Nyi ni wambea kweli! Kuongea ovyo tu hata hamna maafikiano yoyote mngeweza kusaini mahali ya kusapoti madai ya usaidizi wenu wa DNA kwa huyu mama...? Hii ni content ya mwaka mzima sasa ulopita na bado hadi waleo mama imebidi arudi tena Tiki Tv kulilia swala lili hili kwa usaidizi wakati mlimpea ahadi zenu za uongo kwa porojo zenu mtengeze content! Bure kabisa nyinyi!!
Jamani huyo ni mwanae, hata ndugu yetu ilishamkuta hio, alipigwa changa la macho mama wa watu, utofauti wa mwili ni kwa sababu ya kukulia sehem tofauti, jmn pimeni hiyo dna, mm binafsi nimeumia sana sana