammushi1512 Год назад
Nampenda uyu mama anaonekana n mama mwenye huruma sana na anamoyo mzur sana mungu anijalie 😎
@farahfrooha9715
@farahfrooha9715 Год назад
Pole dada shukuru mungu machungu sio pekeyako tupo wengi wenye machungu kuliko ya kwako tuwe pole
@joycemlay187
@joycemlay187 Год назад
Mwenyezi Mungu akutunze mama, na akuondolee uchungu moyoni akutie faraja uendelee na mapambano ya kutafuta 🙏🙏
@jacklinesangu3294
@jacklinesangu3294 Год назад
Mama hongera sana
@beatricelewanga1376
@beatricelewanga1376 Год назад
Ni vizuri Sana anavyo ongea anapona Moyo wake .Sinyaaa anaongea vizuri
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Год назад
Ukisikia mwanamke wa shoka ndiyo huyu Mimi nikupe 💐🌹🌹 yako mapema
@shanifesto9037
@shanifesto9037 Год назад
Huyu mama kila akihojiwa analia ,inaonyesha kina kitu anacho na aliyoyapitia ni magumu na kuna familia nyuma yake ambayo inamtegemea na anawajali ,dahh ila iko siku machozi yake yatafutika,,,naamini
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
AKO na hasira saaana same LAKINI usisahau kwamwe
@shanifesto9037
@shanifesto9037 Год назад
Sijakuelewa
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Год назад
Kapitia mitihani ming maskin😢😢😢mung amhifadhi mama sinyaa
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 Год назад
Amiin yarabb 🤲
@loisendungu5983
@loisendungu5983 Год назад
Mm ni mkenya lakini huyu mama nampeda yagu yote everything will be fine mama
@jacklinmacha2964
@jacklinmacha2964 Год назад
Jamn huyu dada ni mzury sana ila mnaomponda hamjielew
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Sweet usiwe unalia. Unajua ww ni jembe sana. Yaani your super woman. Jipe moyo mkuu bhana usiwe unalia. Ujue Yesu anakupenda sana wewe na atakuponya. Ww upo real sana kipenzi. Ipo sb ya yy kuondoka jipe moyo darling. Usikonde yatapita Sinyaa na utapata Achana na wasema ovyo mpz. Hata ungekua kimya wangesema tu. Hiyo ni asili ya wanadamu na wasingekusema ningeshangaa sb hata Yesu alisemwa. Usikondeshwe na maneno ya wapitaji kwn wanakupa nn dada Big up kipenzi changu, kazi nzuri
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
Kulia ni haki yake kama atajihisi kulia. Machozi tumewekewa na Mungu kulia siyo dhambi.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
@@damariszuckschwert9489 sio dhambi kweli lkn naumia anavyolia. Mm natamani kulia alie sirini na Mungu wake akiwa kwa maombi. Kulia ni kutoa sumu najua ila alie kwa Mungu wake tu
@floridanyabikwi9304
@floridanyabikwi9304 Год назад
Jamani watu wanatoka mbali sana hasa sisi wanawake 😭😭😭😭pole mumy umeniliza na mm
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Hongera mwanamke mpambanaji chukua maua yako 💐💐🌹🌹
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Najua unamengi moyoni umepitia mengi lakini mpaka hapo ulipo mshukuru Mungu sana kwani wewe ni shujaa sana na jaribu kusahau yaliyopita .Weka ujasiri wako mbele wewe ni Jasiri sana.Shukuru unabint kwani huyo kijana angeweza ata kukupa stress kwa hivyo shukran unabint au tuseme unamtoto hata huyo mmoja
@janetdundul3858
@janetdundul3858 Год назад
Mamashikamoo shikamoo nimekupenda buleeee,,,kwa mwamposa ndiyo kanisa letu hilo 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@aishachiyarata1362
@aishachiyarata1362 Год назад
Nimempenda mama haongezi masifuri kwenye Bei zake
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
😂😂
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 Год назад
😂😂😂kutana na wale kitu unakiona cha ulufu 3 una ambiwa M3😢
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
@@duhrurhhddhheud8575 😁😁walio pata maisha kwa bahati mbaya
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 Год назад
Huyu mtoto wake nataman asome koment hii plz USIMSUMBUE MAMA YAKO
@malila4582
@malila4582 Год назад
Mashaallah mama umeweza umeweza umeweza tena
@dottohami
@dottohami Год назад
Kweli nimejifunza kuto mzalau nisie mjua masha Allha mama kaweza sana nimejifunza kupitia yeye nakupenda kwa jili ya Allha ❤️
@janelyatuu1135
@janelyatuu1135 Год назад
Mdada wa kibrloni nakupata sana ndugu yangu unapambana kweli kweli nakumbuka miaka hiyo mtoto wako alivyo fariki uliumia sana pole sana mungu atakupigania hatukuwacha
@editorfrank7471
@editorfrank7471 Год назад
Inauma sana sikuwahg kujua story ila huku mosh watu walisema alimtoa kafara ,bora sinyaa kaongea mwenyewe
@maryamkassim3188
@maryamkassim3188 Год назад
Heri kumsikiza huyu mama mara mia moja unajifunza kitu katika maisha haya kwa kweli wanawake tujitume tulale pazuri kwa nyumba zetu pesa yako ya halali ni tamu sana asikwambie mtu ❤❤❤❤❤
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Год назад
Wowow hongera sana dear mama ❣️najifunza mimi
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 Год назад
Nimelia sana jomoni...huyu mama nimzur mcheshi alafu nimwepes kufurahi
@ZahraKombe
@ZahraKombe Год назад
Namjua sinyaa vizuri hana kiki kaaza maisha zamani Wala haogopi mtu hongera sinyaa wangu
@greenermichael2057
@greenermichael2057 Год назад
Jamaaan😭😭😭😭huyu mama anitafute Mimi niwe mfanya kazi wake wa ndani tutafarijiana mno nahisi Ana huruma na watu
@friminershayo5325
@friminershayo5325 Год назад
Mama mtafute Dr Boaz Mkumbo ,atamaliza ugonjwa wako wa Kisukari na kupunguza uzito. Utaishi maisha marefu zaidi.Uzidi kui enjoy zaidi.
@ladyr.hamsini2311
@ladyr.hamsini2311 Год назад
Dada huyo Dr Boaz anapatikana wapi?uko na namba za mawasiliano?
@alsam4881
@alsam4881 Год назад
​@@ladyr.hamsini2311 ingia RU-vid andika dr. Boaz mkumbo utapata namba yake kwenye video zake.
@magrethmanintveld5477
@magrethmanintveld5477 Год назад
​@@ladyr.hamsini2311 Dk Boaz office yake ipo mkabala na Mwananyamala hos
@mirrykirungi5078
@mirrykirungi5078 Год назад
Friminer shayo anasaidia presha?
@siamnyone8403
@siamnyone8403 Год назад
We nawee Kwan alikwambiaa anaumwaaa
@nasrafadhili7408
@nasrafadhili7408 Год назад
Mm nimegundua huyu mama marafiki ndowamemuangusha
@JaneMkinga
@JaneMkinga 17 дней назад
Pole sana my mungu akusimamie akupe afya njema. Pambana simama na neno la mungu hilo gonjwa litakauka!! Yesu alikufa msalabani kwa ajili yetu. Hatuna kesi tena kaza buti kawe utapona tuu
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 Год назад
Natamani wasanii wakuchukue pamoja na makampuni uwasaidie kufanya matangazo, pia nakupenda mnooooooooo
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 Год назад
Humuoni kwenye matangazo kwani?
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Hongera sana Mungu akujaalie afya na furaha tele
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي Год назад
Pole sana mama, Na hongera pia
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
Hongera sana Sinyaa unaishi pazuri 👌🔥💖pole kwa changamoto za maisha
@cdeleo9336
@cdeleo9336 Год назад
Huyu mama ni mtu mwenye roho nzuri mno
@halimaoman8726
@halimaoman8726 Год назад
Pole sana mama bonge unanyoongea hizo changamoto uliopitia mama yangu imenikumbusha mbali sana nimejikuta natowa machozi sana
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 Год назад
Weka pulizo kwenye tumbo mama bonge linyonye mafuta utakuwa kiportable tena na sukari itaisha. Nakupenda le super woman❤❤❤
@MwigaKatumpula-mi3zt
@MwigaKatumpula-mi3zt Год назад
Napenda kufuatilia interview za huyu mama kibonge, hakika Kuna cha kujifunza hapa 👏🙏😀
@roseurio503
@roseurio503 Год назад
Hongera Dear kweli mwamke na nusu yaani huna makuu wangekua hawa wakushoboka walai balaaa kweli usiwai dharau mtu hadi nimetani kuongea naye walau anifungue macho ❤
@waheedaw1953
@waheedaw1953 Год назад
POOLE sana sister Allah atakupa zaidi za Halali
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Год назад
Nilikuwa naangalia kila muda aise alhamdulillah nimeikuta mudaa huu pole sna mama Yangu kipenzi unapambana mno sna sna
@ummyhoza4495
@ummyhoza4495 Год назад
Dada nakupenda sana sana mungu akufanyie wepesi ktk kazi yako
@Sifa_film_tv72
@Sifa_film_tv72 Год назад
Love you Sinyaaa,Kweli wanawake Tuna mengi mioyoni tunatamani pa kusemea🙏
@DEEP.WORSHIP
@DEEP.WORSHIP Год назад
Okoka Dada Yesu anakupenda umtumikie ..
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 Год назад
Hongera sana mdogo wangu nimekupenda Bure wewe ni mwanamme shujaa Kwa kweli na ni mkweli sio Muongo unayoyaongea ni ya kweli kabisa
@zainabukivale9571
@zainabukivale9571 Год назад
Mama unafanana na Mimi yangu makubwa zaidi dada naangaiga usiku na mchana lakini nimepoteza pesa zaidi ya milioni 70 kes ipo maakamani haishi na uyo Diwani wa temeke namdai mwaka wa Tano Sasa milioni tatu anasema nimpeleke popote hawezi kunilipa nimetembea kwenye maofis bila mafanikio jamanii uwiiiii mungu nisaidie natafuta namba za shelawado
@sharommiriam2674
@sharommiriam2674 Год назад
Uyu dada kichwa Sema ndo ivo hira mbaya za watu wasyopenda maendeleo yawezie wanapenda ufeli kimaisha
@aishamansoor7374
@aishamansoor7374 Год назад
Dada mm nakupenda Sana natamani tuonane mm naww nakupenda Sana mungu atakuhifadhi
@JaneMkinga
@JaneMkinga 17 дней назад
Kweli kabisa wapende sana watu lakini usiwaamini. Bora maamuzi uliyonayo ya kwenda nyumba ibada. Pia dada jifunze kusamehe usishikilie moyoni hata mungu anatusamehe japo inaumiza. Pole sana damu ya yesu inene mema juu yako.
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 Год назад
Story yake inaumiza mungu akupe subra mamangu Dunia inamambo mengi sana
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 Год назад
Mama wewe jembe nimekupenda ❤hongera sana nimejifunza mengi Mungu akubariki sana.
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Alhamdullillah, kiukweli nampenda bure. Mwenyezi Mungu akulinde dada.❤❤❤
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 Год назад
Huyu Mama anahitaji msaada wa MUNGU akutane na watu sahihi wakumsaidia kwa AFYA na UCHUMI wake kuimalika zaidi pia anakitu kikubwa chakusaidia Mabinti na Wamama kwakuwapa Mafunzo 🙏🔥❤️💪
@annamussa185
@annamussa185 Год назад
Haya makanisa ya Sasa akienda ndo watamfirisi watamla pesa mpaka ashangaye
@EricaSimon-zd1wl
@EricaSimon-zd1wl Год назад
Hii si hadithi ni live Mwanamke huyu anafaa kuigwa na jamii hasa wanawake tusilale jamani tuamke wanawake maisha ni mapambano na siku hizi Dunia imebadilika Sana wanawake ndo watafuta pesa na si vinginevyo
@graceshirima6072
@graceshirima6072 6 месяцев назад
Pole sana Sinyaa, hakika nimeuona uchungu ulionao moyoni, mwombe Mungu auondoe huo uchungu upone my dear, huo uchungu unakusababishia magonjwa mpendwa, ❤❤
@peterkaale6977
@peterkaale6977 Год назад
Huyu mama she is so real jaman yani mungu amuepushe tu na hio mikopo afanye vyema kwa biashara zake she is so r
@olivabutoyi434
@olivabutoyi434 Год назад
Global nawakubali!! Mmetishaaa! Big up dada Sinyaa! Wewe ni Simba jike, hongera sana kwa kuwa mfano mzuri kwa wanawake. Mungu azidi kukubariki na kukuinua. Nimependa myumba yako ilivyo safi, classic na very well organised 🎉❤. Big up sis 👏
@MamaRoy-k6n
@MamaRoy-k6n Год назад
Hakika wewe ni mfano wa kuigwa katika upambanaji wako❤❤❤
@CatherineKimoso
@CatherineKimoso 10 месяцев назад
Dada. Yangu sinyaa ni mkweli sana na ni mwema sana ningeomba asikilizwe .❤❤❤sana dada yangu kipenzi. Mungu akutie nguvu .uishi maisha marefu🙏
@MTONDOZINESAEED
@MTONDOZINESAEED Год назад
Mama sinyaa, Ongera sana na pole mimi nakuomba mpenzi achana na uyo baba, wewe umeangaika kulea mtoto wako mpaka amekuwa na kusoma ongera sana, uyo achana naye.Pia nakuomba towa dukuduku lako la uyo baba msamehe, kumsamehe haimanishi aje nyumbani kwako au kuwa naye pamoja, Mtowe moyoni mwako msamehe ili uje kuona mbingu, kuna mabaya ambayo tunamfanyia MUNGU lakini bado anatusamehe. Pia nimefurahi sana kwa kupenda kwako kusali, ila naomba fanya maombi ya siku tano au tatu Muombe MUNGU akuonyeshe uko unapokwenda kwa mwamposa upo sahihi kweli plz plz plz fanya maombi . Nakupenda
@jacklinesangu3294
@jacklinesangu3294 Год назад
Hongera sana mama
@sikudhanimohammad7692
@sikudhanimohammad7692 Год назад
Ww naye hujui hata matumizi ya h na a
@chuchudorice8531
@chuchudorice8531 Год назад
​@@sikudhanimohammad7692Bora umeelewa😂😂
@CatherineKimoso
@CatherineKimoso 10 месяцев назад
Mandiko yanasema akija kutaka msamaha msamehe at *770.huyo baba anatakiwa kumumba msamaha mama na mtoto Ili kumponya dada yetu.
@nadiahassan7993
@nadiahassan7993 Год назад
😢😢😢nimelia. Mungu akuweke dada sinyaaa
@rebeccakagemro3166
@rebeccakagemro3166 Год назад
Maisha yako yameniumiza.ila nimetoa shule.hongera sana kipenzi changu.ikikupendeza uniruhusu nikufikie.kuna mengi natamani nijifunze kako.
@faridahalwaily85
@faridahalwaily85 Год назад
MashaAllaah MashaAllaah Allaah Akubareek na Akuhefadhi
@EutropiaMinja-rx8sv
@EutropiaMinja-rx8sv 6 месяцев назад
Mdogo wangu umeniliza sana. Maisha magumu uliyopitia yanafanana sana na ya kwangu. Naomba tuonane kama itawezekana.
@khadijamwenda1851
@khadijamwenda1851 Год назад
Jamani huu mwili ni kawaida mh!😢sinya pole sana kwa magumu uliyopitia
@ShariahajiOmar
@ShariahajiOmar Год назад
Mama sinya a Kim ambo ni Super women pole Sana na mitihani iliyokupata usichoke kupambana mungu atakusimamia inshaallah.
@marciawambui1965
@marciawambui1965 Год назад
😅😅 hongera sana mama,ila huyu ndugu mtangazaji is very funny,
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Pole sana Dada sinyali, Tunakupenda sana, Allah akutimizie hitaji lako 🙏kiukweli hata mimi namchukia sana Mzazi mwenzangu, yani hapa namuelewa sana Dada sinyaa.
@sheilajuma8963
@sheilajuma8963 Год назад
mashaallah huyu mama nampenda ni mkweli
@NsiaSwai-g4p
@NsiaSwai-g4p Год назад
Mungu akuondolee maradhi ya sukari dada uyafurahiye maisha
@GraceMadukwa
@GraceMadukwa Год назад
Mama unayepambana Mungu aendelee kukuinua
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Год назад
Nimekupenda na hongera kwa nyumba nzuri
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 Год назад
Ndio maaana mimi nilizaa nje ya nchi na libaba lenyewe mawasiliano sina.inauma umezaa na mtu yupo mtaani halafu halina time na mtoto
@allymoshi2053
@allymoshi2053 Год назад
Mpka kuzaa s mnapanga wote au unajiamulia mwanamke peke yako
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 Год назад
Usijali mungu akutangulie mtoto hamekua mungu hatakusaidiaAnty yangu nimekupenda kwasabu unapambana Kama sisi usilie mungu hatamtunza mtoto umejitahidi jikaze usilie
@Hedva255
@Hedva255 Год назад
Mungu abariki wale watu waliompa products za kutengeneza usoo hasa dada junaithar uso umeanza kukaa poaa....
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 6 месяцев назад
Kiukwel huyu mama nimfano wakuogwa,,,nimejifunza mengi,, sinta kataa Tamara kwamwe,,Mungu Wa mbinguni akutunze
@bilihoramadhan5778
@bilihoramadhan5778 Год назад
Nan analia kama mim,,😭😭😭😭😭
@jennifergilbert-2956
@jennifergilbert-2956 Год назад
Nikajuwa mm tundiyo nimelia jaman
@hadijasharifu1463
@hadijasharifu1463 Год назад
Jamani pole na hongera sana kwa kupambana na maisha
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 Год назад
Daaah poleee😢😢😢 uyo mtoto hakuw ridhiki mamy ,wanasema si kila ukipotezacho, Wala ukipatacho ni chako ,vingine acha viondoke tu 😢
@ndohoriomsacky445
@ndohoriomsacky445 Год назад
Huyu mama nimpole Sana Bali alipitia machungu Sana
@rizikisuleiman2139
@rizikisuleiman2139 Год назад
Nampenda sana huyu mama ni mpambanaji sana
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 6 месяцев назад
MashaaAllah MashaaAllah honger san mama mpambanaji
@stelamwakatulile2455
@stelamwakatulile2455 Год назад
Unapenda kulia unaniangusha bwana wewe jeshi kubwa❤
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Год назад
Pole mam nimekupendraaa sana
@winnerjudith2007
@winnerjudith2007 Год назад
Mungu akulinde mama
@FloraNgoma
@FloraNgoma 7 месяцев назад
❤ Ni kweli kabisa hajui kuweka kinyongo kabisa. Ana upendo sana sana.
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 Год назад
Huyu dada ana maumivu sana sema amejaaliwa furaha😪
@Felister-br6km
@Felister-br6km Год назад
Ana moyo wa uchungu aikemee kwa jina la yesu
@nishamwenendi-vh4wk
@nishamwenendi-vh4wk Год назад
Nampenda sana huyu mama ❤❤
@BarnabasAbel
@BarnabasAbel Год назад
Mama Yetu S, ongera Sana,unaupiga mwingi,Mama Naomba no yako ya simu,nahitaji kukuona mama yangu .Nimekuelewa Sana mpendwa wangu.
@ChristaMazara
@ChristaMazara Год назад
Wanaume Mungu anawaona,Mungu awalinde mama.
Далее
Saida Karoli - Baba Tajiri (Official Audio)
10:01
Просмотров 1,6 млн
Пчёлы некроманты.
00:46
Просмотров 28 тыс.
#BABA #ALINIVUA #NGUO #ZOTE
13:09
Просмотров 672 тыс.