Binafs nimemuelewa sana mama wema nmejkuta mpaka namkumbuka mareheu mama yangu aisee makofi meng kwa mama wema hajaongea kwa ubaya ni kwa nia njema na ukiona mzazi kasema ujue kweli kakelekwa, dada zangu na kaka zangu kuna ktu kikubwa cha kujfunza kwa mama wema she's strong woman ❤❤
Unafiki mtupu angekua na malez mazuri kama anavyoigiza hapo mtoto asingeenda kuonesha maumbile yake kushindania miss tanzania, na anajua hio itam expose kwenye devil society. Wanaume wote aliotembea nao had anafika hapo wasingetokea mimba alizotoa na aibu zote zisingempata mtoto. Na kingine mtoto anatambulisha mtu kwa wakat wake pale anakua na uhakika na mtu wake usimharakishe na kutangza mbele za watu ni clout tu ya maisha ya star yeye angetuliza mdomo wake huyo mama. Yeye ndy hana adabu kwenye halaik ya watu unamwambia mtu nyamaza foolish
Dah, watoto wa mujini wanavyofanya vituko vyao unaweza hisi wazazi wao hawawakatazi, mama leo ameamua kumkanya mwanaye hadharani, hawa mastar ni kichwa ngumu sana
Makof kwa mama wema 😂😂😂 safi sana umewapa ukwer kuvaa uchi kudanga na sherehe za ovyo ndio wanaona maadil kumbe ayana maana imeisha iyo ila ukwer umesema
Na radhi ya Mwenyezi Mungu ipo unyayoni mwa mzazi wako kama hamjui mtajuta akiondoka wa kukufariji na kukukataza ni mzazi wako hakuna mwingine. Usijute kinafki atakapoondoka duniani wakati ulikuwa unamradharau. Utamkumbuka wwngine watakutizama uharibikiwe kwa ujuaji wako.
Mama umeongea maneno ya hekima nimejisikia kulia 😭😭😭 nimejikuta nimemkumbuka marehemu mama yangu. 😭😭😭. Ambao bado mama zenu wapo hai muwaheshimu jamani.
Inamana yeye hayajui maisha anayo ishi mwanae au hajui kama yupo whuozu yani mama unatakiwa ulilie mwanao aipate ndoa umli alio fikia hajaolewa mtoto wakislam omba mungu mama mwanao apate stara yake awe na familia mana huwezi jua huenda akifunga ndoa na mungu atampa mtot
Anajua na hapendi ndio maana anasema hakuna mzazi anaependaa mtt wake wawe anachezewa tu huko inaumaa sana ndioi maana anasemaaa inamuumaa ndioi anasemaaa
Toto lenyewe sasa hata utuliv halina linaona kama mama mshamba ipo siku yako we dada utaona hata pesa si chochote heshm sana mzaz hujui ameptia mangapi kwa ajir yako
Maneno yameniuma sana heshima ya Mama au binti yeyote ni Kanga iwepo ndani hadi nimeenda kuangalia kwenye kabati langu kesho naenda kkoo kuchukua pea 4 za kanga
NaTamani ningekuepo mama kasema nimefulahi usisahau maneno hayo wema nakupenda japo unijui mungu akujalie umtii mama yako mm sina mama wala baba nichokolaa niko Zanzibar nazalaulika nadondosha machozi ipo siku utanitafuta nakusema kweli usemayo
Mama Wema sio kwamba kamsema mwanae tu Bali kwa hao wasanii wote wa kike 🔥🔥🙌🙏 maana Mambo wanayofanya Niya hovyo ukiangalia na vile wanavyojipost ndio balaa huyu ndio mama Sasa 🤣🤣 anaonyaa live bila chengaa🔥🔥🔥
Mama wema anataka whozu atambulishwe kwake lakini naona wa Tanzania washikilia tuu whozu kukaa kwa wema point ni utambulisho mambo mwengine watajipanga hao wawili.
mzazi hatakiwi kutambulishwa zinaa itakuwa unashiriki zambi aje akwambiye mama mimi sasa hivi nazini na fulani hio heshima ndo ipo wapi aolewe kisheria alete posa ndoa ifate hapo bado mwezangu wema hajakosea kwa mungu kwa hilo
Watu wenye hemkima walisema, samaki mkunje angali mbichi ingawa huwa tunabeza busara zao kusema ni mambo yaliyo nje ya wakati. Mama umenena maneno yenye adili lakin muda sio rafiki ata hivyo asante kwa kuwa yatawasaidia hao samaki wabichi kwa huyo mkavu labda jaribu kumloweka
Mama kazungumza maneno ya hekima na busara lakini mbona kachelewa sana kutoa ujumbe yani anakimbuka kumekucha hawa mastaa wa kike wanachezewa sana wakuta staa wa kike ana list ya wanaume weeengi lakini hakuna muoaji
Hujamuelewa anaongelea kuhusu dada zetu kuchezea na wanaume ovyo na hawaolew wanaibsha wazazi alaf upuz wanaufanya hadharan na mavaz Yao yakipuz hajafunka nywele but hajavaa nusu uchi kama hao watoto wakike
Nimeipenda mama mara nyingine tunadhan mabinti zenu wanaharibika kwa kukosa malezi kumbe kweli nyie ni wayu wayu mama wema nitakuletea maua yako wanaume tunawahitaji wanawake walio fundwa ili tutengeneze family ilio bora nakupenda m mkwe wema namhitaji mdogo wako kama yupo mama yupo vizur