Imekuwa ni safari ambayo haikuwa rahisi, lakini anakushukuru wewe shabiki kwa mchango wako mkubwa kuifanikisha. Bruce Amani amezungumza na mtangazaji nguli wa DW Kiswahili Oummilkheir ambaye amestaafu leo.
HOongera sana mama yetu UOUMMI KHEIR katika kipindi chako chote cha utangazaji miaka 42 uliuitumikia vizur DW Na sasa umeamua kuichia microphone nakutakia kila lakhery katika maisha yako mapya nitaimis sana sauti ako DW
SITAKI KUAMINI KAMA AMESTAAFU HUYU MAMA, NILIIPENDA SANA SAUTI YAKE YA PEKEE! KWA MARA YA KWANZA LEO TAREHE 5 MWEZI WA 3 MWAKA 2020, NDIO NAUONA USO WAKE! NITAKUKUMBUKA SANA MAMA YANGU!
Hakika nlipenda kusikiliza sana DW Kiswahili, kukusikiliza wewe mama hakika kustaafu kwako ni pengo na pigo kubwa kwa wapenzi wa DW Kiswahili.Hongera sana mama kufikia hatua iyo.Staafu kwa amani mama.
Mama. Huyo alikuwa nguli wa utangazaji.Hebu sikiza sauti yake na lugha ya Kiswahili iliyojaa vionjo na matamshi murua.Hongera sana Bi Oummilkheir mstaafu wa Deustche Welle Radio.
Leo tarehe 30.05.2024 nimewakumbuka sana hasa mama humilieri na isack Gamba, toka 2011 nimeanza kuipenda dw,sakata la Gadafi nlipenda sana taarifa ikiripotiwa na ww,Mungu akutakie maisha marefu sana.
Huyu mama nampenda sana, nakumbuka alivyokuwa anatangaza taarifa ya habari kipindi Osama akitafutwa na Marekani mwaka 1999 , yaani ilikuwa pindi ya kusisimuka sana, mama huyu ni bora sana, Mungu amlinde aishi miaka 100
Mungu akujaalie afya njema. Asante sana kwa utumishi wako ukiwa DW. Nimehamasishwa na utendaji wako ukiwa DW hasa (ulipokuwa unasoma taarifa za habari, uchambuzi wa magazeti na sura yabujerumani etc). Mwanangu 5yrs old nimempa jina lako kwa mapenzi niliyonayo kwa kazi nzuri at DW. Asante sana mama etu.
Daaaaah Mama Oummi kheir siamini kama umestaafu. Kila ilipofika wewe kuhabarisha ndani ya DW nilijisikia raha saaaaaaaanaaa mno mama kwakweli. Nitakumiss sana sana yaaani sana mama yangu Oummi!!! Ongera pia kwa kustaafu na kila la heri.
Natamani nilie machozi ya furaha kwa kukuona kwangu leo coz nimeisikia sauti yako longtime pasipo kuona Wala kuijua sura yako Duh enzi nikiwa mdogo kijijini kwetu ilikuwa haipiti siku bila kusikiliza DW apo tushakula chakula Cha mchana tukiwa chini ya mti tunasikiliza DW nililipenda Sana sauti la mama uyu
Hakika Mama Oummi amejaaliwa. kwangu natamani angeendelea ila sababu ya wakati Allah akujaalie kila la khair. Hivi ni mzawa wa wapi na anaishi wapi angalau kumtembelea ni mmoja ya utalii mzuri sana
Sauti yake tuu ukiwa mbali nikisikia tuu sauti yake hata Kama niko na kazi lazima niiache mama ulifanya simu yangu imalize moto kila siku maana sikuacha kuskiza dw kbs na ww ndio brand ya dw kbs wajue hilo