Ukifika ubalozini pamele waweke sehemu ambayo watu wasio weza kuongea kingereza vizuri basi wawe na mtu ambaye anaongea kiswahili ili mtu aweze kujibu maswali vizuri
Kama una ndugu kule na ameshakua na watoto wa kizungu na je nitawaonje ikiwa mwanamke wa kizungu hataki kuwaleta africa anaoopa sasa je naweza kuomba visa ya kwenda kuwaona mini nikiwa bibi